Uchaguzi 2020 Mbowe adhalilisha vyama vyote vya upinzani nchini, adai havistahili kupewa haki ya kunadi wagombea wao

Vyama uchwara vinavyotembea na masufuria , sijui masahani ya ubwabwa vina heshima gani kama vyenyewe vimeshindwa kusimama kwa miguu yao .
 
Mbowe kasema ukweli mchungu, ukweli vyama vinavyoonekana ni vinne tu yaani, cuf, ccm. act, chadema.vingine ni vyama hewa.
 
Leo Mbowe umeharibu kila kitu. Labda amelewa! Pamoja na Zitto kumuunga mkono Lissu anasema hivi vyama ni mkakati wa CCM kweli?
 
kwa kweli Mbowe amevidhalalisha mno na kuvidharau vyama vingine vya upinzani. siamini kama kweli chama cha upinzani ni CHADEMA tu!!
kauli ya Mbowe ina didimiza demokrasia ya vyama vingi vya upinzani, lakini pia inavikosea heshima vyama vingine
 
Leo mbowe umeharibu kila kitu. Labda amelewa! Pamoja na zito kumuunga mkono lissu anasema hivi vyama ni mkakati wa ccm kweli?
Ukweli unabaki palepale, vyama Vingi ni mkakati wa CCM kama NRA, ADC....ujinga mtupu, wako wapi wagombea wao?
 
Acha kupotosha, hicho sicho alichokiongea Mbowe. Tunafuatilia kwa makini, hatuhadithiwi
 
yaan sisi wa ada tadea ina mana sio watanzania. sheme on them
 

Kazi ya mawakala wa shetani ni kufitinisha na kuchonganisha....ushindwe na ulegee we kibwengu wa lumumba
 
Sikiliza alichosema Mbowe kwenye hiyo clip kuanzia dakika 3: 33. Tena ameviita vyama vingine kuwa ni wabakaji wa demokrasia!!! Nategemea vyama vote vya upinzani vitatoa tamko na kulaani udhalilishaji huu na kuchukua hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kuishitaki Chadema kwa udhalilishaji. CHADEMA inazidi kujimaliza kwa kauli zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…