EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 3,781
- 12,091
Yaani unakaa unafananisha Kenya na Tanzania kabisaaa?! Tanzania fananisha na Burundi.Mimi sitaki kusikia chochote kwa hao wanasiasa.Yote au wote!!??
Kukata tamaa kwa namna hii ndiyo kinakoonesha ni kwa nini sisi na wakenya ni tofauti.