Mbowe acha mzaha na Damu za watu

Mbowe acha mzaha na Damu za watu

Dah umeeleweka mkuu, safi sana
Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama.
Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na wanarudi kwenye Chama kama zamani kwa lipi?
Yaani they're the best of all members around Tanzania?
Kwamba bila hao wasaliti CHADEMA haiwezi be kuwepo?
Aisee acha mzaha na Damu za watu Mbowe,hao ni nyoka tayari hawawezi tena kurudi kuwa Binadamu.
Mtu Kama Halima Mdee alikuwa na dhiki gani ya kununuliwa na CCM?
Miaka 10 ya Ubunge,mshahara zaidi ya mil 10 kwa mwezi na mafao yote hayo Bado hakuridhika akakimbilia CCM kisa kakosa Ubunge baada ya kuporwa,who the hell are they?
Waache wafie huko CCM, kila aliyeondoka wakati wa mapambano hatumtaki,umeshatuuliza siye wanachama kuwa Tupo tayari hao wasaliti warudi?
Tunakuheshimu sana tunaomba ujiheshimu na usichafue hali ya hewa.
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.


Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Akili hizo angekuwa nazo Nelson Mandela,South Africa isingekombolewa,hakuna mtu aliyekuwa anapewa fursa za pesa Kama Nelson Mandela,alichagua utu kuliko pesa,ndo maana ameondoka Duniani akiwa na heshima kubwa kuliko mtu yoyote Africa.
Pesa si lolote mbele ya utu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nelson Mandela huwezi kumfananisha na Mbowe.

Mbowe kuuza Chadema ni dakika sifuri. Ni dau lako tu.

Lowasa alimkatia Mbowe mlungula unajua kilichotokea.
 
Nelson Mandela huwezi kumfananisha na Mbowe.

Mbowe kuuza Chadema ni dakika sifuri. Ni dau lako tu.

Lowasa alimkatia Mbowe mlungula unajua kilichotokea.

Ma CCM yameshadadia uzi huu kujitibu misongo ya machungu ya awamu ya sita 😂😂😂😂😂.

Haya mbona yako wazi mno:

1. Covid 19 wamefukuzwa Chadema
2. Chadema haipokei ruzuku wala michango yao au chochote kutokana na ubunge wao batili.
3. Wakiomba msamaha kama mtu yeyote mwingine watasamehewa.
4. Msamaha hauna maana kuwa ili waendelee na ubunge au vyeo vyovyote walivyokuwa navyo.
5. Kusamehewa ina maana ya kufikiriwa na kuanza wanachama upya!

Sikilizeni na kufuatilia matamko rasmi ya chama kujua chama kinakwenda wapi.

Mbowe ni zaidi mno ya hoja nyepesi nyepesi kama zilizotolewa na mleta mada au hii michangiaji mi CCM ambayo kwa uzi huu imechagua kudemka kama vile eti nayo ni mi cdm.

Cdm mbona wanajulikana?
 
Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama.
Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na wanarudi kwenye Chama kama zamani kwa lipi?
Yaani they're the best of all members around Tanzania?
Kwamba bila hao wasaliti CHADEMA haiwezi be kuwepo?
Aisee acha mzaha na Damu za watu Mbowe,hao ni nyoka tayari hawawezi tena kurudi kuwa Binadamu.
Mtu Kama Halima Mdee alikuwa na dhiki gani ya kununuliwa na CCM?
Miaka 10 ya Ubunge,mshahara zaidi ya mil 10 kwa mwezi na mafao yote hayo Bado hakuridhika akakimbilia CCM kisa kakosa Ubunge baada ya kuporwa,who the hell are they?
Waache wafie huko CCM, kila aliyeondoka wakati wa mapambano hatumtaki,umeshatuuliza siye wanachama kuwa Tupo tayari hao wasaliti warudi?
Tunakuheshimu sana tunaomba ujiheshimu na usichafue hali ya hewa.
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.


Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Unatwanga maji kwenye kinu
 
Nilivyoelewa alisema wale walioondoka wakirudi wanaweza kupokelewa lakini hawa covid 19 hawakuondoka Bali walifukuzwa baada ya kukisaliti chama. Kama Mdee na genge lake wakisamehewa mimi nachana kadi na kamwe sitakaa nijiunge chama chochote wala kupiga kura.
Unamkomoa nani?
 
Kuna mpuuzi mmoja anaitwa Mawia sijui.. sijamuona kuchangia kwenye huu uzi. Chama kina mwenyewe hiki
 
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.
Kiukweli baadhi ya wanachama, wafuasi na mashabiki wa Chadema, vichwani ni watupu kabisa!. Wanadhani Majina ya kina Halima, yamepelekwa na CCM!. Laiti ungeujua ukweli, you will be surprised.



P
 
Kuna mpuuzi mmoja anaitwa Mawia sijui.. sijamuona kuchangia kwenye huu uzi. Chama kina mwenyewe hiki

Wewe ni wale wanaougulia maumivu kwenye awamu ya sita?

Unaonekana kudemka kweli kweli na huu uzi.

Kwani ulishahamia cdm?
 
Kiukweli baadhi ya wanachama, wafuasi na mashabiki wa Chadema, vichwani ni watupu kabisa!. Wanadhani Majina ya kina Halima, yamepelekwa na CCM!. Laiti ungeujua ukweli, you will be surprised.


P

Iko kwenye rekodi Chadema kuwataka msajili wa vyama vya siasa au tume ya uchaguzi watoe nani aliwapa majina ya wabunge wa viti maalumu achilia mbali kuwa mmoja aliyeko kule alikuwa Segerea.

Hayupo aliyethubutu kujibu hilo.

Tukuamini wewe uliyeonja JOTO ya jiwe ya wajumbe wa CCM kawe kuwa wewe kichwani una lolote?

Hiiiiii bagosha!
 
Iko kwenye rekodi Chadema kuwataka msajili wa vyama vya siasa na tume ya uchaguzi watoe nani aliwapa majina ya wabunge wa viti maalumu achilia mbali kuwa mmoja aliyeko kule alikuwa Segerea.

Hayupo aliyethubutu kumjibu hilo.

Tukuamini wewe ulionja JOTO ya jiwe ya wajumbe wa kawe kuwa wewe vichwani una lolote?

Hiiiiii bagosha!
Kwa kukusaidia tuu, kama Chadema hawakupeleka majina, wangeisha ripoti polisi ni jinai ya forgery.
P
 
Kwa kukusaidia tuu, kama Chadema hawakupeleka majina, wangeisha ripoti polisi ni jinai ya forgery.
P

Kwa kukusaidia pia ewe Ilboru Alumni:

1. Forgery ni jinai. Polisi hawapaswi kusubiri ripoti. Wewe na mimi tumesikia kanusho la Chadema kutowasilisha majina hayo. Unadhani polisi hawajasikia hilo? Si kuwa polisi ni washirika kwenye jinai nyingi zihusuzo vyama ikiwamo hii?

2. Kwanini ni vigumu msajili au tume kutoa majibu ya maswali ya msingi sana haya ya Chadema wasiyotaka kuyajibu? Wewe kisheria hujui kuwa silence means affirmative? Kwanini msajili na tume ya uchaguzi wako kimya?

Ni mageni kuwa Polisi amekuwa mshirika mwaminifu kwenye jinai nyingi zikiwamo faulo za chaguzi mbalimbali na makorombwezo yake yote?

Kwani kweli wewe huyajui hayo?
 
Akili hizo angekuwa nazo Nelson Mandela,South Africa isingekombolewa,hakuna mtu aliyekuwa anapewa fursa za pesa Kama Nelson Mandela,alichagua utu kuliko pesa,ndo maana ameondoka Duniani akiwa na heshima kubwa kuliko mtu yoyote Africa.
Pesa si lolote mbele ya utu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Kwani Mandela ni kabila gn?
 
Back
Top Bottom