Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, 😀😀, mkuu hivi na majuu wanahuo utaratibu wakuhama usiku!?Unakuta mtu godoro limechakaa,furniture zimeoza huyo atahama mchana kweli?
Nakubaliana na hoja yako mkuu, mpango mzima kuhama usiku. Na huwa nanunua salfeti kufungia vitu ambavyo kwa vyovyoye vitafit kuondoa sintofahamu kwa wananzengo wapya😂😂Asubuhi tunakuwa kazini.
Mitaa mingne ukiamia mchana majamaa yanaanza kuangalia nini cha kuja kuchukua usiku
Wengi kiasi gani na wa wapi na lini?Wana jamii habari za muda huu? Naomba kujua nikwann watu wengi wanapenda kuhama usiku???
Wenzetu wanahamaga na magari yalioficha mali zao 😅😅😅!!! Gari inakuwa full sealed haina upambeDuh, 😀😀, mkuu hivi na majuu wanahuo utaratibu wakuhama usiku!?
Masulumbwete yanawekwa kwenye black bagDuh, 😀😀, mkuu hivi na majuu wanahuo utaratibu wakuhama usiku!?
Mkuu wanaficha magodoro yaliyobadirika rangi pamoja na madumu ya plastic, zamani ilikuwa wanaficha ''sabuwufa'' ila mchina katuokoa siku hizi ''sabuwufa'' si mali tena kila mwendesha bodaboda anayo.Wakuu,
Nina hoja fupi hapa, hivi mbona wakazi wengi wa Dar es salaam na miji mingine wanapenda kuhama usiku usiku tu? Mtu anatoka Keko anahamia Mbagala lazima atahamisha vitu usiku tu. Hivi kunani hapa? Wanaficha nini? Kwanini wasihame mchana au asubuhi?
Wakuu karibuni hapa mtujuze
Duh.😀😀😀!Masulumbwete yanawekwa kwenye black bag
Wenzetu wanahamaga na magari yalioficha mali zao 😅😅😅!!! Gari inakuwa full sealed haina upambe
Aisee.😀😀,sijui sisi tunakwama wapi.!Wenzetu wanahamaga na magari yalioficha mali zao 😅😅😅!!! Gari inakuwa full sealed haina upambe
Hizi nyuzi za kitoto bwana!kumbe majibu unayo...!