Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Duuuu!!!Mbowe alibadili gia angani kumleta Lowasa Chadema halafu wakati huohuo akawa anashirikiana na akina Mwigulu kwa kutumwa na JK kumhujumu Lowasa.
Kiufupi alikuwa anacheza double game!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuu!!!Mbowe alibadili gia angani kumleta Lowasa Chadema halafu wakati huohuo akawa anashirikiana na akina Mwigulu kwa kutumwa na JK kumhujumu Lowasa.
Kiufupi alikuwa anacheza double game!
Vyama vinataka dola siyo vitu chache vya bunge. Watu mna low expectations.Hivi kuna mgombea alishawahi kuleta wabunge wengi bungeni zaidi ya lowasa
Siwezi kusema Mbowe ni msaliti lakini amechoka, muda umefika awape radicals nafasi waandeshe chama. Hicho ni chama cha umma siyo watu wachache. CCM inahitaji kuondoka.Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Wew huna akili Nani ambaye anaweza kuwa hivyo muda wote? halafu akiwa juu inasaidia nini?Haitakusaidia kitu, rubbish! Mbowe will always, forever be on top of Tanzania Politics, maji utayanywa tu, ukikwepa, utayakoga. Fala wewe!
Kwani Magufuli ni Nani kiasi kwmb akishindwa kitu basi kila mtu ashindweKama Magufuli aliishindwa kuiua CHADEMA akafa yeye, hayo maneno yako ni kama kujifariji.
Wew huna akili hakuna aliambiwa gaidi pimbi wewLeo ndio mmekubali ni mwenzenu?. Ila kipindi anasulubishwa na Magufuli mlimsema mpaka bungeni na kumtangaza kuwa gaidi. Punguzeni unafiki.
Huyu anayejiita Kamanda asiyechoka ni uvccm, si unaona maccm wenzake wanavyomshangilia.Chadema hivi sasa kuna mpasuko au mchaniko?
Maana mnyukano wa mipasho ya maneno uko moto halafu wanajuana vizuri mno,
kule diaspora wa America, huku diaspora wa Europe, huku kibaraka na kundi lake, kule makapuku [emoji12]
Ninavyo fahamu mbali na watoto hakuna binadamu asiyekuwa msaliti au asiyependa hela, tunazidiana tamaa tu.Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msaliti tu bana.
Umeandika upuuziNi
Ninavyo fahamu mbali na watoto hakuna binadamu asiyekuwa msaliti au asiyependa hela, tunazidiana tamaa.
Umesema 2015 mlikubaliana Hujainisha nyie kina nani mliokuwa mnakubalika? Mlikubaliana nini?
Tunafahamu wakati huo UKAWA ilikuwa inakubalika sana, tufafanulie vizuri. kumtaja Mbowe sio lazima iwe unamaanisha CDM.
Unadanganya kusema CCM ilikuwa imeshakufa, sio kweli. CCM ilikuwa hai na yenye nguvu mno nyuma ya Lowasa.
Ndio maana, kwa nguvu yake, UKAWA ikaamua kumpokea baada ya kukatwa na CCM. Lengo lao upinzani/ukawa uwe na nguvu kupitia nguvu ya Lowasa.
Unaposema Mbowe aliuza chama, ulikuwepo wakati wa mauziano? Makubaliano ya mauzo yalifanywa na ukawa au na Mbowe?
Tuwekee wazi, Lowasa alinunuliwa kwa kiasi gani? au Lowasa aliwapa UKAWA/Mbowe kiasi gani ili yeye atimkie UKAWA/kwenye chama chake Mbowe? unaweza kuweka stakabadhi yoyote ya mauzo ya hayo hapa?
Kakusaliti wewe na nani? Hiyo asali mapipa mangapi? Hiyo asali kakunyima au kukuzuia kulamba wewe?
Kuhusu sakata la bandari, aliyehoji bandari za Zanzibar kutokuwepo kwenye mkataba wa DP world ni nani? Sio mbowe?
Ndugu yangu, tuweke wazi Mbowe kakufanyeje?
vidole vimechoka vimeanza kupanicUmeandika upuuzi
Yeye akiwa jukuwaan muda wote ni. Kukinadi chama kuwa ni chama cha wote chama kimepitia wakati mgumu sana n.k huku mafuta ya petrolleum yakipaaNaona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msaliti tu bana.
Kweli mkuu alikuwa hajaoge maana ametoka leo saa 2 saa 4 wapo na saa100 pamojaAlipotoka jela kule kabla hajaoga alipita Ikulu kwanza sasa unategemea nini
Hao wote ni wachumia TUMBO hamna uzalendo hapo!! They are all MERCENARIES!MBOWE NI MSALITI HANA TOFAUTI NA ZITO NA LIPUMBA.2015 ALITUUZA KWA LOWASA.
Safari hii amana mtu kutumika ili kuongeza kura za ruzuku halafu wachache wanakula hizo ruzuku hatutaki ,akakope hiyo ruzuk NMBMna hasira Sana na Mbowe utadhani ndio kaleta mgao wa umeme. Unahangaika na Mbowe utadhani ndio Rais. Punguza unafiki
chadema njaa ndio inayowasumbua, hata umuone kiongozi ana sifa gani kwenye chama hela ndogo tu anauza utu wake ndivyo chama chenu kilivyoanza kukongolewa, sasa mbowe atalaumika vipi, alianza dr slaa, jua kali, waitara, kafulila na yule waziri, dr molel hao tele mpaka kina na halima mdee unafkiri mbowe naye atatoka wapiNdio mlichobakiza. Kwa kweli mmechanganyikiwa. Kwa hivyo ikulu alijipeleka mwenyewe. Nenda na wewe ikulu Kama unadhani ni pa kuingia Kama chooni. Punguza unafiki