Mbona wana Yanga SC hawatucheki wana Simba SC kwa Kipigo cha Jana na Horoya FC?

Mbona wana Yanga SC hawatucheki wana Simba SC kwa Kipigo cha Jana na Horoya FC?

We jamaa ukapimwe akili. Yaani sisi mabingwa tutamani kufungwa!
Nawe ni mwana michezooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli utopolooo.
 
Uzalendo tuliojaliwa Wana yanga , inapokuja michezo ya kimataifa inayoliletea taifa Heshima tunaungana na kuwa kitu kimoja tukiombeana Dua .
Wale wanaoenda eapot kupokea wageni ni kina nani?
 
..
IMG-20230212-WA0006.jpg

Huyu hapa mtopolo anatucheka
 
Back
Top Bottom