min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
SureSi kweli .
wadada wengi wakibongo wanastress zakujitakia fanya research
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureSi kweli .
wadada wengi wakibongo wanastress zakujitakia fanya research
Hahahahaha mtu alie toboa maisha bongo niwakuheshimu sana.Si Ndio yaan wakiwa na shida / stress zao za kishamba wanataka na wewe uwe nazo ,
hata kwenye biashara baadhi ya wateja wakimwona mtoa huduma ana furaha kuzidi wao wanasusa kununua bidhaa
ThubutuuuuuWap unazungumzia, sheria tu zimewabana ila wangekuwa tu kama sisi wakidimbwi .
Mifumo yetu imewekwa kuwafanya wengi wawe masikini kutoboa labda uwe fisadi au mlamba asali.Hahahahaha mtu alie toboa maisha bongo niwakuheshimu sana.
Hakuna wanaume walio na stress za ndoa kama wa ulaya na America , hakuna watu wanaogoapa ndoa kama hao , niamni ninachokuambia.Thubutuuuuu
Kabsa mkuu lazima uwe na roho ngumu kutoboa .Mifumo yetu imewekwa kuwafanya wengi wawe masikini kutoboa labda uwe fisadi au mlamba asali.
Kodi ndio tools ya kutufanya tuwe masikini
Mbna wako na furahaa mda wotee, pesa wanazo na wanajua kuhudumia wanawake wao, nyie wa huku mnalazimisha wao wawe km nyie, haiwezekaniiiiHakuna wanaume walio na stress za ndoa kama wa ulaya na America , hakuna watu wanaogoapa ndoa kama hao , niamni ninachokuambia.
Sure, alafu cha kushangaza stress nyingne zinatokana na kujilinganisha na wengne .Umasikini na stress za maisha na kukubali shida zako ziitawale amani yako ndio sababu kuu,
Kila mtu ana matatizo yake,kila race ina matatizo yao ila usikubali matatizo yaitawale amani yako ya leo coz shida haziwezi kwisha,unaweza kujikuta maisha yako yote umeishi na stress na hukuenjoy maisha,
The most important thing is to enjoy your life,to be happy,it's all that matters,
Even if happiness forgets you a little bit,never completely forget about it,
When you give joy to other people,you get more joy in return.
Uko sahihi ni kama Korea kaskazini mtu.ukienda kutalii ni amri kuwa ukiona watalii au wageni onyesha uso wa furaha waone kuwa ni raha kuishi Korea KaskaziniSad generation with happy pictures
Sisi umaskini ndio tatzo ila wazungu wengi wana matatzo ya ndoa hasa wanaume wengi wana msongo wa mawzo kwa sababu ya sheria zao za kumlinda mwanamke , zilizo vuka mpaka .Mbna wako na furahaa mda wotee, pesa wanazo na wanajua kuhudumia wanawake wao, nyie wa huku mnalazimisha wao wawe km nyie, haiwezekaniiii
Mfano Netherlands haki za binadamu ziko hivi .Ukipanda kwenye basi ukikaa kwenye basi kukaa kwenye kiti mtoto anapewa nafasi ya haki ya kwanza.Kukaa kwenye kiti.HAKI ya Pili anapewa Mwanamke.Haki ya tatu anapewq Mbwa na mwisho kabisa anapewa MwanaumeSisi umaskini ndio tatzo ila wazungu wengi wana matatzo ya ndoa hasa wanaume wengi wana msongo wa mawzo kwa sababu ya sheria zao za kumlinda mwanamke , zilizo vuka mpaka .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muongo tyuuh.Sisi umaskini ndio tatzo ila wazungu wengi wana matatzo ya ndoa hasa wanaume wengi wana msongo wa mawzo kwa sababu ya sheria zao za kumlinda mwanamke , zilizo vuka mpaka .
True wazungu hawawazi kujenga,kula, kusomesha, kulala mifumo waliyoiweka ndio inabeba yote haya.Umasikini na stress za maisha na kukubali shida zako ziitawale amani yako ndio sababu kuu,
Kila mtu ana matatizo yake,kila race ina matatizo yao ila usikubali matatizo yaitawale amani yako ya leo coz shida haziwezi kwisha,unaweza kujikuta maisha yako yote umeishi na stress na hukuenjoy maisha,
The most important thing is to enjoy your life,to be happy,it's all that matters,
Even if happiness forgets you a little bit,never completely forget about it,
When you give joy to other people,you get more joy in return.
Sahihi kabisa ndio maana mianaume mingi imejitosa ndoa za jinsia moja kuoana wanaume kwa wanaumeHakuna wanaume walio na stress za ndoa kama wa ulaya na America , hakuna watu wanaogoapa ndoa kama hao , niamni ninachokuambia.
Hao Bottoms si wanakua na sheria sawa na wanawake??au inakuaje? Hebu nijuze zaidiSahihi kabisa ndio maana mianaume mingi imejitosa ndoa za jinsia moja kuoana wanaume kwa wanaume
Wanawake ulaya na Marekani kwa sababu ya uwingi wao hutumia wao kupitisha sheria za ajabu sana za kukandamiza wanaume
Population ya wanawake nchi zao kubwa kuliko wanaume Hivyo hutumia huo.mwanya kupitisha sheria za kuumiza sana wanaume.Yaani hata mwanaume akioa anakuwa more than a slave wa mwanamke. HAFURUKUTI.Mtumwa ana unafuu