Mbona wanawake wa Marekani wapo very happy 24/7 to compare na hawa wa huku Tanzania?

Mbona wanawake wa Marekani wapo very happy 24/7 to compare na hawa wa huku Tanzania?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nilikuwa YouTube Muda huu naangalia video za Jack wa USA this guy anaweka content za wanawake wa Marekani most of them wapo happy kwanza wazuri wakipewa salamu wanaitikia kwa bashasha kubwa Sana.

Njmegundua huku Tanzania umasikini wa uchumi umewafanya mademu kuwa watu wa hovyo Sana

Hawana raha Wala Amani , the nimeona wanaume was marekani hawana shida mademu zao kutoa kiss kwa wapita njia.

Eti unampa mtu salamu anakaa kimya kweli hii nchi haina wanawake that way watu wanakufa masikini


Kweli Africa is cursed continent
 
Nilikuwa YouTube Muda huu naangalia video za Jack wa USA this guy anaweka content za wanawake wa Marekani most of them wapo happy kwanza wazuri wakipewa salamu wanaitikia kwa bashasha kubwa Sana.

Njmegundua huku Tanzania umasikini wa uchumi umewafanya mademu kuwa watu wa hovyo Sana

Hawana raha Wala Amani , the nimeona wanaume was marekani hawana shida mademu zao kutoa kiss kwa wapita njia.

Eti unampa mtu salamu anakaa kimya kweli hii nchi haina wanawake that way watu wanakufa masikini


Kweli Africa is cursed continent
Kama huku sio wote wako hap, kama huku tu
 
Picha ziko wapi Mkuu ?
Hizo apo
1686723383749.jpg
 
Bongo watu wengi wanapitia changamoto nyingi sana especially wanawake , ugumu WA maisha na kutelekezwa unawafanya washindwe kumaintain peace kwenye maisha yao .

Kuna report ilitoka na kuelezea Tanzania ni miongoni mwa nchi inayoongoza kwa idadi kubwa zaidi ya watu kutokua na furaha ya kudumu .

Nafikiri Tanzania iliwekwa kwenye top ten ya unhappiest country in the world kama si Africa
 
Bongo watu wengi wanapitia changamoto nyingi sana especially wanawake , ugumu WA maisha na kutelekezwa unawafanya washindwe kumaintain peace kwenye maisha yao .

Kuna report ilitoka na kuelezea Tanzania ni miongoni mwa nchi inayoongoza kwa idadi kubwa zaidi ya watu kutokua na furaha ya kudumu .

Nafikiri Tanzania iliwekwa kwenye top ten ya unhappiest country in the world kama si Africa
Kuna siku nilipanda daladala nikamwambia konda kama hakuna siti ya kukaa nashuka , watu wakaanza nong'ona huyu kaka anaringa kama vipi anunue gari lake , watanzania wengi wanapenda mteseke wote ukigoma kuteseka wanadai unaringa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wanaume wa kule wanajua kutoa pesa, na huwa hawakimbii kulea mimba, ndo maana wanawake wa huko wako na furaha mda wotee.
Wap unazungumzia, sheria tu zimewabana ila wangekuwa tu kama sisi wakidimbwi .
 
Hii ndo sababu napenda wadada wa kizungu kwasababu mara nyingi zaidi Wana positive vibe ! 😍
They always happy na Wanaweza maintain their happiness lifestyle haijalishi wanapitia changamoto gani

Hawanaga kufake maisha ovyo ovyo kama hawa maslay queennss wenye njaa karlii 🥴
 
Hii ndo sababu napenda wadada wa kizungu kwasababu mara nyingi zaidi Wana positive vibe ! [emoji7]
They always happy maintain their happiness lifestyle haijalishi wanapitia changamoto gani

Hawanaga kufake maisha ovyo ovyo kama hawa maslay queennss wenye njaa karlii [emoji3061]
Wapo hivyo kutokana na sisi wanaume , tusinge wapa attention ya kufeki kwao wangebadilika , wakulaumiwa ni sisi .
 
Nilikuwa YouTube Muda huu naangalia video za Jack wa USA this guy anaweka content za wanawake wa Marekani most of them wapo happy kwanza wazuri wakipewa salamu wanaitikia kwa bashasha kubwa Sana.

Njmegundua huku Tanzania umasikini wa uchumi umewafanya mademu kuwa watu wa hovyo Sana

Hawana raha Wala Amani , the nimeona wanaume was marekani hawana shida mademu zao kutoa kiss kwa wapita njia.

Eti unampa mtu salamu anakaa kimya kweli hii nchi haina wanawake that way watu wanakufa masikini


Kweli Africa is cursed continent
Ukiamka usingizini nishtue
 
Kuna siku nilipanda daladala nikwambia konda kama hakuna siti ya kukaa nashuka , watu wakaanza nong'ona huyu kaka anaringa kama vipi anunue gari lake , watanzania wengi wanapenda mteseke wote ukigoma kuteseka wanadai unaringa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Si Ndio yaan wakiwa na shida / stress zao za kishamba wanataka na wewe uwe nazo ,
hata kwenye biashara baadhi ya wateja wakimwona mtoa huduma ana furaha kuzidi wao wanasusa kununua bidhaa
 
Back
Top Bottom