Mbona uchangamfu wa hawa Members Wapenzi humu JF kila siku unapungua? Tatizo ni nini labda?

Asante mkuu,lazima utakuwa smart na mwenye busara kuliona hilo.
Tuna mambo mengi,huo muda wa kubebishana huku JF hatuna tena,ni kazi tu.
Hata ukiangalia mahudhurio yangu JF sio kama zamani...

Inaonekana Picha Natoa Hotuba ' anaikeshea ' sana mpaka muda wote unakuwa hoi bin taaban hadi unapotea humu. Hapo bado hajakuoa je akikuoa si ndiyo utakuwa unashindwa hata kwenda kumpelekea maji ya Kuogo kwa aina ya ' Mshindilio ' wa ' Kutukuka ' atakaokuwa anakupa?
 

Shemeji nifah hii picha ingekua nzuri zaidi kama ingekua imeishia juu kidogo ya mgongo. Ingawa ata sijui kwa nini nimewaza hivyo
 
Nakuelewa sana mkuu Mgibeon,


Kuna mambo mengine ni vigumu kuyafafanua lakini yanapaswa kuwa hivyo..

Ni kweli Cheupe anapenda Siasa na anaijua vyema sana lakini kwa maslahi mapana zaidi inabidi ile spidi yake ya zamani ipungue!!
Haikuwa kazi nyepesi kumuondoa siasani lakini uzuri ni mwanamke smart na mtiifu... Akaelewa na hatimaye amejiweka kando na mijadala ya kisiasa...

Natamani aendelee na harakati siasani lakini sijui nisemeje... Ndio hivyo mkuu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe miss chagga wewe?
Ni kweli,siku hizi nina mambo mengi mnoooo,very busy ndio maana inaweza pita wiki na zaidi sijaingia JF.

Na nitakuwa ' nawachokoza ' kila uchao hadi muache ' kupotea ' humu Jamvini. au hamjui kuwa bila Picha Kitambaa na Picha Natoa Hotuba JF bado haijanoga? Na leo kweli ' nimewaweza ' hadi ' mmefufuka ' huko Kitandani mlipokuwa mkipena ' ushirikiano wa Kibaiolojia '.
 
usikubali shemeji kule watamuharibu na kumkomaza usikubali
 
Hahahaah kumbe mnaoongelewa ni ninyi.!
 
Shemeji nifah hii picha ingekua nzuri zaidi kama ingekua imeishia juu kidogo ya mgongo. Ingawa ata sijui kwa nini nimewaza hivyo
Ulitaka uone nini mkuu? Hahaha
 
We jamaa mchokozi sana.umefukunyua mpaka umepata ulichokipata..by the way yule demu aliyekua akikuhudumia pale Salmacone vipi ulimuacha?

Nilimwomba ' Uvungu / Tigo ' akakataa ndiyo ikawa ' nukta ' yetu. Halafu sitaki ' umbea ' wako Mkuu sawa? Hapa tunawaongelea akina Picha Kitambaa na Picha Natoa Hotuba. Nitakuchenjia sasa hivi sawa?
 
Hahahaaaaaa Wallah umetuweza leo [emoji119]
 

Mkuyenge umembadilisha Mtu ' totally '.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…