Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Siwezi kusema Mbowe ni msaliti lakini amechoka, muda umefika awape radicals nafasi waandeshe chama. Hicho ni chama cha umma siyo watu wachache. CCM inahitaji kuondoka.
 
Ukweli ni kwamba Tz hatuna upinzani ,hao wote ni wanasiasa wa ccm sema wamewekwa upande wa pili kuchangamsha siasa TU.

Kidogo naweza kumwamini Lisu TU ,yule ni mpinzan haswa ndio maana hata walitaka kumpoteza mazima ,ila Kwa Mbowe ,Zito ,Sugu,Lema ,Slaa na wengine ni hangaisha bwege TU.
2015 ndio kifo Cha chadema kilianzia pale .
Ukijumrisha na huu uhuni wa Mbowe wa wale covid ndio Bas unona wanasiasa wanavyotumia ujinga wa Watanzania walio wengi
 
Haitakusaidia kitu, rubbish! Mbowe will always, forever be on top of Tanzania Politics, maji utayanywa tu, ukikwepa, utayakoga. Fala wewe!
Wew huna akili Nani ambaye anaweza kuwa hivyo muda wote? halafu akiwa juu inasaidia nini?
 
Leo ndio mmekubali ni mwenzenu?. Ila kipindi anasulubishwa na Magufuli mlimsema mpaka bungeni na kumtangaza kuwa gaidi. Punguzeni unafiki.
Wew huna akili hakuna aliambiwa gaidi pimbi wew
 
Chadema hivi sasa kuna mpasuko au mchaniko?

Maana mnyukano wa mipasho ya maneno uko moto halafu wanajuana vizuri mno,
kule diaspora wa America, huku diaspora wa Europe, huku kibaraka na kundi lake, kule makapuku [emoji12]
Huyu anayejiita Kamanda asiyechoka ni uvccm, si unaona maccm wenzake wanavyomshangilia.
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msaliti tu bana.
Ninavyo fahamu mbali na watoto hakuna binadamu asiyekuwa msaliti au asiyependa hela, tunazidiana tamaa tu.

Umesema 2015 mlikubaliana, Hujainisha nyie mlikubalika vipi? mlikuwa kina nani? Na mlikubaliana kuhusu nini?

Tunafahamu wakati huo UKAWA ndio ilikuwa inakubalika sana. Tufafanulie vizuri maana kumtaja Mbowe sio lazima iwe unamaanisha chama chake.

Unadanganya kwa kusema CCM ilikuwa imeshakufa, sio kweli. CCM ilikuwa hai tena yenye nguvu mno nyuma ya Lowasa.

Ndio maana, kwa nguvu yake, UKAWA ikaamua kumpokea baada ya kukatwa na CCM. Lengo lao upinzani/ukawa uwe na nguvu kupitia nguvu ya Lowasa.

Unaposema Mbowe aliuza chama, ulikuwepo wakati wa mauziano? Makubaliano ya mauzo yalifanywa na ukawa au na Mbowe?

Tuwekee wazi, Lowasa alinunuliwa kwa kiasi gani? au Lowasa aliwapa UKAWA/Mbowe kiasi gani ili yeye atimkie UKAWA/kwenye chama chake Mbowe? unaweza kuweka stakabadhi yoyote ya mauzo ya hayo hapa?

Kakusaliti wewe na nani? Hiyo asali mapipa mangapi? Hiyo asali kakunyima au kukuzuia wewe kulamba?

Kuhusu sakata la bandari, aliyehoji bandari za Zanzibar kutokuwepo kwenye mkataba wa DP world ni nani? Sio mbowe?

Ndugu yangu, tuweke wazi Mbowe kakufanyeje?
 
Ni

Ninavyo fahamu mbali na watoto hakuna binadamu asiyekuwa msaliti au asiyependa hela, tunazidiana tamaa.

Umesema 2015 mlikubaliana Hujainisha nyie kina nani mliokuwa mnakubalika? Mlikubaliana nini?

Tunafahamu wakati huo UKAWA ilikuwa inakubalika sana, tufafanulie vizuri. kumtaja Mbowe sio lazima iwe unamaanisha CDM.

Unadanganya kusema CCM ilikuwa imeshakufa, sio kweli. CCM ilikuwa hai na yenye nguvu mno nyuma ya Lowasa.

Ndio maana, kwa nguvu yake, UKAWA ikaamua kumpokea baada ya kukatwa na CCM. Lengo lao upinzani/ukawa uwe na nguvu kupitia nguvu ya Lowasa.

Unaposema Mbowe aliuza chama, ulikuwepo wakati wa mauziano? Makubaliano ya mauzo yalifanywa na ukawa au na Mbowe?

Tuwekee wazi, Lowasa alinunuliwa kwa kiasi gani? au Lowasa aliwapa UKAWA/Mbowe kiasi gani ili yeye atimkie UKAWA/kwenye chama chake Mbowe? unaweza kuweka stakabadhi yoyote ya mauzo ya hayo hapa?

Kakusaliti wewe na nani? Hiyo asali mapipa mangapi? Hiyo asali kakunyima au kukuzuia kulamba wewe?

Kuhusu sakata la bandari, aliyehoji bandari za Zanzibar kutokuwepo kwenye mkataba wa DP world ni nani? Sio mbowe?

Ndugu yangu, tuweke wazi Mbowe kakufanyeje?
Umeandika upuuzi
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msaliti tu bana.
Yeye akiwa jukuwaan muda wote ni. Kukinadi chama kuwa ni chama cha wote chama kimepitia wakati mgumu sana n.k huku mafuta ya petrolleum yakipaa
 
Mna hasira Sana na Mbowe utadhani ndio kaleta mgao wa umeme. Unahangaika na Mbowe utadhani ndio Rais. Punguza unafiki
Safari hii amana mtu kutumika ili kuongeza kura za ruzuku halafu wachache wanakula hizo ruzuku hatutaki ,akakope hiyo ruzuk NMB
 
Ndio mlichobakiza. Kwa kweli mmechanganyikiwa. Kwa hivyo ikulu alijipeleka mwenyewe. Nenda na wewe ikulu Kama unadhani ni pa kuingia Kama chooni. Punguza unafiki
chadema njaa ndio inayowasumbua, hata umuone kiongozi ana sifa gani kwenye chama hela ndogo tu anauza utu wake ndivyo chama chenu kilivyoanza kukongolewa, sasa mbowe atalaumika vipi, alianza dr slaa, jua kali, waitara, kafulila na yule waziri, dr molel hao tele mpaka kina na halima mdee unafkiri mbowe naye atatoka wapi
 
Back
Top Bottom