Mbowe acha mzaha na Damu za watu

Nimekupata mkuu,sawa Tumewasamehe ila hatuwataki kwenye Chama washenz sana hawa wanawake,acha wafie CCM nyambafu mbwa hawa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni nani kwenye Saccos ya Chadema? Wenye Saccos wakisema wewe ni kupiga makofi tu mkuu lasivyo wewe utaondoka na Saccos itaendelea. Na usirudie kumkanya Mwenyekiti wetu wa Maisha Faru John. Who are you by the way!!
 
Mkuu Pasco,Tunajua kila kitu we're not dulls, na wewe usijitoe ufahamu kwa sababu ya uoga,kwani hujui jitihada za Hayati Magufuli kuua upinzani kwa gharama yoyote?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwa kukusaidia tuu, kama Chadema hawakupeleka majina, wangeisha ripoti polisi ni jinai ya forgery.
P
Pasco ,Tunakuheshimu sana,hebu itendee haki hadhi yako, yaani unataka kujitoa ufahamu kwa lipi?
Eti wangeripoti Police, wewe ni intellectual umeamua kujifanya zuzu kwa lipi?
Unakera bwana

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Acha uzuzu siasa kwenye siasa huwa hamna kama unavotaka wewe.
 
Mkuu,Pasco asikusumbue ameamua kujitoa ufahamu kwa makusudi pengine ameahidiwa u DC.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama.
Abataka akurudia makosa ya 2015 kuwakaribisha wale ma PM mapacha
 
Hata mie nimeshangaa ma CCM yamevamia huu uzi kupoza stress za kufiwa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Nimekupata mkuu,sawa Tumewasamehe ila hatuwataki kwenye Chama washenz sana hawa wanawake,acha wafie CCM nyambafu mbwa hawa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app

Mkuu kumbuka #3, 4 na 5 ziko pamoja:

"3. Wakiomba msamaha kama mtu yeyote mwingine watasamehewa.
4. Msamaha hauna maana kuwa ili waendelee na ubunge au vyeo vyovyote walivyokuwa navyo.
5. Kusamehewa ina maana ya kufikiriwa na kuanza uanachama upya!"

Hadi sasa hawajaomba msamaha. Hata wakiomba #5 inahusika. Si lazima kusamehewa.

Ila tuanzie hapa. Hajasamehewa mtu hadi sasa.

Tusisahau kuwa mapambano ni strategy. Mandela alimvumilia hata Buthelezi, msaliti ambaye hata alisababisha vifo kwa washirika for the sake of unity and success.

Mbowe anaona mbali sana.
 
Wewe mnafiki wa CCM tu huaminiki tena, una maana Mbowe ndiye alienda kumtoa rumande yule dada wa Bavicha usiku? Hebu ilinde hiyo hadhi yako kiduchu iliyobakia hapa jukwaani.
 
Pamoja na kwamba Covid 19 walitekwa, wakawekwa under survellance , na kupewa maelekexo nini wafanye nini wasifanye na marehemu Hamnazo lakini hakuna haja yoyote ya kuwassmehe maana hawakutoa taarifa kwa uongozi wa chama
 
Mbowe ni msanii sana nilikuwaga lia lia sana wa chama cha chadema ila pale tu alipoahirisha maandamano nikamchukia jumla n a kadi nikachana .

Mbowe ndie alisababisha jiwe apate kiburi kuwa kumbe ana upinzan usio na meno na ukumbuke jiwe alikuwa mwoga sana yule dingi ni vile watu hawakujua tu ,kama ile siku maandamano yangetokea niamin magu angeongoza kwa upole sana ,sheria zote angefuata hata wabunge wa upinzan asingewakata kibabe ile 2020 ila mwaka 2015 alipogundua upinzan si lolote ndio hayo yaliotukuta kwa Zaid ya miaka mitano .

Mbowe sio wa kumwamini yule dingi hata ishu ya kina mdee ana mkono wake asilimia mia wajinga ndio hawaelew huu mchezo unavyocheza kibabe Zaid na kiutalaam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…