Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Pole sana mkuu. Tatizo lipo kwako na kwake pia. Simple rules:

1. Kwanza usiwekeze kwa mwanamke (kumfungulia biashara au kumsomesha) ambae sio Mke wako.

2. Pili, kama haujavuka 40, usioe na usimuoe ambae hajavuka 35.

3. Ukishindwa rule number , 1 mpe kwanza mimba ndio wekeza.

4. Ukishindwa rule namba 2, hakikisha una backup na usipende mazima na usiwe na wivu.

Sasa kijana nini cha kufanya!?

Huyo binti punguza nae Mawasiliano, iwe za Asubuhi, pole na kazi, za jioni, usiku mwema. Hamna story nyingi za umekula, umelala, habari za biashara etc.

Ikipita week anaendea ivo ivo mpe likizo ya week nzima bila kumtafuta.

Baada ya hapo hajabadirika, piga chini na usimfatilie kwenye mitandao.

Labda watawezana na kijana wa Boda.
Mzee kote uko sawa ila namba 3 kama unaweza futa tu kabisa,akimpa mimba uyo demu sio wa kumuoa wala kuzaa nae,demu ana redflags zakutosha,akimpa mimba watakuja kusumbuna kwenu child support jamaa atanyoshwa vibaya sana..na kwann uzae na Malaya?

Jamaa anatakiwa awe na options,atafute Mwanamke mwingine,hapo hana chake
 
Mi huwa naamini wanawake hawana uhitaji wa kuwa na mwanaume ila wanahitaji tu ile mali anayomiliki mwanaume.....ndio maana mwanaume kama huna kitu ni ngumu sana kupata mke, mwanamke akipata mali yake mwenyewe anakuwa hana kabisa uhitaji wa mume na ikitokea ukampata mke wa namna hiyo jiandae kunyanyaswa tu.
Ukweli mtupu ndio maana wapo tayari kutukuwa na tall dark and handsome wakatuliankwa andunje andunje mwenye hela🤣🤣🤣🤣 Kelsea
 
Mi huwa naamini wanawake hawana uhitaji wa kuwa na mwanaume ila wanahitaji tu ile mali anayomiliki mwanaume.....ndio maana mwanaume kama huna kitu ni ngumu sana kupata mke, mwanamke akipata mali yake mwenyewe anakuwa hana kabisa uhitaji wa mume na ikitokea ukampata mke wa namna hiyo jiandae kunyanyaswa tu.
fvck Yeah
 
Wasichana wa kuoa wa kuona hata wawe na vipato na angalau wanajielewa nafasi yako mbele ya mwanaume ni WA Pwani ,singida , shinyanga ,iringa, Tabora na mbeya hao wengine wakiwa na elimu basi huko twitter washakuwa wanaharakati ...
 
Pole sana mkuu. Tatizo lipo kwako na kwake pia. Simple rules:

1. Kwanza usiwekeze kwa mwanamke (kumfungulia biashara au kumsomesha) ambae sio Mke wako.

2. Pili, kama haujavuka 40, usioe na usimuoe ambae hajavuka 35.

3. Ukishindwa rule number , 1 mpe kwanza mimba ndio wekeza.

4. Ukishindwa rule namba 2, hakikisha una backup na usipende mazima na usiwe na wivu.

Sasa kijana nini cha kufanya!?

Huyo binti punguza nae Mawasiliano, iwe za Asubuhi, pole na kazi, za jioni, usiku mwema. Hamna story nyingi za umekula, umelala, habari za biashara etc.

Ikipita week anaendea ivo ivo mpe likizo ya week nzima bila kumtafuta.

Baada ya hapo hajabadirika, piga chini na usimfatilie kwenye mitandao.

Labda watawezana na kijana wa Boda.
Asante bro nimeipenda hii.
 
Pole sana mkuu. Tatizo lipo kwako na kwake pia. Simple rules:

1. Kwanza usiwekeze kwa mwanamke (kumfungulia biashara au kumsomesha) ambae sio Mke wako.

2. Pili, kama haujavuka 40, usioe na usimuoe ambae hajavuka 35.

3. Ukishindwa rule number , 1 mpe kwanza mimba ndio wekeza.

4. Ukishindwa rule namba 2, hakikisha una backup na usipende mazima na usiwe na wivu.

Sasa kijana nini cha kufanya!?

Huyo binti punguza nae Mawasiliano, iwe za Asubuhi, pole na kazi, za jioni, usiku mwema. Hamna story nyingi za umekula, umelala, habari za biashara etc.

Ikipita week anaendea ivo ivo mpe likizo ya week nzima bila kumtafuta.

Baada ya hapo hajabadirika, piga chini na usimfatilie kwenye mitandao.

Labda watawezana na kijana wa Boda.
andika kitabu
 
Wasichana wa kuoa wa kuona hata wawe na vipato na angalau wanajielewa nafasi yako mbele ya mwanaume ni WA Pwani ,singida , shinyanga ,iringa, Tabora na mbeya hao wengine wakiwa na elimu basi huko twitter washakuwa wanaharakati ...
Yupo tabora mbona na hajielewi
 
Golden Rule:
Usimkumbatie mtu asiyekuhitaji au kuonesha nia ya kukuelewa kwa makusudi. She treats you like trash then treat her the same way. Its called enhancing your value.

Ukweli mchungu:
Kuna asilimia 99% boda boda wako anajua kuwa analiwa na huwa anamuendesha kuelekea machinjioni. Asilimia 1% boda boda ni mume mwenzio. Hao ndio wanawake.
 
Kuna mahali nilisoma kwamba mwana ume akipata hela anamtafuta mwana mke watumie nae na mwana mke akipata hela anatafuta jinsi ya kuishi bila mwana ume.

Imenifunza mengi kuhusu mwanamke, kikubwa kabisa ni kuyaangalia maisha yako binafsi na furaha yako kwa asilimia 95 zilizobaki unaweza ukagawa kwa wengine ikiwepo mwana mke.
 
Kuna mahali nilisoma kwamba mwana ume akipata hela anamtafuta mwana mke watumie nae na mwana mke akipata hela anatafuta jinsi ya kuishi bila mwana ume.

Imenifunza mengi kuhusu mwanamke, kikubwa kabisa ni kuyaangalia maisha yako binafsi na furaha yako kwa asilimia 95 zilizobaki unaweza ukagawa kwa wengine ikiwepo mwana mke.
Nakubari Sana bro
 
Habari za saivi ndugu zangu.

Dhumuni la kuleta hii mada hapa ni ili kupata msaada wa kimawazo kuhusu binti mmoja tuliodumu kwenye mahusiano kwa miaka minne.

Kipindi tunaanza tulikuwa tukipendana, tulikuwa mkoa mmoja naye mkoa mwingine ila kila akitaka fanya jambo lazima anishirikishe. Akawa anatunza pesa, namtunzia hadi ikafika milioni 1, alikuwa ananiamini sana kweli ikafika kipindi akaihitaji nikampatia akasema afungue kijiduka cha nguo.

Akafungua biashara ikawa inaenda ananiagiza nimchukulie mzigo mjini, nachukua namtumia.

Sasa mwaka huu shida imekuja amekuwa kama hana muda na mimi, ukimwambia ichi anakuja juu sana. Kawa mtu wa kujionesha kwingi, mtandaoni ana marafiki wengi sana wa kiume.

Ikawa kila siku sijui anaenda wapi, anajipost yupo na boda wake wanajisnap. Namuuliza watu wanaojua tuko kwenye mahusino wanakuchukiliaje wewe na huyo kijana akajibu "HAKUNA ANAENILISHA HUYU NI KAMA NDUGU YANGU"!

Nikapotezea maisha yakaenda, akawa mtu wa visirani sana.

Ukimwambia kitu hajali, sasa nipo nafikiria nimuache tu maisha yake maana kwa hali yake ya sasa IMENISHINDA.

Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu.
Na wakianguka kiuchumi wanaishi kama digidigi
 
Back
Top Bottom