Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Hilo ni kweli kabisa.Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Huyo Ndezi ni pandikizi la Kinana.imhotep CCM mwingine kama zitto junior tu, huyu hapa. Njoo Nate umwunge mkono.
Ukijikuta na CCM ati mko na hoja moja jiulize sana, huwezi kuwa right ..
Pumbavu Dk Mihogo baba yakoView attachment 2769858
Dokta Mihogo yuko live anaandaa maandamano Nchi nzima Jambo TV.
Hoja yako ni ipi?Pumbavu Dk Mihogo baba yako
Hoja ni kwamba Yule siyo DK Mihogo nadhani imekaa vzrHoja yako ni ipi?
View attachment 2769858
Dokta Mihogo yuko live anaandaa maandamano Nchi nzima Jambo TV.
Huna akiliMpasuko ndani ya chama heri niendelee kusimama na mama
Nyerere pia tulimuita "Mchonga meno" ni hulka yetu Watanzania.Hoja ni kwamba Yule siyo DK Mihogo nadhani imekaa vzr
Tuwape nchi nyie mlivyo na njaa kali miaka mitatu ya mwanzo mapato ya serikali yatatumika kukijenga chama kiuchumiHuna akili
Chadema hivi sasa kuna mpasuko au mchaniko?Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.
Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.
Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.
Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.
Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
MBOWE NI MSALITI HANA TOFAUTI NA ZITO NA LIPUMBA.2015 ALITUUZA KWA LOWASA.