Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Chifu Hangaya alibebeshwa tu mzigo huu. Hili jambo lilibuniwa wakati wa lile jibwa kutoka burigi. Alhamdulilah!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usiwe pumbavu kiasi hiki!

Mtu kasota rumande karibia mwaka, na ndio lengo la ccm hilo au wewe ulifikiri ccm wanataka nini zaidi ya hicho?

Utakuta mnaanza kushangilia kama mazuzu! Yani ni sawa na mtu anakubutua makofi ya kutosha alafu baadae anakuambia nenda tu, kisha unaanza kushangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Tatizo, wewe na WAJINGA wenzio, mlikuwa mnataka, hata ikiwezekana MBOWE anyongwe kabisa! Sijui hixo ROHO MBAYA, zitawafikisha wapi! Dunia hii, wote ni wapitaji tu!
 
Ndio shida ya kutumika!Aibu Kwa Jaji Kwa maamuzi aliyofanya!Watu wamebumba ushahidi wakaja kuuleta mahakamani,kila mtu akaona ni ushahidi wa mchongo na hakuna kesi!Jaji akasukumwa kuamua kuwa Wana kesi ya kujibu!Kabla hawajaanza kujitetea DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi maana ushahidi alionao ni crap!
Jaji unajisikiaje huko uliko?Ungeyajua haya,Bado uamuzi wako ungekuwa watuhumiwa Wana kesi ya kujibu?

Yaani ni contradiction kubwa. Sijui wanasheria za jinai watasemaje?

DPP huwa anaingiza “nolle prosequi” kama hana ushahidi madhubuti dhidi ya mtuhumiwa. Sasa hapa wameacha kesi imeendelea hadi mahakama kuthibitisha kuwa ushahidi wa mwendesha mashtaka umewakuta kina Mbowe wana kesi ya kujibu.

Kabla hawajaanza kujitetea DPP anajitoa! Mahakama inasimama wapi hapo?

Ni aibu juu ya aibu!
 
Asante Sana ,karibu uraiani Mh Mbowe ,pongezi Sana kwa mama Samia kwa utawala ulio tukuka
 
Na
JamiiForums1844732675_237x306.jpg
 
Ungesema haya kwa jiwe pia ungeonekana mtu anayejielewa, sasa hivi unaonekana mataga pori tu mwenye gubu.
Ccm inaweza kumfanya mtu yeyete hapa nchini inachotaka!

Hangaya angeamua kumfunga Mbowe angemfunga bila shida yeyote

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom