Mbona Waziri Dorothy Gwajima yupo kimya sakata la Pauline Gekul?

Mbona Waziri Dorothy Gwajima yupo kimya sakata la Pauline Gekul?

Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
na wewe utakuwa muiraq tuuu
Kiongozi WA juu kama yeye haitakiwi hata uwe na rumors
Kama makamu WA rais alivyosema
Sasa wewe unaongea upupu Gani huu
 
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
We nae sijui wa wapi wewe, Rais asingemtumbua huo uchunguzi ungefanyikaje? Uliwahi kusikia waziri anachunguzwa na kushtakiwa

Sasa hivi tu katumbuliwa ila RPC akiongea anamuita muheshimiwa na body language Inaonekana kabisa ameegemea upande gani huyo RPC

Kuendelea kumuacha akiwa waziri na mbunge ni kusababisha kuharibu hii kesi na kumlalia Hashim
 
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.

Waziri hupaswi hata kutuhumiwa, ni vile tu viongozi wa Kiafrika hukaza mafuvu sababu ya kiburi na uchu wa madaraka wa kutokujiwajibisha

Mahakama ikimsafisha ataweza kupewa dhamana ya uongozi tena...
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mbona upo kimya sana kuhusu hili sakata la Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline Gekul?

Dorothy Gwajima hujawahi kukaa kimya kiasi hiki linapotokea jambo la kuzalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia kiasi cha kijana mdogo kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa na Naibu waziri!

Dorothy Gwajima kama uliweza kujitokeza kwa mbwembwe za hali ya juu na kuwananga na kuwasema walimu eti kisa tu wameruhusu kuucheza wimbo wa Zuchu wa Honey. Mbona hili jambo la Gekul umekaa kimya kama vile hulioni?

Wewe huwa unajinasibu kuwa unapinga sana unyanyasaji wa kijinsia na hupendi kuona raia akifanyiwa kitendo cha kinyanyasaji. Sasa mbona hili la Gekul umekausha kimyaaaaa?

Zile mbwembwe zako za kwenye media hasa linapotokea jambo lolote la unyanyasaji wa kijinsi mbona kwa Gekul hatukuoni!

Mbona hutoi matamko yako ya mbwembwe nyingiiiiiiiiiiiiiiii kama tulivyokuzoea!

Kuna siri gani kati yako na Pauline Gekul mpaka "umeufyanta"?
Huyu mama, hqkustahili kuwa waziri, Ali perform vzr, akiwa waziri,
 
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Rahisi anaweza kumtengua mteule wake bila hata kutoa sababu ndio maana hata ile barua ya ktengua haijatoa sababu
 
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Kumbuka Rais anapokea intelligence daily! Pia ni suala la kupisha uchunguzi.
 
Hili jambo limeshughulikiwa na rais na sasa liko kwenye vyombo vya sheria, so Waziri hana nafasi tena kilishughulikia.

Note; mteule wa rais hawezi kumshughulikia mteule mwenzake ni kazi ya mamlaka ya uteuzi
 
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Kamtoa kafara Gekul sababu hana backup. Ni kama Sabaya alivyotolewa kafara ili kuwafurahisha upinzani pale mwanzo. Na hata ukiangalia wanaomshambulia Gekul ni wale wa upande wa V sababu aliwabwaga na chama chao.

Hizi tuhuma wanamshambulia kisiasa zaidi kuliko kijamii sababu wanajua fika kijamii ni tuhuma tu ila wao lengo lao ni kuona mtu yeyote anayetoka chama chao akienda ccm basi aharibikiwe. Wakati wao wakiharibiwa wanaona wenzao mashetani.
 
Ingekuwa ni msichana kaingiziwa chupa na Mheshimiwa wa kiume, ungemshamsikia zamani sana.

Harakati za kulinda watoto wa kike zimefanya watoto wa kiume kuwa neglected. Hawa wanaharakati na wanasiasa hawajui athari zitakazokuja kuzikumba jamii na haswa wanawake wenyewe kwa Kum neglect mtoto wa kiume. Cha muhimu maisha yanawaendea.
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mbona upo kimya sana kuhusu hili sakata la Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline Gekul?

Dorothy Gwajima hujawahi kukaa kimya kiasi hiki linapotokea jambo la kuzalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia kiasi cha kijana mdogo kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa na Naibu waziri!

Dorothy Gwajima kama uliweza kujitokeza kwa mbwembwe za hali ya juu na kuwananga na kuwasema walimu eti kisa tu wameruhusu kuucheza wimbo wa Zuchu wa Honey. Mbona hili jambo la Gekul umekaa kimya kama vile hulioni?

Wewe huwa unajinasibu kuwa unapinga sana unyanyasaji wa kijinsia na hupendi kuona raia akifanyiwa kitendo cha kinyanyasaji. Sasa mbona hili la Gekul umekausha kimyaaaaa?

Zile mbwembwe zako za kwenye media hasa linapotokea jambo lolote la unyanyasaji wa kijinsi mbona kwa Gekul hatukuoni!

Mbona hutoi matamko yako ya mbwembwe nyingiiiiiiiiiiiiiiii kama tulivyokuzoea!

Kuna siri gani kati yako na Pauline Gekul mpaka "umeufyanta"?
Mtoa mada jibu kwanza maswali haya;

Jambo hili si ukatili mahala pa kazi? Kwani mhusika wa wizara ya kazi Yuko wapi?

Na je manusura ni chini ya miaka 18 Ili iingie sheria ya mtoto au mtu mzima?

Je kosa hili ni ubakaji na ulawiti au ukatili kama ukatili mwingine wa jinai?

Dorothy Gwajima hujitokeza haraka akiona mwananchi amekwama kwenye mfumo Ili amsaidie iwapo jambo hilo linahusu wizara yake chini ya idara ya ustawi. Sasa kwani kwenye hili kuna mahali utaratibu umekwama unaohusu wizara yake?
 
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Huku kwetu sio kwamba " you're guilty until proven innocent?"
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mbona upo kimya sana kuhusu hili sakata la Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline Gekul?

Dorothy Gwajima hujawahi kukaa kimya kiasi hiki linapotokea jambo la kuzalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia kiasi cha kijana mdogo kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa na Naibu waziri!

Dorothy Gwajima kama uliweza kujitokeza kwa mbwembwe za hali ya juu na kuwananga na kuwasema walimu eti kisa tu wameruhusu kuucheza wimbo wa Zuchu wa Honey. Mbona hili jambo la Gekul umekaa kimya kama vile hulioni?

Wewe huwa unajinasibu kuwa unapinga sana unyanyasaji wa kijinsia na hupendi kuona raia akifanyiwa kitendo cha kinyanyasaji. Sasa mbona hili la Gekul umekausha kimyaaaaa?

Zile mbwembwe zako za kwenye media hasa linapotokea jambo lolote la unyanyasaji wa kijinsi mbona kwa Gekul hatukuoni!

Mbona hutoi matamko yako ya mbwembwe nyingiiiiiiiiiiiiiiii kama tulivyokuzoea!

Kuna siri gani kati yako na Pauline Gekul mpaka "umeufyanta"?
Good observation maana huyu ndio anashighulikia masuala ya Jinsia.

Nadhani Hawa Mawaziri kwao unyanyasaji wa kijinsia ni pale Wanawake wakitendewa ndivyo sivyo
 
na wewe utakuwa muiraq tuuu
Kiongozi WA juu kama yeye haitakiwi hata uwe na rumors
Kama makamu WA rais alivyosema
Sasa wewe unaongea upupu Gani huu
Kiongozi wetu yupi wa juu asiyekuwa na tetesi za mambo ya kijinga? Mbona hawajajiuzulu au kutumbuliwa? Double standards?
 
Back
Top Bottom