Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwenye mpambano wa ndondi ukijitoa ulingoni katikati ya pambano tafsiri yake ni nini? Umepigwa TECHNICAL KNOCKOUT!Hivi ukimpa adhabu mwanao kisha ukasema adhabu hii sasa inatosha unakuwa umeshindwa?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kama ni hivyo Mbowe angeachiwa tangu day 1 alipokamatwa!Chifu Hangaya alibebeshwa tu mzigo huu. Hili jambo lilibuniwa wakati wa lile jibwa kutoka burigi. Alhamdulilah!
vyovyote vile Mbowe ni mshindi aibu kwa jamhuri na serikali ya ccm+MAZATOZO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usiwe pumbavu kiasi hiki!
Mtu kasota rumande karibia mwaka, na ndio lengo la ccm hilo au wewe ulifikiri ccm wanataka nini zaidi ya hicho?
Utakuta mnaanza kushangilia kama mazuzu! Yani ni sawa na mtu anakubutua makofi ya kutosha alafu baadae anakuambia nenda tu, kisha unaanza kushangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Umiongoni mwa niliowataja?Ujue itakurudia hiyo laana unayorusha kijinga
Mbowe katoka neno kuu anapotoka ni ASIRUDIE TENA
Jaji amefedheheshwa sana na ndio maana ametoa amri Kwa hasira!Na akasema waachiwe Leo Leo na si vinginevyo!Yaani ni contradiction kubwa. Sijui wanasheria za jinai watasemaje?
DPP huwa anaingiza “nolle prosequi” kama hana ushahidi madhubuti dhidi ya mtuhumiwa. Sasa hapa wameacha kesi imeendelea hadi mahakama kuthibitisha kuwa ushahidi wa mwendesha mashtaka umewakuta kina Mbowe wana kesi ya kujibu. Kabla hawajaanza kujitetea DPP anajitoa! Mahakama inasimama wapi hapo?
Ni aibu juu ya aibu!
Kule kote kufanya vile ilikuwa unafiki tu! Hakuwa anafanya hivyo kwa nia njema.Sasa zito ana kosa gani na alimuomba mheshimiwa Rais amsaidie atoke gerezani!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Akirudia tena anapelekwa jela hadi 2025Tatizo, wewe na WAJINGA wenzio, mlikuwa mnataka, hata ikiwezekana MBOWE anyongwe kabisa! Sijui hixo ROHO MBAYA, zitawafikisha wapi! Dunia hii, wote ni wapitaji tu!
Hajafanya alichosingiziwaHujaniona au nacho huna?
Mwambieni neno moja tu umetoka USIRUDIE TENA
Mataga leo ni siku mbaya sana kwenu,Duh! Hebu waoneni hawa. Wana tofauti gani na wale wafuasi wa yule mfalme Zumaridi?
dhuluma haijawahi shinda hakiMuwashukuru hao sasa, maana bila wao bwana enu angekua ndani bado
Na hakuna kitu watu wangefanya.Ccm inaweza kumfanya mtu yeyete hapa nchini inachotaka!
Hangaya angeamua kumfunga Mbowe angemfunga bila shida yeyote
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
CHADEMA wanaonyesha hisia kwa kugalagala 🤣🤣🤣.Tofauti hapo ni kwamba hawamuabudu yeyote bali wanaonyesha hisia za furaha....kila mtu ana aina yake ya kuonyesha hisia...Tazama mipira au maonyesho ya mziki nk