Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Mi nilihama mchana SAA 8 jua kaliiii[emoji2][emoji2][emoji2], nilipohamia nikakaa siku moja iliyofuata nikapata safari ya kikazi, usiku huo wakaja wenye Mali wakazoa kila kitu[emoji38][emoji38]
Niliporudi, m/ kiti wa mtaa akaniambia, Mama wewe mwenyeji wa wapi? Watu huwa hawahami mchana unajichoresha, waliokuibia walikuona cku una hamia[emoji2][emoji2]
Hata ukihamia usiku watu wakiamua kukupiga wanakupiga tu
 
Zaidi Ni Kuficha Aibu. Uchakavu Wa vifaa kama magodoro na vyombo visionekane. Pia vibaka na wezi wasiweze kuona mali wasipate kutamani
 
Mi nilihama mchana SAA 8 jua kaliiii[emoji2][emoji2][emoji2], nilipohamia nikakaa siku moja iliyofuata nikapata safari ya kikazi, usiku huo wakaja wenye Mali wakazoa kila kitu[emoji38][emoji38]
Niliporudi, m/ kiti wa mtaa akaniambia, Mama wewe mwenyeji wa wapi? Watu huwa hawahami mchana unajichoresha, waliokuibia walikuona cku una hamia[emoji2][emoji2]
Ungenipa kazi ya ulinzi mrembo
 
We mtu nna godoro moja zaidi ya miaka kumi limeshachanika cover lake
Halafu lina madoadoa mengi katikati sehemu ya kiuno na juu sehemu ya kukoromea
 
Bachelor-godoro,kitanda, subwoofer,kabti mchina,sofa ya watu 2,feni,bag la nguo (kadeti za kila rangi),shoe rack,tv, laptop,funguo extra wa Toyota,jiko+mtungi, na soksi(zilizofutiwa zilizokakamaa za punyet*)

Spinster-Godoro,kitanda cha chuma,kabati la zipu la pink au fomeka,stendi ya mabeg,dressing table,Vyombo,Jiko+mtungi,jaba,shoe rack,tv +king'amuzi,feni,shangazi kaja ya mawigi na nguo ambazo hajazivaa na hatazivaa na hatazigawa,Mabeg matano ya nguo,kapu la nguo chafu,Fimbo za pazia(hawaachagi kitu),biblia yenye vumbi,midoli,tomato sauce,simu mbovu 2 (smart),miwani ya 3D,vidonge vya P2 na vichupio.

Lakini vyote hivi kilikuu moja inatosha.
Naona umeorodhesha vitu vya geto la demu wako na lako
 
Usalama muhimu. Usiku mtu anakuwa hajui mali ulizonazo tofauti na mchana.
 
Unahama mchana unafanya matangazo kila mtu ajue ameingia mtu mpya au fulan kahamia sehmu,usiku au jion maswal so mengi kila mtu yuko bize na shughul zake
 
1.Inategemea location ulipo, kwa eneo kama Dsm waendesha canter,vicarry mchana huwa hawakubali kutokana na usumbufu barabarani.

2.Kukwepa madeni

3.Hali ya vyombo vya mhusika
 
Wanakwepa msongamano wa magari barabarani. na mwenye kirikuu anataka aende arudi faster kuendelea na kazi. wenye kirikuu ukiwafuata watakwambia kazi hii tufanye usiku.
 
Back
Top Bottom