Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Simple statistics ila he’s right mwandishi umeelewa?
Golden Rule:
Usimkumbatie mtu asiyekuhitaji au kuonesha nia ya kukuelewa kwa makusudi. She treats you like trash then treat her the same way. Its called enhancing your value.

Ukweli mchungu:
Kuna asilimia 99% boda boda wako anajua kuwa analiwa na huwa anamuendesha kuelekea machinjioni. Asilimia 1% boda boda ni mume mwenzio. Hao ndio wanawake.
 
Dah.
bro wew ni CLONE yangu kabisa. mim yamenikuta ayo kuna mwanamke nilikuwa nae kimahusiano akanibwaga sasa anatoka na kigogo wa benki moja mjin. dem kawezeshwa anakipato kikubwa kunizid mim bas ananitambia mitandaoni alaf anadharau sio poa adi mtindo wa kuongea amebadiri anaongea kama sepetu
 
Habari za saivi ndugu zangu.

Dhumuni la kuleta hii mada hapa ni ili kupata msaada wa kimawazo kuhusu binti mmoja tuliodumu kwenye mahusiano kwa miaka minne.

Kipindi tunaanza tulikuwa tukipendana, tulikuwa mkoa mmoja naye mkoa mwingine ila kila akitaka fanya jambo lazima anishirikishe. Akawa anatunza pesa, namtunzia hadi ikafika milioni 1, alikuwa ananiamini sana kweli ikafika kipindi akaihitaji nikampatia akasema afungue kijiduka cha nguo.

Akafungua biashara ikawa inaenda ananiagiza nimchukulie mzigo mjini, nachukua namtumia.

Sasa mwaka huu shida imekuja amekuwa kama hana muda na mimi, ukimwambia ichi anakuja juu sana. Kawa mtu wa kujionesha kwingi, mtandaoni ana marafiki wengi sana wa kiume.

Ikawa kila siku sijui anaenda wapi, anajipost yupo na boda wake wanajisnap. Namuuliza watu wanaojua tuko kwenye mahusino wanakuchukiliaje wewe na huyo kijana akajibu "HAKUNA ANAENILISHA HUYU NI KAMA NDUGU YANGU"!

Nikapotezea maisha yakaenda, akawa mtu wa visirani sana.

Ukimwambia kitu hajali, sasa nipo nafikiria nimuache tu maisha yake maana kwa hali yake ya sasa IMENISHINDA.

Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu.
Achana naye huyo mara moja...mbona wanawake wapo wengi dunia hii
 
Dah.
bro wew ni CLONE yangu kabisa. mim yamenikuta ayo kuna mwanamke nilikuwa nae kimahusiano akanibwaga sasa anatoka na kigogo wa benki moja mjin. dem kawezeshwa anakipato kikubwa kunizid mim bas ananitambia mitandaoni alaf anadharau sio poa adi mtindo wa kuongea amebadiri anaongea kama sepetu
😁😁 Pole yako
 
Dah.
bro wew ni CLONE yangu kabisa. mim yamenikuta ayo kuna mwanamke nilikuwa nae kimahusiano akanibwaga sasa anatoka na kigogo wa benki moja mjin. dem kawezeshwa anakipato kikubwa kunizid mim bas ananitambia mitandaoni alaf anadharau sio poa adi mtindo wa kuongea amebadiri anaongea kama sepetu
Acha tu wanawake ni wapuuza sana
 
Back
Top Bottom