Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.

imhotep CCM mwingine kama zitto junior tu, huyu hapa. Njoo naye umwunge mkono.

Ukijikuta na CCM ati mko na hoja moja jiulize sana, huwezi kuwa right ..
 
Yani hata ungekuwa wewe, imagine unawapambania watu mazuzu, hawajali kabisa kuhusu rasilimali zao, yeye ameshasema ukitaka afanye nini hasa ??

Mkiambiwa maandamano hamuendi, ushirikiano hamtoi, sasa afanye nini ??

Mimi nadhani ni muda sasa watanzania kusimama wenyewe, na sio kuwa keyboard warrior tu, no action.
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Hilo ni kweli kabisa.
 
Hata yule mwingine.. kama joni na wenzao tu ..
20231002_192528562.jpg

Dokta Mihogo yuko live anaandaa maandamano Nchi nzima Jambo TV.
 
Haitakusaidia kitu, rubbish! Mbowe will always, forever be on top of Tanzania Politics, maji utayanywa tu, ukikwepa, utayakoga. Fala wewe!
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Chadema hivi sasa kuna mpasuko au mchaniko?

Maana mnyukano wa mipasho ya maneno uko moto halafu wanajuana vizuri mno,
kule diaspora wa America, huku diaspora wa Europe, huku kibaraka na kundi lake, kule makapuku 😜
 
Back
Top Bottom