Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Wiki iliyopita Dr. Wilbrod Slaa alisikika akisema anakerwa na neno #Mbowesiyogaidi na hakuwahi hata kwenda kumjulia hari gerezani aliyekuwa kiongozi mwenzake kwa kipindi kirefu. Leo Mbowe siyo gaidi na mahakama imethibitisha hivyo kwa kumfutia mashataka yake yote tena bila masharti.

Slaa na mwezake Zitto aliyesema Mbowe ana changamoto za kisheria hivyo asamehewe na mwenzao IGP aliyemdanganya mama kwa sasa wanajionaje mbele ya jamii.
Sasa zito ana kosa gani na alimuomba mheshimiwa Rais amsaidie atoke gerezani!

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaccm yoyote aliyeshiriki ama kwa kukamata,kusherehekea/kufurahia,kumtuhumu jambo asillolifanya mbowe kisa wanadola, Mungu awapige laana na vizazi vyao na wote waliosema mbowe gaidi huwo ugaidi uawarejee wao na mamayo na babayo na watoto wao wote.

Sitaki kelele na povu bovu milomo.
Ujue itakurudia hiyo laana unayorusha kijinga

Mbowe katoka neno kuu anapotoka ni ASIRUDIE TENA
 
Nasikia Gaidi limelia weeeeeeeeee hadi limetoa mikamasi ndio likaonewa huruma.

Hongera sana mama, akirudia tena kuleta upumbavu wake asije kusema hajaambiwa.
mazatozo anakula matapishi yake sasa anajificha kwenye kivuli cha dpp na viongozi wa dini, aende bbc kukanusha sasa
 
Acha kujifariji, ila hapa ndipo unafiki wako wa kiwango cha juu ulipooneshwa.

Wewe ni miongoni mwa waliokuwa wanawaaminisha memba humu jf kuwa lazima Mbowe afungwe, leo unataka kujifariji kwa kuhamisha goli kuwa wewe kama ccm umeridhika na kukaa kwake mahabusu bila kutafakari madhara kwa upande wa serikali, mifumo ya kisheria lakini pia napokeo ya jambo hili kwa Wananchi wa kawaida.

Kama wewe ndiye mtetezi na mshauri kwa ccm basi wewe ni janga lisilo na mfano.

Ujue tu kuwa hili mliokuwa mmelipanga limekuwa sawa na "kumpiga chura take" kisiasa.
Usiwe kama mtoto mdogo!

Siku zote ccm huwa inawakomesha tu wapinzani wake.

Na hapa wala hata msisgangilie kwamba mmeshinda bali mnapaswa kujilaumu na kujiuliza kwamba inakuwaje ccm inawageuza geuza kama chapati namna hii!?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Bwashee ccm ni jitu kubwa sana lile

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ndio mnazidi kuwafumbua macho watu kuwa Katiba mpya inahitajika Ili kuondoa huu uozo!

kama Rais anashiriki dhambi ya Kumbambika mtu kesi,anapata mamlaka wapi ya kuwakemea askari wenye tabia hizo?

Nchi hii inahitaji reform kubwa sana kutoka hapa!

Msipofanya hivyo,basi ombeni mtawale milele maana mtanyolewa na wembe Huo Huo!
 
KWANZA NAOMBA IANDIKWE KITABU KUHUSU HII KESI
PILI, MBOWE AMEONESHA UIMARA, KWELI NI MWAMBA. NO RETREAT NO SURRENDER.
BRAVO MAN!
 
Nikimfikiria Luteni urio nashindwa kuelewa ni binadamu wa aina gani? Mateso na tabu aliyowasababishiq kina Adamoo na Ling'wenya na familia zao ni mtu asiyestahili msamaa kabisa.

Karibu mheshimiwa Mbowe uraiani tena. Mapambano ndio kwanza yanaanza.

#tunaendeleaTulipoishia#
✌✌✌✌
 
313D8321-4C5E-4A4D-B2C4-4F4C36119FD8.png
838DFA5B-84EC-4FD4-A2C8-D23BDADC4205.png
34D78A1E-6B5A-40A0-83F3-A8352A50F2B3.png
 
Mbowe ndie ataelewa nilichoandika hapo aondoke na sentensi moja tu ASIRUDIE TENA

Kama wazee wa kicjaga mpo humu mwambieni neno moja tu USIRUDIE TENA ataelewa
Anatoka gerezani anaenda Moja Kwa Moja kuhamasisha wananchi juu ya Katiba mpya!Anzeni kumtengenezea kesi nyingine,Shwain!
Yaani siku mtu anapotaka kuanza kujitetea ndio mnafuta kesi,aibu!
 
N
Namtafuta Comte, Magonjwa , mtambuka, Yehodava, hasta sip mbaya nikimsalimia rafiki yangu Johnthebaptist🤔
Hujaniona au nacho huna?

Mwambieni neno moja tu umetoka USIRUDIE TENA
 
Ndio mnazidi kuwafumbua macho watu kuwa Katiba mpya inahitajika Ili kuondoa huu uozo!
kama Rais anashiriki dhambi ya Kumbambika mtu kesi,anapata mamlaka wapi ya kuwakemea askari wenye tabia hizo?
Nchi hii inahitaji reform kubwa sana kutoka hapa!
Msipofanya hivyo,basi ombeni mtawale milele maana mtanyolewa na wembe Huo Huo!
Kama hii iliyopo inakanyagwa na mmekaa kimya, hata hiyo mpya itakanyagwa na hamna kitu mtafanya

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom