Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Daah noma sanaUshajiuliz kwann malaya waliowengi wanasimama na kujiuza usiku lkn sio mchana ukipata jibu utajijibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah noma sanaUshajiuliz kwann malaya waliowengi wanasimama na kujiuza usiku lkn sio mchana ukipata jibu utajijibu
We' utakuwa mzoefu wa kuhama hama....[emoji28][emoji28]1. Kutopenda kuchunguzwa vitu anavyomiliki muhusika kwa sehem anako hamia au alipokuwepo.
2. Kutopenda kujulikana anahama(wengi wasimuone)
3. Nafasi(wengi wa watu huwa free wakati wa usiku hivyo ndo muda wakufanya mambo ya ziada kama kuhama)
4. Unafuu wa nauli na upatikanaji wa usafiri(Muda wa usiku ndo muda ambao madereva wa vi lory au kirikuu ni wepesi kukubali bei yotote ili mradi siku isipite bure ukitofautisha na wakati mwingine kama asubuh au mchana .
5.Kuficha baadhi ya siri zake(Wengine huwa na madoro machafu au mambo hata ya kishirikiana hivyo hapendi vionekane)
6. Mozoea (Baada ya hayo yote basi hata kama mtu hana hizo sababu hujikuta nae kuangukia katika mazoea haya bila hata sababu maalumu)
Ha ha ha ha ha haMaronya ronya...
😂😂Inavyoaminika mitaani:
Wanaohama usiku wengi ni wanaoishi nyumba za kupanga. Wanaohama mchana wengi ni wale wanaohamia kwenye nyumba zao mpya. Anatoka mchana kweupe ili mumuulize, unakwenda wapi? "Nahamia kwangu 😀" atakujibu.