Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukihamia usiku watu wakiamua kukupiga wanakupiga tuMi nilihama mchana SAA 8 jua kaliiii[emoji2][emoji2][emoji2], nilipohamia nikakaa siku moja iliyofuata nikapata safari ya kikazi, usiku huo wakaja wenye Mali wakazoa kila kitu[emoji38][emoji38]
Niliporudi, m/ kiti wa mtaa akaniambia, Mama wewe mwenyeji wa wapi? Watu huwa hawahami mchana unajichoresha, waliokuibia walikuona cku una hamia[emoji2][emoji2]
Gharama ya usafirishaji ndiyo sababau kuu kabisa .....mtu anataka akikodi kenta abebe vyoteKuhama taratibu ndio vizuri. Leo unahamisha robo kesho nusu hadi unamaliza
Mchawi godoro tuu. Kama una magodoro mazuri unahama muda wowote
Ipo hapo juu mkuuHakuna sababu ya maana ..
Ungenipa kazi ya ulinzi mremboMi nilihama mchana SAA 8 jua kaliiii[emoji2][emoji2][emoji2], nilipohamia nikakaa siku moja iliyofuata nikapata safari ya kikazi, usiku huo wakaja wenye Mali wakazoa kila kitu[emoji38][emoji38]
Niliporudi, m/ kiti wa mtaa akaniambia, Mama wewe mwenyeji wa wapi? Watu huwa hawahami mchana unajichoresha, waliokuibia walikuona cku una hamia[emoji2][emoji2]
Naona umeorodhesha vitu vya geto la demu wako na lakoBachelor-godoro,kitanda, subwoofer,kabti mchina,sofa ya watu 2,feni,bag la nguo (kadeti za kila rangi),shoe rack,tv, laptop,funguo extra wa Toyota,jiko+mtungi, na soksi(zilizofutiwa zilizokakamaa za punyet*)
Spinster-Godoro,kitanda cha chuma,kabati la zipu la pink au fomeka,stendi ya mabeg,dressing table,Vyombo,Jiko+mtungi,jaba,shoe rack,tv +king'amuzi,feni,shangazi kaja ya mawigi na nguo ambazo hajazivaa na hatazivaa na hatazigawa,Mabeg matano ya nguo,kapu la nguo chafu,Fimbo za pazia(hawaachagi kitu),biblia yenye vumbi,midoli,tomato sauce,simu mbovu 2 (smart),miwani ya 3D,vidonge vya P2 na vichupio.
Lakini vyote hivi kilikuu moja inatosha.
Hata mm huwa naenjoy night kali maana njia inakuwa nyeupeee kabisaHatakusafiri Raha sana usiku Basi tyuuu
AhahahahaaMchawi godoro tuu. Kama una magodoro mazuri unahama muda wowote
Daah noma sanaUshajiuliz kwann malaya waliowengi wanasimama na kujiuza usiku lkn sio mchana ukipata jibu utajijibu