Hv yale makato wanayokatwa wabunge ufipan hawa wamama huwa wanayawasilisha km taratibu za vyama zinavyoelekeza
Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama.
Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na wanarudi kwenye Chama kama zamani kwa lipi?
Yaani they're the best of all members around Tanzania?
Kwamba bila hao wasaliti CHADEMA haiwezi be kuwepo?
Aisee acha mzaha na Damu za watu Mbowe,hao ni nyoka tayari hawawezi tena kurudi kuwa Binadamu.
Mtu Kama Halima Mdee alikuwa na dhiki gani ya kununuliwa na CCM?
Miaka 10 ya Ubunge,mshahara zaidi ya mil 10 kwa mwezi na mafao yote hayo Bado hakuridhika akakimbilia CCM kisa kakosa Ubunge baada ya kuporwa,who the hell are they?
Waache wafie huko CCM, kila aliyeondoka wakati wa mapambano hatumtaki,umeshatuuliza siye wanachama kuwa Tupo tayari hao wasaliti warudi?
Tunakuheshimu sana tunaomba ujiheshimu na usichafue hali ya hewa.
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ule mchakato wa rufaa za wale wamama ulishasikilizwa???Chadema haipokei makato wala ruzuku tokea kwa wasiokuwa wanachama wake.
Nelson Mandela huwezi kumfananisha na Mbowe.Akili hizo angekuwa nazo Nelson Mandela,South Africa isingekombolewa,hakuna mtu aliyekuwa anapewa fursa za pesa Kama Nelson Mandela,alichagua utu kuliko pesa,ndo maana ameondoka Duniani akiwa na heshima kubwa kuliko mtu yoyote Africa.
Pesa si lolote mbele ya utu.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ule mchakato wa rufaa za wale wamama ulishasikilizwa???
Nelson Mandela huwezi kumfananisha na Mbowe.
Mbowe kuuza Chadema ni dakika sifuri. Ni dau lako tu.
Lowasa alimkatia Mbowe mlungula unajua kilichotokea.
Unatwanga maji kwenye kinuNimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama.
Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na wanarudi kwenye Chama kama zamani kwa lipi?
Yaani they're the best of all members around Tanzania?
Kwamba bila hao wasaliti CHADEMA haiwezi be kuwepo?
Aisee acha mzaha na Damu za watu Mbowe,hao ni nyoka tayari hawawezi tena kurudi kuwa Binadamu.
Mtu Kama Halima Mdee alikuwa na dhiki gani ya kununuliwa na CCM?
Miaka 10 ya Ubunge,mshahara zaidi ya mil 10 kwa mwezi na mafao yote hayo Bado hakuridhika akakimbilia CCM kisa kakosa Ubunge baada ya kuporwa,who the hell are they?
Waache wafie huko CCM, kila aliyeondoka wakati wa mapambano hatumtaki,umeshatuuliza siye wanachama kuwa Tupo tayari hao wasaliti warudi?
Tunakuheshimu sana tunaomba ujiheshimu na usichafue hali ya hewa.
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Unamkomoa nani?Nilivyoelewa alisema wale walioondoka wakirudi wanaweza kupokelewa lakini hawa covid 19 hawakuondoka Bali walifukuzwa baada ya kukisaliti chama. Kama Mdee na genge lake wakisamehewa mimi nachana kadi na kamwe sitakaa nijiunge chama chochote wala kupiga kura.
Swali la kihanithi kabisa hili.Unamkomoa nani?
Kiukweli baadhi ya wanachama, wafuasi na mashabiki wa Chadema, vichwani ni watupu kabisa!. Wanadhani Majina ya kina Halima, yamepelekwa na CCM!. Laiti ungeujua ukweli, you will be surprised.Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.
Kuna mpuuzi mmoja anaitwa Mawia sijui.. sijamuona kuchangia kwenye huu uzi. Chama kina mwenyewe hiki
Kiukweli baadhi ya wanachama, wafuasi na mashabiki wa Chadema, vichwani ni watupu kabisa!. Wanadhani Majina ya kina Halima, yamepelekwa na CCM!. Laiti ungeujua ukweli, you will be surprised.
Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
Wanabodi, Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "Karma", na nimekuwa nikikihubiri mara nyingi tuu humu jukwaani kuwa karma ndio the power pekee ambayo hutoa hukumu ya haki hapa duniani, kwenye karma, mtu unaadhibiwa au kuhukumiwa kwa mawazo, maneno na matendo yako, karma haina mswalie Mtume, wala...www.jamiiforums.com
P
Kwa kukusaidia tuu, kama Chadema hawakupeleka majina, wangeisha ripoti polisi ni jinai ya forgery.Iko kwenye rekodi Chadema kuwataka msajili wa vyama vya siasa na tume ya uchaguzi watoe nani aliwapa majina ya wabunge wa viti maalumu achilia mbali kuwa mmoja aliyeko kule alikuwa Segerea.
Hayupo aliyethubutu kumjibu hilo.
Tukuamini wewe ulionja JOTO ya jiwe ya wajumbe wa kawe kuwa wewe vichwani una lolote?
Hiiiiii bagosha!
Kwa kukusaidia tuu, kama Chadema hawakupeleka majina, wangeisha ripoti polisi ni jinai ya forgery.
P
Polisi wepi enzi za Mwendazake??Kwa kukusaidia tuu, kama Chadema hawakupeleka majina, wangeisha ripoti polisi ni jinai ya forgery.
P
Kwani Mandela ni kabila gn?Akili hizo angekuwa nazo Nelson Mandela,South Africa isingekombolewa,hakuna mtu aliyekuwa anapewa fursa za pesa Kama Nelson Mandela,alichagua utu kuliko pesa,ndo maana ameondoka Duniani akiwa na heshima kubwa kuliko mtu yoyote Africa.
Pesa si lolote mbele ya utu.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ajaribu aone kudadeki walahi....Pole sana ,niamini kuwa Mbowe anajua namna hao mnaowaita wasaliti walivyofika bungeni,na atawasamehe na Mambo yataendelea