Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Nijuavyo mimi ni Rais tu ndiye hawezi kushitakiwa (Sasa hivi ninasikia wameongezeka Spika, CJ, n.k.)We nae sijui wa wapi wewe, Rais asingemtumbua huo uchunguzi ungefanyikaje? Uliwahi kusikia waziri anachunguzwa na kushtakiwa
Sasa hivi tu katumbuliwa ila RPC akiongea anamuita muheshimiwa na body language Inaonekana kabisa ameegemea upande gani huyo RPC
Kuendelea kumuacha akiwa waziri na mbunge ni kusababisha kuharibu hii kesi na kumlalia Hashim
Maana yake wengineo wote (akiwemo NW) wanashitakika and so wanaweza kuchunguzwa vizuri kabisa hata wakiwa na nyadhifa zao.
Hiyo aya ya mwisho ninafikiri ni mahakama tu ndiyo inapaswa kuthibitisha. Otherwise, haumtendei haki. Tuhuma zinapaswa kuthibitishwa kabla ya kuanza kumshushia hizi nyuzi.
Siku moja nawe utatuhumiwa (bila kujali una hatia) halafu jamii nzima ikuhukumu, ndipo utajua umuhimu wa presumption of innocence mpaka mahakama iamue vinginevyo. That's karma.