Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
🤣 Sawa sawaAkili itasaidia nini kama mzee bhakressa akitaka aloweke humo?😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 Sawa sawaAkili itasaidia nini kama mzee bhakressa akitaka aloweke humo?😀😀😀
Umeamua kutulia kwa yesu🤣🤣🤣🤣Nmetulizana sana, mahangaiko hayana issue rafiki yangu.
Dah.
bro wew ni CLONE yangu kabisa. mim yamenikuta ayo kuna mwanamke nilikuwa nae kimahusiano akanibwaga sasa anatoka na kigogo wa benki moja mjin. dem kawezeshwa anakipato kikubwa kunizid mim bas ananitambia mitandaoni alaf anadharau sio poa adi mtindo wa kuongea amebadiri anaongea kama sepetu
Shangaa na weweWanaume bwana
Mnavyocoment humu utafikiri siyo nyie mkipata pesa mnabadili mpaka type ya mwanamke wa kuspend nae [emoji706]
Pole, angalia ustaarabu mwingine.Zimekwama akili zangu kwakweli
Karibu mkuu anytimeDah! Best comment ever umenijenga natamani nije inbox kwako
🤣🤣🤣🤣🤣 Tanatafuta wale wanaoweza timiza fantasy zetuWanaume bwana
Mnavyocoment humu utafikiri siyo nyie mkipata pesa mnabadili mpaka type ya mwanamke wa kuspend nae [emoji706]
Mlikuwa mkoa mmoja alafu mkoa mwingine?Kipindi tunaanza tulikuwa tukipendana, tulikuwa mkoa mmoja naye mkoa mwingine
Mdogo wangu, tumia muda mwingi katika kujenga future yako yaaani uwe na akiba kubwa ya pesa. Mapenzi jihusishe nayo lakini usiyape nafasi kuuubwa ndani ya moyo wako. Kuna na mwanamke 50/50 yaani akiwepo sawa na akiamua kuondoka sawa tu ilimradi dili zako za hela hazijayumba baaas.Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tanatafuta wale wanaoweza timiza fantasy zetu
Hapo tunakuwa tunapunguza genye sio kwamba tumependaEeeh mkipata hela mnaanza kusaka fantasy na body kinanda sisi tuliotafuta wote unapiga chini siyo classy yako[emoji1787][emoji1787][emoji119]
Naaam bro nmekupataMdogo wangu, tumia muda mwingi katika kujenga future yako yaaani uwe na akiba kubwa ya pesa. Mapenzi jihusishe nayo lakini usiyape nafasi kuuubwa ndani ya moyo wako. Kuna na mwanamke 50/50 yaani akiwepo sawa na akiamua kuondoka sawa tu ilimradi dili zako za hela hazijayumba baaas.