Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu yangu, mie siasa za bongo nimeshazivulia kofia na na blauzi sina hamuuuu. Wala siamini mambo yao ...hizi kelele za sisi mashabiki mara paaap kesho unaona picha ya pamoja ya mbowe, msigwa na sugu wanasmile hawana shida.

Sipo kabisa na siasa mie mtz huru
Sawa sawa maana wote hao lengo lao moja
 

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa CHADEMA akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais CHADEMA mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna Mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dkt. Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Mleteni msigwa
 
Ni kweli ila astaafu na kuwapa wengine nafasi. Maana alipofika inabidi mwingine achukue nafasi.

..kuna wakati Mbowe alikuwa analaumiwa kwamba amehongwa na Mama Samia.

..kwa mazingira ya sasa hivi sishauri Mbowe aondoke nafasi ya Uenyekiti.

..Mbowe hata kama anahongwa hawezi kuondoka Chadema, na kutimkia Ccm.

..kuna hatari ya Ccm kupandikiza mtu wao kuwa Mwenyekiti wa Chadema, halafu muda ukifika wanamchomoa.
 
..Samia alianza vizuri, hakuna anayebisha.

..alitoa kauli za matumaini, na ndio maana Chadema walimpa hiyo tuzo.

..lakini mpaka sasa hajaleta Tume Huru, Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano, pamoja na Katiba Mpya.

..kwa hiyo wanaomlaumu wana hoja za msingi.
mungu wenu mbowe kawaweza sana hamna ujanja
 
Wote ni sawa, utakuta hata Lissu na mama Abduli ni marafiki wakubwa hayo mambo ya majukwaa wanatuchora tu.

Hawaaminiki hawa
20240616_072003.jpg
 
mungu wenu mbowe kawaweza sana hamna ujanja

..aliyetuweza ni mungu-mama-abduli.

..katulaghai na 4R hakuna hata kimoja alichotekeleza.

..na hali ya uchumi ni ngumu lakini anaongeza kodi na tozo.
 
Wote ni sawa, utakuta hata Lissu na mama Abduli ni marafiki wakubwa hayo mambo ya majukwaa wanatuchora tu.

Hawaaminiki hawa

..suluhisho ni kuondoa MFUMO unaomuwezesha mwenyekiti wa Ccm kuhonga viongozi wa vyama vya upinzani.
 

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa CHADEMA akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais CHADEMA mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna Mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dkt. Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Sasa unalia nini?
 
..suluhisho ni kuondoa MFUMO unaomuwezesha mwenyekiti wa Ccm kuhonga viongozi wa vyama vya upinzani.
Kumbe wanahongeka.....sasa hapo shida ni ya nani??

Kweli tumbo ni shida. Haya bana kila mtu na ajali tumbo lake tu
 
..kuna wakati Mbowe alikuwa analaumiwa kwamba amehongwa na Mama Samia.

..kwa mazingira ya sasa hivi sishauri Mbowe aondoke nafasi ya Uenyekiti.

..Mbowe hata kama anahongwa hawezi kuondoka Chadema, na kutimkia Ccm.

..kuna hatari ya Ccm kupandikiza mtu wao kuwa Mwenyekiti wa Chadema, halafu muda ukifika wanamchomoa.
Kwa kauli hii ina maana bado Chadema haijajiandaa kwa 'maisha' baada ya Mbowe kung'atuka.....achilia mbali hata kuandaa mrithi wake .
 
Back
Top Bottom