Mbowe acha mzaha na Damu za watu

Mbowe acha mzaha na Damu za watu

Ma CCM yameshadadia uzi huu kujitibu misongo ya machungu ya awamu ya sita ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Haya mbona yako wazi mno:

1. Covid 19 wamefukuzwa Chadema
2. Chadema haipokei ruzuku wala michango yao au chochote kutokana na ubunge wao batili.
3. Wakiomba msamaha kama mtu yeyote mwingine watasamehewa.
4. Msamaha hauna maana kuwa ili waendelee na ubunge au vyeo vyovyote walivyokuwa navyo.
5. Kusamehewa ina maana ya kufikiriwa na kuanza wanachama upya!

Sikilizeni na kufuatilia matamko rasmi ya chama kujua chama kinakwenda wapi.

Mbowe ni zaidi mno ya hoja nyepesi nyepesi kama zilizotolewa na mleta mada au hii michangiaji mi CCM ambayo kwa uzi huu imechagua kudemka kama vile eti nayo ni mi cdm.

Cdm mbona wanajulikana?
Mkuu chadema inajulikana ina price tag juu yake. Hilo liko wazi.

Hayo mambo mengine ni kujifaragua tu ila ukweli uko wazi chadema ina bei yake.
 
Mkuu chadema inajulikana ina price tag juu yake. Hilo liko wazi.

Hayo mambo mengine ni kujifaragua tu ila ukweli uko wazi chadema ina bei yake.

Limeandikwa wapi hilo? Umeambiwa na nani? Unaweza kulitolea ushahidi usioacha shaka popote pale? Au ni kuota ota ndoto tu?

Ila watu kama nyie mnatugharimu sana kwenye hii nchi.

Bila watu kama nyie tungekuwa mbali sana na hata katiba tu isingekuwa hii inayopigiwa kelele kila siku na hata nyie mkiwamo ila bila kujua.
 
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Kwan Mungu ni wa kabila lako
Ndio tatizo la kuvamia vyama kwa mihemko
Hujajiuliza kwa nini chadema wanapiga tu kelele hawaendi mahakamani?
Hujajiuliza kwa nini rufaa ya kina Mdee haijasikilizwa mpaka leo?
Hujaijuliza kwa nini chadema hawatambui matokeo yote ya uchaguzi lakini wamepeleka mbunge wao mmoja?
Ukishapata majibu utajichukia wewe kwa kupenda kampuni binafsi badala ya chama cha siasa
 
Kwan Mungu ni wa kabila lako
Ndio tatizo la kuvamia vyama kwa mihemko
Hujajiuliza kwa nini chadema wanapiga tu kelele hawaendi mahakamani?
Hujajiuliza kwa nini rufaa ya kina Mdee haijasikilizwa mpaka leo?
Hujaijuliza kwa nini chadema hawatambui matokeo yote ya uchaguzi lakini wamepeleka mbunge wao mmoja?
Ukishapata majibu utajichukia wewe kwa kupenda kampuni binafsi badala ya chama cha siasa

Halitakiwa tatizo la kuvamia hoja kwa mihemko hili?

1. Hujajiuliza kwanini suala hili la jinai polisi wako kimya.
2. Hujajiuliza kwanini kinyume cha utaratibu popote rufaa ambayo haijaamuliwa haibatilishi hukumu.
3. Hujajiuliza kwanini Chadema hawapokei ruzuku au michango ya mbunge yeyote.
4. Hujajiridhisha kama Chadema wanatambua uwepo wa mbunge wao yeyote bungeni.
5. Hujajiuliza kwanini msajili wa vyama au tume ya uchaguzi hawajibu majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA waliyapata wapi.

Ukiyaelewa hayo utajichukia mwenyewe kwa kudemkia ngoma wasiojulikana usiyoijua kama wewe si mmoja wao.

Hiiiiii bagosha!
 
Mbowe ni msanii sana nilikuwaga lia lia sana wa chama cha chadema ila pale tu alipoahirisha maandamano nikamchukia jumla n a kadi nikachana .

Mbowe ndie alisababisha jiwe apate kiburi kuwa kumbe ana upinzan usio na meno na ukumbuke jiwe alikuwa mwoga sana yule dingi ni vile watu hawakujua tu ,kama ile siku maandamano yangetokea niamin magu angeongoza kwa upole sana ,sheria zote angefuata hata wabunge wa upinzan asingewakata kibabe ile 2020 ila mwaka 2015 alipogundua upinzan si lolote ndio hayo yaliotukuta kwa Zaid ya miaka mitano .

Mbowe sio wa kumwamini yule dingi hata ishu ya kina mdee ana mkono wake asilimia mia wajinga ndio hawaelew huu mchezo unavyocheza kibabe Zaid na kiutalaam
Chadema haijawahi kuwa na mwanachama parachichi,wewe ni mataga tu
 
Mkuu chadema inajulikana ina price tag juu yake. Hilo liko wazi.

Hayo mambo mengine ni kujifaragua tu ila ukweli uko wazi chadema ina bei yake.
CHADEMA ni Chama imara kuliko hata CCM, Magufuli alijaribu zaidi ya mara kumi kumnunua Mbowe lakini hadi anakufa hakufanikiwa,hasira yake ikaishia kwenye kuharibu mali zake na kumfungulia kesi za kipumbavu.....vyama vyenye Price Tag ni TLP,NCCR,CUF na vinginevyo,kaa mbali na CHADEMA,na wala usijidanganye huo ni mziki mwingine.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Mbowe hawezi kutelekeza kitega uchumi chake kinachompa billions. Ni sawa na na Mrema, Cheyo, Shibuda na wala hana sababu hiyo.

Mbowe hahitaji kuhama chama ili kupata maslahi yake.
Kwa sababu una mdomo unaoweza kuropoka lolote lakini ungekuwa na akili usingekuwa juha kichwani kiasi hicho, Kama unadhani ni rahisi hivyo na wewe anzisha Chama upige pesa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu una mdomo unaoweza kuropoka lolote lakini ungekuwa na akili usingekuwa juha kichwani kiasi hicho, Kama unadhani ni rahisi hivyo na wewe anzisha Chama upige pesa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Wewe takataka, kwahiyo kuwa msukule kwenye hicho kitega uchumi cha wachagga unaona ni big deal sana siyo.
 
Paka akishalala nje si paka tena, bali paka-pori (ni msemo tu wa baadhi ya makabila)
 
CHADEMA ni Chama imara kuliko hata CCM, Magufuli alijaribu zaidi ya mara kumi kumnunua Mbowe lakini hadi anakufa hakufanikiwa,hasira yake ikaishia kwenye kuharibu mali zake na kumfungulia kesi za kipumbavu.....vyama vyenye Price Tag ni TLP,NCCR,CUF na vinginevyo,kaa mbali na CHADEMA,na wala usijidanganye huo ni mziki mwingine.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app

Kauli rasmi tokea kwa mh. Mwenyekiti ni hii:

IMG_20210616_125423_966.jpg


Mwiba mchungu kwa wazandiki!
 
Akili hizo angekuwa nazo Nelson Mandela,South Africa isingekombolewa,hakuna mtu aliyekuwa anapewa fursa za pesa Kama Nelson Mandela,alichagua utu kuliko pesa,ndo maana ameondoka Duniani akiwa na heshima kubwa kuliko mtu yoyote Africa.
Pesa si lolote mbele ya utu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
MBOWE ANAPENDA SANA HELA SASA WAKINA MDEE WAMESHAANZA KUMBANA AWARUDISHE CHAMANI HANA UJANJA ZAIDI YA KUSEMA ANAWASAMEHE
 
HAHAAAAA JAMANI MNAMJUWA MBOWE? AACHE ZAIDI YA BILIONI IMEKAA TU KWA MASLAHI YA NANI? KASHAZICHOTA ZAMAAAAANI NDIYO ANAZUNGUKA NAZO MIKOANI

Boya: hizi ID zenu za mwishoni mwa 2020 zinasemekana zilikuwa za KIMKAKATI zaidi chini ya wale mnaojulikana:

IMG_20210616_131852_313.jpg


Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom