Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Kisalilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2020
Posts
1,880
Reaction score
2,110
Habari za saivi ndugu zangu.

Dhumuni la kuleta hii mada hapa ni ili kupata msaada wa kimawazo kuhusu binti mmoja tuliodumu kwenye mahusiano kwa miaka minne.

Kipindi tunaanza tulikuwa tukipendana, tulikuwa mkoa mmoja naye mkoa mwingine ila kila akitaka fanya jambo lazima anishirikishe. Akawa anatunza pesa, namtunzia hadi ikafika milioni 1, alikuwa ananiamini sana kweli ikafika kipindi akaihitaji nikampatia akasema afungue kijiduka cha nguo.

Akafungua biashara ikawa inaenda ananiagiza nimchukulie mzigo mjini, nachukua namtumia.

Sasa mwaka huu shida imekuja amekuwa kama hana muda na mimi, ukimwambia ichi anakuja juu sana. Kawa mtu wa kujionesha kwingi, mtandaoni ana marafiki wengi sana wa kiume.

Ikawa kila siku sijui anaenda wapi, anajipost yupo na boda wake wanajisnap. Namuuliza watu wanaojua tuko kwenye mahusino wanakuchukiliaje wewe na huyo kijana akajibu "HAKUNA ANAENILISHA HUYU NI KAMA NDUGU YANGU"!

Nikapotezea maisha yakaenda, akawa mtu wa visirani sana.

Ukimwambia kitu hajali, sasa nipo nafikiria nimuache tu maisha yake maana kwa hali yake ya sasa IMENISHINDA.

Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu.
 
Pole sana mkuu. Tatizo lipo kwako na kwake pia. Simple rules:

1. Kwanza usiwekeze kwa mwanamke (kumfungulia biashara au kumsomesha) ambae sio Mke wako.

2. Pili, kama haujavuka 40, usioe na usimuoe ambae hajavuka 35.

3. Ukishindwa rule number , 1 mpe kwanza mimba ndio wekeza.

4. Ukishindwa rule namba 2, hakikisha una backup na usipende mazima na usiwe na wivu.

Sasa kijana nini cha kufanya!?

Huyo binti punguza nae Mawasiliano, iwe za Asubuhi, pole na kazi, za jioni, usiku mwema. Hamna story nyingi za umekula, umelala, habari za biashara etc.

Ikipita week anaendea ivo ivo mpe likizo ya week nzima bila kumtafuta.

Baada ya hapo hajabadirika, piga chini na usimfatilie kwenye mitandao.

Labda watawezana na kijana wa Boda.
 
Mi huwa naamini wanawake hawana uhitaji wa kuwa na mwanaume ila wanahitaji tu ile mali anayomiliki mwanaume.....ndio maana mwanaume kama huna kitu ni ngumu sana kupata mke, mwanamke akipata mali yake mwenyewe anakuwa hana kabisa uhitaji wa mume na ikitokea ukampata mke wa namna hiyo jiandae kunyanyaswa tu.
 
Pole sana mkuu. Tatizo lipo kwako na kwake pia. Simple rules:

1. Kwanza usiwekeze kwa mwanamke (kumfungulia biashara au kumsomesha) ambae sio Mke wako.

2. Pili, kama haujavuka 40, usioe na usimuoe ambae hajavuka 35.

3. Ukishindwa rule number , 1 mpe kwanza mimba ndio wekeza.

4. Ukishindwa rule namba 2, hakikisha una backup na usipende mazima na usiwe na wivu.

Sasa kijana nini cha kufanya!?

Huyo binti punguza nae Mawasiliano, iwe za Asubuhi, pole na kazi, za jioni, usiku mwema. Hamna story nyingi za umekula, umelala, habari za biashara etc.

Ikipita week anaendea ivo ivo mpe likizo ya week nzima bila kumtafuta.

Baada ya hapo hajabadirika, piga chini na usimfatilie kwenye mitandao.

Labda watawezana na kijana wa Boda.
Sio kama nilimuanzishia biashara hapana nilikuwa namtunzia pesa zake zilipofika kiasi icho ndo akachukua kuanzisha biashara biashara ilipostawi ndo jeuri zikaanza
 
Sio kimada ni mtu tuliyekuwa mahusiano mda mrefu na silalamikii pesa zake ila matendo yake
Mahusiano muda mrefu... umejitambulisha kwa wazazi wake? ikiwa taratibu za kukukabidhiwa iwe kiserikali, kidini au kimila hazijafanyika huyo ni kimada wako tu. acha ujinga. kwanza miaka 4 bado unampotezea muda tu. bora akutukane makavu ndipo utajiongeza. unalialia kwa pesa za hawara?!!
 
mahusiano muda mrefu, umejitambulisha kwa wazazi wake? ikiwa taratibu za kukukabidhi iwe kiserikali, kidini au kimila hazijafanyika huyo ni kimada wako tu. acha ujinga. kwanza miaka 4 bado unampotezea muda tu. bora akutukane makavu ndipo utajiongeza. unalialia kwa pesa za hawara?!!
Sawa shukrani
 
mahusiano muda mrefu, umejitambulisha kwa wazazi wake? ikiwa taratibu za kukukabidhi iwe kiserikali, kidini au kimila hazijafanyika huyo ni kimada wako tu. acha ujinga. kwanza miaka 4 bado unampotezea muda tu. bora akutukane makavu ndipo utajiongeza. unalialia kwa pesa za hawara?!!
Umemaliza kila kitu.
 
Back
Top Bottom