Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Naona uko kwenye heat kama kawaida lazima uruke na MboweNaona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hataka sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
We kada habari yako?
Salama Kamanda!We kada habari yako?
Kuna nini tena?Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Una akili?Kupiga roporopo hakuwezi kusaidia lolote, Note this!, deal done!, kubwata bwata kuhusu bandari we call it wastage of time, Mbowe anaakili nyingi mno, he is bright guy!
Chadema imekufa nilikuwa naandika hapa mara kadhaa sasa hadharani, maalim seif CUF ilikufa kama hivi lakini Maalim Seif ni mtaalamu alitumia dakika 10 tu kutangaza namna kuwahami wanachama wake na taasisi sasa ACT ishaota mizizi ZanzibarNaona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
BRIGHT KWENYE MASLAHI.MBOWE NI WALEWALE CCM YY ZITO NA LIPUMBA MAMA MMOJA.Kupiga roporopo hakuwezi kusaidia lolote, Note this!, deal done! Already others were nonsense! kubwata bwata kuhusu bandari we call it wastage of time, Mbowe anaakili nyingi mno, he is bright guy!
Alipotoka jela kule kabla hajaoga alipita Ikulu kwanza sasa unategemea niniNaona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
TANGIA GIA ANGANI SIMWAMINI NI NDUMILAKUWILIMbowe alibadili gia angani kumleta Lowasa Chadema halafu wakati huohuo akawa anashirikiana na akina Mwigulu kwa kutumwa na JK kumhujumu Lowasa.
Kiufupi alikuwa anacheza double game!
HUFAHAMU SIASA NI FEDHA?,BRIGHT KWENYE MASLAHI.MBOWE NI WALEWALE CCM YY ZITO NA LIPUMBA MAMA MMOJA.
Lowasa aliletwa na Ukawa umoja wa vyama mbowe halaumiki, Siasa za chadema zimeanza kuvurugika baada ya wanachama wake top kununuliwa bei chee enzi za jiwe, njaa ndio iliyoitafuna chadema sasa ni kama mbowe anakumbuka shuka kumekuchaMbowe alibadili gia angani kumleta Lowasa Chadema halafu wakati huohuo akawa anashirikiana na akina Mwigulu kwa kutumwa na JK kumhujumu Lowasa.
Kiufupi alikuwa anacheza double game!
Hivi kuna mgombea alishawahi kuleta wabunge wengi bungeni zaidi ya lowasaNaona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
PumbavuGraduate naona changamoto ya kukosa ajira inakutesa