Mbosso arudi kivingine kukutoa machozi, Laizer alikuwa anamkosea

Naamini mtazamo kama wako ndio uliomchelewesha washabiki wengi wa aslayy wamejenga dhana ananyemelea nafas ya as lay so wameji position kumkataa but ana talent sana atakuja kueleweka ata kwa kuchelewa mimi mpk nimemfollow insta

Mashabiki wa Mbosso ndio wana iyo kasumba maana baada ya kuachia ile 'Watakubali' walianza na mbwembwe kua Aslay kapata mbabe ila naona bado anatembelea rimu ndio maana nikauliza uyu ndie mlikua mnaamini ni mkali zaidi ya Aslay.
 
Mashabiki wa Mbosso ndio wana iyo kasumba maana baada ya kuachia ile 'Watakubali' walianza na mbwembwe kua Aslay kapata mbabe ila naona bado anatembelea rimu ndio maana nikauliza uyu ndie mlikua mnaamini ni mkali zaidi ya Aslay.
Mbosso yupo vizuri..ila walikosea kumpambanisha na Aslay angalau wangesema beka kidogo...
 
Analialia tu. Mbosso siyo hadhi ya wcb kiukweli.

Wangemchukua yule Dogo Beka
 
Analialia tu. Mbosso siyo hadhi ya wcb kiukweli.

Wangemchukua yule Dogo Beka


hahahahaha beka msanii wa vijijini kama bestnasso anachojua kupayuka... kaa hapo hapo uone kali za mbosso
 
Huu wimbo mkubwa sana asee...huko mitaani kila kona inaskika hii kitu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…