Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti


imhotep CCM mwingine kama zitto junior tu, huyu hapa. Njoo naye umwunge mkono.

Ukijikuta na CCM ati mko na hoja moja jiulize sana, huwezi kuwa right ..
 
Yani hata ungekuwa wewe, imagine unawapambania watu mazuzu, hawajali kabisa kuhusu rasilimali zao, yeye ameshasema ukitaka afanye nini hasa ??

Mkiambiwa maandamano hamuendi, ushirikiano hamtoi, sasa afanye nini ??

Mimi nadhani ni muda sasa watanzania kusimama wenyewe, na sio kuwa keyboard warrior tu, no action.
 
Hilo ni kweli kabisa.
 
Haitakusaidia kitu, rubbish! Mbowe will always, forever be on top of Tanzania Politics, maji utayanywa tu, ukikwepa, utayakoga. Fala wewe!
 
Chadema hivi sasa kuna mpasuko au mchaniko?

Maana mnyukano wa mipasho ya maneno uko moto halafu wanajuana vizuri mno,
kule diaspora wa America, huku diaspora wa Europe, huku kibaraka na kundi lake, kule makapuku 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…