Mkiaacha unamwacha mwanamke kwenye nyumba na mtoto na unailipia hyo nyumba mda wote ata kama huyo mwanamke ameamua kuishi kwenye hiyo nyumba na kidume kingne ili imradi tu una mtoto nae.Sahihi kabisa ndio maana mianaume mingi imejitosa ndoa za jinsia moja kuoana wanaume kwa wanaume
Wanawake ulaya na Marekani kwa sababu ya uwingi wao hutumia wao kupitisha sheria za ajabu sana za kukandamiza wanaume
Population ya wanawake nchi zao kubwa kuliko wanaume Hivyo hutumia huo.mwanya kupitisha sheria za kuumiza sana wanaume.Yaani hata mwanaume akioa anakuwa more than a slave wa mwanamke. HAFURUKUTI.Mtumwa ana unafuu
Sure.Sahihi kabisa ndio maana mianaume mingi imejitosa ndoa za jinsia moja kuoana wanaume kwa wanaume
Wanawake ulaya na Marekani kwa sababu ya uwingi wao hutumia wao kupitisha sheria za ajabu sana za kukandamiza wanaume
Population ya wanawake nchi zao kubwa kuliko wanaume Hivyo hutumia huo.mwanya kupitisha sheria za kuumiza sana wanaume.Yaani hata mwanaume akioa anakuwa more than a slave wa mwanamke. HAFURUKUTI.Mtumwa ana unafuu
Ni kweli mkuu mademu wa nje ya nchi wapo fresh sana, yani ukiwasalimia wanaitikia kwa furaha wakiwa wanatabasamu, ukiwa huwajui jinsi walivyo utajua demu kakupenda.Nilikuwa YouTube Muda huu naangalia video za Jack wa USA this guy anaweka content za wanawake wa Marekani most of them wapo happy kwanza wazuri wakipewa salamu wanaitikia kwa bashasha kubwa Sana.
Njmegundua huku Tanzania umasikini wa uchumi umewafanya mademu kuwa watu wa hovyo Sana
Hawana raha Wala Amani , the nimeona wanaume was marekani hawana shida mademu zao kutoa kiss kwa wapita njia.
Eti unampa mtu salamu anakaa kimya kweli hii nchi haina wanawake that way watu wanakufa masikini
Kweli Africa is cursed continent
We Mgerasi umevurugwa sana una nini mwamba daaaa!Sasa demu wa bongo alivyo akitema mate yanadunda unategemea nini?
Kwani ndoa ndiyo inasababisha kulea mtoto au kutolea mtoto ?Kule hawana pressure ya kuolewa kisa umri umeenda,hawana vikoba wala majukumu ya usingle mother,ukimpa mimba mnalea wote hata kama hamna ndoa
Jibu jepesi tu.....Nilikuwa YouTube Muda huu naangalia video za Jack wa USA this guy anaweka content za wanawake wa Marekani most of them wapo happy kwanza wazuri wakipewa salamu wanaitikia kwa bashasha kubwa Sana.
Njmegundua huku Tanzania umasikini wa uchumi umewafanya mademu kuwa watu wa hovyo Sana
Hawana raha Wala Amani , the nimeona wanaume was marekani hawana shida mademu zao kutoa kiss kwa wapita njia.
Eti unampa mtu salamu anakaa kimya kweli hii nchi haina wanawake that way watu wanakufa masikini
Kweli Africa is cursed continent
Uongo wazee wetu enzi za nyerere walipata ajira kwa riba urahisi sana tena bila hata kuwa na elimu kubwa, Babu yangu alipata ajira alikuwa anaenda mjini kutembea tu na mambo yake, wazee wa zamani wote walipata kazi bila kuzitafuta, Sema walikuwa hawana uelewa wa uchumi na utajiri kama nyakati hizi, walikuwa hajui wafanye nini ili wawe na uchumi imara wa familia zao.Nyerere alituwekea mifumo migumu sana kutoboa maisha tofaut na wakoloni
Ilikua ni rahisi kutoboa kimaisha enzi ya mkoloni kuliko enzi ya mwalimu
Vyote hivyo alirithi toka kwa wakoloni baadae vikafaUongo wazee wetu enzi za nyerere walipata ajira kwa riba urahisi sana tena bila hata kuwa na elimu kubwa, Babu yangu alipata ajira alikuwa anaenda mjini kutembea tu na mambo yake, wazee wa zamani wote walipata kazi bila kuzitafuta, Sema walikuwa hawana uelewa wa uchumi na utajiri kama nyakati hizi, walikuwa hajui wafanye nini ili wawe na uchumi imara wa familia zao.
Kwani ndoa ndiyo inasababisha kulea mtoto au kutolea mtoto ?
Kukosa Exposure ni kitu kibaya sana, kwa Sasa wanawake wa Africa, Asia na Latin America ndio wana furaha katika maisha Yao kuliko wa marekani. Wanawake wa marekani hasa black Americans waliofanikiwa kimaisha ni wapweke sana.Kule hawana pressure ya kuolewa kisa umri umeenda,hawana vikoba wala majukumu ya usingle mother,ukimpa mimba mnalea wote hata kama hamna ndoa
πππππKuna siku nilipanda daladala nikamwambia konda kama hakuna siti ya kukaa nashuka , watu wakaanza nong'ona huyu kaka anaringa kama vipi anunue gari lake , watanzania wengi wanapenda mteseke wote ukigoma kuteseka wanadai unaringa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sema wao wana relief Wanaipata to their life.Kukosa Exposure ni kitu kibaya sana, kwa Sasa wanawake wa Africa, Asia na Latin America ndio wana furaha katika maisha Yao kuliko wa marekani. Wanawake wa marekani hasa black Americans waliofanikiwa kimaisha ni wapweke sana.
Furaha kubwa ya binadamu haipo kwenye kula Bata na kucheka na kutabasamu, ipo katika kuwa na mahusiano mazuri na binadamu wengine hasa wale uwapendao na walio karibu Yako. Maisha ya ulaya kwa kiasi kikubwa yanakosa hii kitu.
Plastic smiles, maisha ya kwenye movies na tamthiliya, maisha ya kwenye mahojiano na watu maarufu, maisha ya kwenye social media yanadanganya sana siku hizi uhalisia hauki hivyo.
Kusifiwa, kupata likes, na watu kuadmire pics, na kutoa comments tamu tamu si kigezo Cha kuwa na furaha katika maisha.
Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app