Mzee wa fitna
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 341
- 188
Sababu ni mbili! Moja, Ni kujisitiri watu kujua maisha yako hasa vyombo unavyomiliki hasa kama vina uchakavu! Mbili ni Kuzuia wezi wanaotamani Mali za watu kujua unamiliki nini hata wakivamia kwako wanajua kabisa wanachokipata