Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Jana nimenunua tv nimepeleka home kumbe mpangaji mwenzangu kasafiri hayupo nyumbani nimerudisha dukani kwanza nasubiri siku akirudi nikaifate tena haiwezekani iwe kimya kimya kama nimeiba nitatumia mbinu zote ili jihakikishe anaiona hapa nimetoka kumpigia simu kujua anarudi lini anasema nauri yake haijatimia nakwenda kwa wakala pale kumwongezea nauri hata kama ndo pesa yangu ya kula kwa leo lakini nataka arudi haraka aone TV yangu siwezi kufa kwa njaa ya siku moja bhana
 
Kwenye ule uzi wako wa deep web nilikukera[emoji23][emoji23].

Wanahama usiku kwa sababu za kiusalama
Majirani hasa wezi,wachora ramani wasione mali zinazoingia ndani ya nyumba na zinazotoka
Vipi kuhusu uchafu kama mjumbe mmoja alivyosema hapo juu?
 
Mkuu hapo kuna mambo mengi, isipokua hakuna sababu moja ya msingi inayowafanya watu wapende kuhama usiku.

Mfano kuna wengine hawataki kujulikana kua wanahama, wengine ni imani za kishirikina zinawasumbua, wengine hawataki vyombo vyao vya ndani majirani wavione, wengine wanakuaga na madeni kwahio wanaamua kuhama usiku ili majirani wasije kuwapa taarifa wanaomdai na mengineyo mengi.
Nimekusoma mkuu atleast nimepata mwanga fulani
 
Security. Imagine unahamia huku uswazi kwetu cantre imejaa maboksi ya 60'' OLED tv, home theatre,mazagazahga kibao huku vibaka wa kitaa wanashuhudia

hahaa hao wanaweza kukuotea muda wowot ule wakakuibia..srhem nayoishi mm majirani karibu wote wameibiwa flat screen zao...sie tunaponea chup chup coz tuna mbwa..ila naaminigi iko siku nitashika kibaka kwa mkono wangu..niko senstive mno mm usk...!nikimshikaaa😣😣😣😣
 
Security. Imagine unahamia huku uswazi kwetu cantre imejaa maboksi ya 60'' OLED tv, home theatre,mazagazahga kibao huku vibaka wa kitaa wanashuhudia

hahaa hao wanaweza kukuotea muda wowot ule wakakuibia..srhem nayoishi mm majirani karibu wote wameibiwa flat screen zao...sie tunaponea chup chup coz tuna mbwa..ila naaminigi iko siku nitashika kibaka kwa mkono wangu..niko senstive mno mm usk...!nikimshikaaa😣😣😣😣
 
Issue kubwa ni uchafu na baadhi ya vitu kachakaa. Wewe unakuta mtu ana kisofa kochi chake kimechakaa mpaka basi sasa kukitoa mchana anaona nouma.

Kingine,Vyombo vilivyopitwa na wakati, maplastiki kibao, chupa za maji nyingi utafikiri muuza gongo. Vigodoro vilivyochoka full mafua.

Yaani kwa kifupi ni kuficha uchafu na umaskini.
Sasa kwanini mtu asikubaliane na hali yake? Maana usiku nao una hatari zake
 
Back
Top Bottom