Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msaliti tu bana.
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hataka sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Naona uko kwenye heat kama kawaida lazima uruke na Mbowe
 
Kupiga roporopo hakuwezi kusaidia lolote, Note this!, deal done! Already others were nonsense! kubwata bwata kuhusu bandari we call it wastage of time, Mbowe anaakili nyingi mno, he is bright guy!, simahanishi anakubaliana nalo lakini limeshakamilika na Bunge limeshapitisha, 😁😁😁
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Kuna nini tena?
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Chadema imekufa nilikuwa naandika hapa mara kadhaa sasa hadharani, maalim seif CUF ilikufa kama hivi lakini Maalim Seif ni mtaalamu alitumia dakika 10 tu kutangaza namna kuwahami wanachama wake na taasisi sasa ACT ishaota mizizi Zanzibar
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Alipotoka jela kule kabla hajaoga alipita Ikulu kwanza sasa unategemea nini
 
Mbowe alibadili gia angani kumleta Lowasa Chadema halafu wakati huohuo akawa anashirikiana na akina Mwigulu kwa kutumwa na JK kumhujumu Lowasa.

Kiufupi alikuwa anacheza double game!
Lowasa aliletwa na Ukawa umoja wa vyama mbowe halaumiki, Siasa za chadema zimeanza kuvurugika baada ya wanachama wake top kununuliwa bei chee enzi za jiwe, njaa ndio iliyoitafuna chadema sasa ni kama mbowe anakumbuka shuka kumekucha
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Hivi kuna mgombea alishawahi kuleta wabunge wengi bungeni zaidi ya lowasa
 
Back
Top Bottom