Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mahaba ya kijinga jinga kwa taifa la watu wajinga jinga.

Waliofungua kesi ya mbowe akili zao zinamatope inabidi wakachunguze milembe.

Chadema akili zao hazipo sawa maana wanapenda sana kususa na kuzila kama mademu
h8
Ccm akili zao ni za ajabu ajabu Sijui hiki chama kina DNA za wizi wizi.

Yaan Nchi hii kila kitu ni ovyo

Wazungu waje watutawale kwanza..Hili ombi namuomba Mola wangu kila siku
 
Hatimaye...

Anyway, wengine tulitamani sana kusikiza hoja za utetezi, pengine zingefunua mambo tuliyokuwa hatuyafahamu...
 
Sasa aende kujifanya shujaa akafanye mambo ya ajabu na kulazimisha mambo yaliyopo nje ya sheria atarudi tena na ikumbukwe msimamizi wa sheria ni jeshi la polisi na si vinginevyo.
Tuliaa dawa ifanyee kazii
 
The long walk to freedom has started. Together we stand apart we fall. Pongezi kwa mama kuweka maslahi mapana ya taifa over short term partisan interest.
 
Daah. Ninaandika ninamfuta, yaani nafuta tu. Nitaandika siku nyingine. Aibu ya Mwaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapanic nini sasa dogo?

Kwanini unakuwa na hasira wakati tumeshawaachia?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Wewe si ulikuwaga humu unatamba Mbowe wetu atakula mvua za kutosha. Sasa umebaki kujamber jamber mwamba amerudi kujumuika na familia yake. Pia mwamba amewwza kuwasaidia kutoka kina ligwenya na Adamo na bwire. Utukufu wa Mungu utukuzwe.

Wewe kweli kwa nafsi yako unafurahi watanzania wenzako kuteseka. Are you really okay and have conscious and concern to your fellow Tanzanians wasting their lives in jail??
 
mahakama na magereza hizi issues huwa tunawasingizia tu shida iko kwetu uraiani huku tungekuwa na hofu ya Mungu haya yote yasingekuwepo kwa sababu sisi kwa sisi ndiyo tunasingiziana makosa na kupelekana huko sasa mpaka mahakama ije ijuwe huna kosa umesota sana na pengine mahakama ishindwe kujuwa kuwa huna kosakutokana na mshitaki alivyojipanga kukushitaki mahakimu siyo malaika waweze kujua moja kwa moja kuwa huyu hana kosa wao wanacheza na sheria tu
Shida ni kweli ipo huku uraiani...
Lakini huku uraiani ili ufanikiwe unaweka mtego au mazingira flani.. unatoa hela polisi.. kisha polisi wanaedit kitu fulani wanamdaka mtu..
Polisi wakiwa makini basi hata huko mahakamani mtu hafikishwi kwa kuwa ushahidi haupo.. Kiufupi tatizo kubwa zaidi ni POLISI kushiriki michezo hii
 
Back
Top Bottom