Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yote au wote!!??

Kukata tamaa kwa namna hii ndiyo kinakoonesha ni kwa nini sisi na wakenya ni tofauti.
Yaani unakaa unafananisha Kenya na Tanzania kabisaaa?! Tanzania fananisha na Burundi.Mimi sitaki kusikia chochote kwa hao wanasiasa.
 
Wanachadema kuhusu Mbowe ni zaidi ya ibada, yaani Mungu Mbowe ndiye anayeaminika na wanachama wote, hakuna mwanachama yeyote anayeaminika. Hapo Mbowe ni zaidi ya Mungu, maana hakuna mwanachama anaaminika kuchukua uenyekiti zaidi ya Mbowe, wengine wote wananunulika, yaani Lisu ananunulika, Lema ananunulika,yaani hakuna anayefaa zaidi ya Mungu Mbowe.
 
Sasa kwani katiba yao inamzuia? Mambo mengine yanatia aibu, wao wanamchagua nyie mnataka kuwapangia na mnaumia wakati vyama vingine vipo mnaaeza amia huko mkawe wenyevit kama alivyofanya Zitto
Wewe kaka mimi sina chama na wala siyo chadema. Nimetoa ushauri au siruhusiwi kuchangia hapa. Ungeweka nawewe mapendekezo yako. Haya ni yangu mimi ni haki yangu kusema nachoona.
 

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Laana ya kumsaliti Magufuli itawatafuna
 
Mbona wanachama hawalalamiki km nyie Lumumba buku 7 fc 😂
Una uhakika wote ni lumumba
Fuatilia michango wengi wetu utaelewa

Tupo humu kitambo sana
Tuliitetea sana hiyo mnaita chadema but hatuoni matokeo chanya kila mwaka ni hasi.
So usikebehi comments za watu.
 

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Wizi wa kura wa sisiemu vipi huuzungumzii?
 
Wanachadema kuhusu Mbowe ni zaidi ya ibada, yaani Mungu Mbowe ndiye anayeaminika na wanachama wote, hakuna mwanachama yeyote anayeaminika. Hapo Mbowe ni zaidi ya Mungu, maana hakuna mwanachama anaaminika kuchukua uenyekiti zaidi ya Mbowe, wengine wote wananunulika, yaani Lisu ananunulika, Lema ananunulika,yaani hakuna anayefaa zaidi ya Mungu Mbowe.
Wanachama wao wamekubali iwe hivyo wasiyo kubali wanaruhusiwa kuhamia popote pale
 

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Sawa msigwa tumekusikia.
 
Hakuna upinzani bongo ni stori stori tu

Ni wananchi kufika mahali na kufanya maamuzi magumu

30yrs stori ni zile zile wamekosa uthubutu!

Tunadanganywaaa weeee
Wakirudi majumbani mwao maisha yanaendelea. Kutwa kusema keyboard worries. Wengi wa keyboard warriors wapo nje ya nchi ( hili nalo upinzani wameshindwa kutambua au ni kujifanya tu) Wanalipwa ruzuku kutwa mikutano isiyo isha.

Mnaongea nini wananchi wasichokijua.
Mnajadili budget ili iweje
Wafanyabiashara waligoma mpo kimya
HAKUNA UPINZANI PERIOD!

..Ccm ndio waliosababisha yote unayolaumu.

..Kwa miaka 30+ Ccm wamegoma kutekeleza mapendekezo ya Tume ya Jaji Nyalali ili Tanzania iwe na mfumo wa kweli wa vyama vingi.
 
CCM kutakuwa na fomu ngapi 2025? si moja? huo si uhuni at national level, afadhali huu ni village level
Mwamba usipanic!! CHADEMA kama chama kikuu Cha Upinzani kinatakiwa kuwa mfano wa kuigwa. Kinatakiwa kiwe kisafi kuliko chama mnachotaka kiwapishe.

Una mahaba mazito na Mbowe, lakini tafadhali rejesha moyo wako nyuma Ili uitazame Demokrasia kati ubora unaohitajika.

Mbowe ni binadamu, na kama binadamu anakosea na hivyo wakati Fulani anastahili kusamehewa.

Lakini bahati mbaya sana Mbowe anakosea sana na makosa yake yanajirudia mno!! Kwanini asikubali kukosolewa na kushauriwa!?

Hakuna mashaka kwamba CHADEMA inapotomoka!! Kwani akikubali matakwa ya wenzake kwamba apumzike atapungukiwa nini!?

Au kaamua tu kwamba kama siyo yeye Mbowe basi ni heri chama kimfie!?

Mnafanya makosa Yale Yale ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kuziba masikio na kuwasikiliza wachache. Mbowe kama kiongozi wa Upinzani afanye kinyume chake hata kidogo tu!!

Mbowe tunampenda sana, lakini CHADEMA bila Mbowe itaemdelea tu. Na hili unataka kupinga?
 
Hakuna upinzani bongo ni stori stori tu

Ni wananchi kufika mahali na kufanya maamuzi magumu

30yrs stori ni zile zile wamekosa uthubutu!

Tunadanganywaaa weeee
Wakirudi majumbani mwao maisha yanaendelea. Kutwa kusema keyboard worries. Wengi wa keyboard warriors wapo nje ya nchi ( hili nalo upinzani wameshindwa kutambua au ni kujifanya tu) Wanalipwa ruzuku kutwa mikutano isiyo isha.

Mnaongea nini wananchi wasichokijua.
Mnajadili budget ili iweje
Wafanyabiashara waligoma mpo kimya
HAKUNA UPINZANI PERIOD!
Upo na tatizo la kisaikolojia inahitaji ushauri nasaha. Maana wewe unadhani upinzani ni mbowe na Lissu. Mbowe alikaa ndani magereza karibia mwaka wewe unaweza kukaa hata siku moja?. Lissu kalimwa Risasi Zaidi ya kumi, wewe unaweza kuhimili?.


Kila siku imekaa kulaumu upinzani hakuna wakati wakipitia madhara mmekaa kimya na kuwacheka. Kama hakuna upinzani Baki na hiyo CCM yako utulie.
 
Serikali impe kazi Mbowe, ili aachie uenyekiti Chadema. Hata kama jamani, Demokrasia gani kiongozi, mmoja watoto wanazaliwa wamemkuta mpaka wameanza kujitegemea. Chadema muendane na maneno yenu.

Mnashindwa hata na chama cha mambuzi, wameshabadili wenyeviti nyie huyohuyo. Kama chama ni cha familia, kiundwe chama cha wananchi wote, huru yeyote kugombea.
Katika Jambo nalo Pinga ni Mbowe kutaka kugombea Tena uenyekiti. Italeta picha mbaya.
 
Back
Top Bottom