Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Tutaonana Saa 5 Kamili usiku wa leo tafadhalini kwani sasa naenda Kuwajibika. Nawatakieni jamvi jema na uchangiaji mwema. See you Guys.
 
Hahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
e7fb62d51c32ace3c88f3e49a25b1cc7.jpg

*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
Kumbe Nifah unatubastola twa nguvu
 
Sasa kama wameshafika bei kwa vitisho vya baria uchwara za polisi, mwendo ikawa ni kumerge thread, pia wakajivumbulia kateknolojia ka kufilter thread isiweonekane na wengi hasa kama inakosoa serikali (yaan hawafuti kithread chako, ila hupewi shavu, yaani ni Clouds & Bashite Style)...ww unategemea nitachangamka?? labda waanze program ya kutugawia juice ili tuchangie kwa wingi.
 
Hahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
e7fb62d51c32ace3c88f3e49a25b1cc7.jpg

*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
Nakuona nakuona Toto la kichaga, mmetisha
 
Jiwe limerushwa gizani alafu nimejikuta nasema "yalaaaaaaa" (limenipata)


Hahahah shemeji una mambo sana aisee...


The Bolds tuko gado kabisa shemeji and stronger and more in love kuliko kipindi chochote kile...

The thing is sasa hivi muda mwingi tunakuwa tuko pamoja so maongezi yetu tunayafanya face to face and hai-make sense tukichit chat humu majukwaani muda wote wakati tuko wote hapo tulipo... tofauti na mwanzoni ambapo tulikuwa tunaonana mara chache kwa hiyo kila tukikutana kwenye nyuzi yoyote lazima makhaba na kubebishana kuwe on fleek.. [emoji23] [emoji23]

To make a long story short... Ni kwamba huu ni mwezi wa pili tuko wote pamoja.!! Nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja, shuka moja and oooohh yeaaahh mwili mmoja.. [emoji4]
Hahahahahaaa Braza limekufika haaaaapa. (In soudy brown voice). Naona jeshi umetekwa na toto white
 
Back
Top Bottom