econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ukisema yote unakosea Sana. Maana hata wewe ni mwanasiasa.Safi sana wewe kama mimi tu ,siamini mwanasiasa yoyote yule tena.Yote majizi na malaghai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema yote unakosea Sana. Maana hata wewe ni mwanasiasa.Safi sana wewe kama mimi tu ,siamini mwanasiasa yoyote yule tena.Yote majizi na malaghai.
Mbowe mtu haswaaaa.Umefanya jambo la msingi. Huu utapeli wa mbowe watu wameuchoka
Nadhani mwaka huu Mbowe astaafu. Awe mshauri kwa uongozi mpya.Usisahau kuna Joyce Mukya. Huenda mwenyekiti mpya akawa Joyce Mukya.
Mbowe akistaafi Leo, CHADEMA nguvu itaongezeka. Ila akilazisha atasusiwa chama, halafu baadae aje kujutia kuwa alifanya makosa kutostaafu.Mwamba usipanic!! CHADEMA kama chama kikuu Cha Upinzani kinatakiwa kuwa mfano wa kuigwa. Kinatakiwa kiwe kisafi kuliko chama mnachotaka kiwapishe.
Una mahaba mazito na Mbowe, lakini tafadhali rejesha moyo wako nyuma Ili uitazame Demokrasia kati ubora unaohitajika.
Mbowe ni binadamu, na kama binadamu anakosea na hivyo wakati Fulani anastahili kusamehewa.
Lakini bahati mbaya sana Mbowe anakosea sana na makosa yake yanajirudia mno!! Kwanini asikubali kukosolewa na kushauriwa!?
Hakuna mashaka kwamba CHADEMA inapotomoka!! Kwani akikubali matakwa ya wenzake kwamba apumzike atapungukiwa nini!?
Au kaamua tu kwamba kama siyo yeye Mbowe basi ni heri chama kimfie!?
Mnafanya makosa Yale Yale ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kuziba masikio na kuwasikiliza wachache. Mbowe kama kiongozi wa Upinzani afanye kinyume chake hata kidogo tu!!
Mbowe tunampenda sana, lakini CHADEMA bila Mbowe itaemdelea tu. Na hili unataka kupinga?
Sio wote ni wafanyabiashara.Umesema vyema.
Watu waache kuwa kwenye ‘denial’
Wote ni wafanyabiashara
Ok sawa Msigwa ni MAVI!! Je, hili linaondoa Ukweli kwamba Mbowe ame-over stay?Wenye akili, nasema wenye akili, reasonable men, wanamuona Msigwa mavi. Kwanini hakuyasema right from the beginning?
Ni kweli ila astaafu na kuwapa wengine nafasi. Maana alipofika inabidi mwingine achukue nafasi.Mbowe mtu haswaaaa.
Mpaka unaona chadema kinafika kilipo ujue kavuja jasho la damu na maji haswa.
Siasa haitaki tamaa. Njaa au ukigeugeu.
Kunda changu nataka watu wajitolee tuteseke sote ili ikitokea kununuliwa tukikubal tunakubali wote au tunakataa wote.
Siasa ni ngumu sana mkuu.
Nccr
Tlp
Viko wapiiiiiiì
Unajua sababu???
Kikatiba hajakosea ila kihekima amekosea Sana. Maana atakuja kustaafu amebakia mwenyewe kwenye chama.Ok sawa Msigwa ni MAVI!! Je, hili linaondoa Ukweli kwamba Mbowe ame-over stay?
Bora useme wewe Kaka, miye naambiwa katiba inamruhusu sijui. Ameshakuwa Mwenyekiti miaka mingi, angewaachia wenye mawazo na fikra mpya, kuja kuongoza chama. Au anafikiria atakuja kupata Uraisi wa JMT?Katika Jambo nalo Pinga ni Mbowe kutaka kugombea Tena uenyekiti. Italeta picha mbaya.
Aaah shit, sasa yeye alikoenda kwa baba au kwa Mama?Msigwa kasema Mbowe ni fisadi na ushaidi katoa kauliza alienda ikulu kufanya nini akarudi akampa mama samia tunzo
View attachment 3030758
Acha kuropoka wewe chawa. Lissu ananulika na nani?. Angekuwa ananulika mngempiga risasi?. Punguza unafiki.Wanachadema kuhusu Mbowe ni zaidi ya ibada, yaani Mungu Mbowe ndiye anayeaminika na wanachama wote, hakuna mwanachama yeyote anayeaminika. Hapo Mbowe ni zaidi ya Mungu, maana hakuna mwanachama anaaminika kuchukua uenyekiti zaidi ya Mbowe, wengine wote wananunulika, yaani Lisu ananunulika, Lema ananunulika,yaani hakuna anayefaa zaidi ya Mungu Mbowe.
Kumbe msaliti kaondoka kwa sababu ya mbowe na sii kwa sababu ya chadema.Msigwa kasema Mbowe ni fisadi na ushaidi katoa kauliza alienda ikulu kufanya nini akarudi akampa mama samia tunzo
View attachment 3030758
Kwani kuna chadema bila mbowe? Hiko chama ni mbowe anayetaka nafasi yake anaitwa msaliti pandikiziKumbe msaliti kaondoka kwa sababu ya mbowe na sii kwa sababu ya chadema.
Kwa taarifa yako na inayotambuliwa duniani kiongozi maarufu wa upinzani tanzania ni mbowe, sii lisu wala huyo sjui msingwa
Kwani ni uongo??? Weka siasa kando..... Anahubiri amani huku kaficha silaha, nini kujinasibu chama cha demokrasia ilhali hawaaiishi hiyo demokrasia??? Uenyekiti huo hauna muda???Evelyn salt "hata wewe"
Kama msigwa alivotekwa??? 🤣🤣🤣Katekwa au kajipeleka kutekwa???correct, lakini upinzani si uadui. CCM inafanya vibaya kuwateka chadema.
nasema acha wawanunue chadema, kitu kibaya wanachofanya ni kuwateka kama sativa...Kama msigwa alivotekwa??? 🤣🤣🤣Katekwa au kajipeleka kutekwa???
Hao kina sativa watulie tu, watu wenyewe wanaosababisha watekwe ndio hawa kina msigwa.....nasema acha wawanunue chadema, kitu kibaya wanachofanya ni kuwateka kama sativa...
USijali ataastaafuNi kweli ila astaafu na kuwapa wengine nafasi. Maana alipofika inabidi mwingine achukue nafasi.