na wewe utakuwa muiraq tuuuRight to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Kwa nchi za wenzetu ""KASHFA TU INATOSHA KUKUTUMBUA""Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
We nae sijui wa wapi wewe, Rais asingemtumbua huo uchunguzi ungefanyikaje? Uliwahi kusikia waziri anachunguzwa na kushtakiwaRight to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Huyu mama, hqkustahili kuwa waziri, Ali perform vzr, akiwa waziri,Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mbona upo kimya sana kuhusu hili sakata la Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline Gekul?
Dorothy Gwajima hujawahi kukaa kimya kiasi hiki linapotokea jambo la kuzalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia kiasi cha kijana mdogo kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa na Naibu waziri!
Dorothy Gwajima kama uliweza kujitokeza kwa mbwembwe za hali ya juu na kuwananga na kuwasema walimu eti kisa tu wameruhusu kuucheza wimbo wa Zuchu wa Honey. Mbona hili jambo la Gekul umekaa kimya kama vile hulioni?
Wewe huwa unajinasibu kuwa unapinga sana unyanyasaji wa kijinsia na hupendi kuona raia akifanyiwa kitendo cha kinyanyasaji. Sasa mbona hili la Gekul umekausha kimyaaaaa?
Zile mbwembwe zako za kwenye media hasa linapotokea jambo lolote la unyanyasaji wa kijinsi mbona kwa Gekul hatukuoni!
Mbona hutoi matamko yako ya mbwembwe nyingiiiiiiiiiiiiiiii kama tulivyokuzoea!
Kuna siri gani kati yako na Pauline Gekul mpaka "umeufyanta"?
Rahisi anaweza kumtengua mteule wake bila hata kutoa sababu ndio maana hata ile barua ya ktengua haijatoa sababuRight to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Kumbuka Rais anapokea intelligence daily! Pia ni suala la kupisha uchunguzi.Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Kamtoa kafara Gekul sababu hana backup. Ni kama Sabaya alivyotolewa kafara ili kuwafurahisha upinzani pale mwanzo. Na hata ukiangalia wanaomshambulia Gekul ni wale wa upande wa V sababu aliwabwaga na chama chao.Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Mtoa mada jibu kwanza maswali haya;Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mbona upo kimya sana kuhusu hili sakata la Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline Gekul?
Dorothy Gwajima hujawahi kukaa kimya kiasi hiki linapotokea jambo la kuzalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia kiasi cha kijana mdogo kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa na Naibu waziri!
Dorothy Gwajima kama uliweza kujitokeza kwa mbwembwe za hali ya juu na kuwananga na kuwasema walimu eti kisa tu wameruhusu kuucheza wimbo wa Zuchu wa Honey. Mbona hili jambo la Gekul umekaa kimya kama vile hulioni?
Wewe huwa unajinasibu kuwa unapinga sana unyanyasaji wa kijinsia na hupendi kuona raia akifanyiwa kitendo cha kinyanyasaji. Sasa mbona hili la Gekul umekausha kimyaaaaa?
Zile mbwembwe zako za kwenye media hasa linapotokea jambo lolote la unyanyasaji wa kijinsi mbona kwa Gekul hatukuoni!
Mbona hutoi matamko yako ya mbwembwe nyingiiiiiiiiiiiiiiii kama tulivyokuzoea!
Kuna siri gani kati yako na Pauline Gekul mpaka "umeufyanta"?
Swali la mwisho, kwenu mna wakubwa? Wakubwa wakisema na watoto mnasema siyo?Angekuwa amefanya mwalimu au mtumishi wa afya ungeona kazi ππ
Huku kwetu sio kwamba " you're guilty until proven innocent?"Right to presumption of innocence until the court proves otherwise. Ninashangaa Samia ametumia kigezo gani kumtumbua! Sifa za kijinga na mob psychology zinatuharibu Watanzania.
Polisi gani wewe ,hao polisi au majambazi!Yaani unataka waziri mzima aje aropoke hapa jamba ambalo liko polisi tayari? Tuache ujuaji wa kipopoma!
Good observation maana huyu ndio anashighulikia masuala ya Jinsia.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mbona upo kimya sana kuhusu hili sakata la Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline Gekul?
Dorothy Gwajima hujawahi kukaa kimya kiasi hiki linapotokea jambo la kuzalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia kiasi cha kijana mdogo kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa na Naibu waziri!
Dorothy Gwajima kama uliweza kujitokeza kwa mbwembwe za hali ya juu na kuwananga na kuwasema walimu eti kisa tu wameruhusu kuucheza wimbo wa Zuchu wa Honey. Mbona hili jambo la Gekul umekaa kimya kama vile hulioni?
Wewe huwa unajinasibu kuwa unapinga sana unyanyasaji wa kijinsia na hupendi kuona raia akifanyiwa kitendo cha kinyanyasaji. Sasa mbona hili la Gekul umekausha kimyaaaaa?
Zile mbwembwe zako za kwenye media hasa linapotokea jambo lolote la unyanyasaji wa kijinsi mbona kwa Gekul hatukuoni!
Mbona hutoi matamko yako ya mbwembwe nyingiiiiiiiiiiiiiiii kama tulivyokuzoea!
Kuna siri gani kati yako na Pauline Gekul mpaka "umeufyanta"?
This has to end.Sifa za kijinga? Ndio mtindo wa kisasa wa viongozi wa CCM: cheap populism. Samia sio wa kwanza, btw.
Kiongozi wetu yupi wa juu asiyekuwa na tetesi za mambo ya kijinga? Mbona hawajajiuzulu au kutumbuliwa? Double standards?na wewe utakuwa muiraq tuuu
Kiongozi WA juu kama yeye haitakiwi hata uwe na rumors
Kama makamu WA rais alivyosema
Sasa wewe unaongea upupu Gani huu
Tulipaswa tuanze na Samia kwa kashfa za rushwa kupitia mwanae mpaka viongozi wa chini kabisa... Wote CCM na vyama vya upinzani.Kwa nchi za wenzetu ""KASHFA TU INATOSHA KUKUTUMBUA""
#YNWA