Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Your browser is not able to display this video.

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa CHADEMA akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais CHADEMA mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna Mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dkt. Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
 
mfuate Slaa , shida iko wapi, waache chadema na mambo yao wewe na mambo yako na slaa
 
CCM kutakuwa na fomu ngapi 2025? si moja? huo si uhuni at national level, afadhali huu ni village level
 
Msigwa ushahama baki na lijoka lako la kijani.

We uko kama vile hujasoma, hyo research ulofanya ku justify kuwa dunia imeshangaa umeifanyia wapi.
Msigwa wewe ni Yuda tu, tangu uanze kula kondoo wako hasa yule binti wa dukani kwako I will never respect you in any way
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…