Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Pre GE2025 Mbowe aendesha uchaguzi wa Mwenyekiti Pangani bila kufuata taratibu za CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe wanahongeka.....sasa hapo shida ni ya nani??

Kweli tumbo ni shida. Haya bana kila mtu na ajali tumbo lake tu

..shida ni yetu sisi wananchi.

..kodi zetu zinawezesha Ccm kupata mapesa ya kuhonga vyama vya upinzani.

..sisi tulitamani demokrasia ya ukweli, na yenye usawa kwa vyama vyote, lakini Ccm wameipiga kabari.
 
Kumbe wanahongeka.....sasa hapo shida ni ya nani??

Kweli tumbo ni shida. Haya bana kila mtu na ajali tumbo lake tu
Chadema kuna sehemu wamefika hawaelewi hata wanachokitetea wanatia huruma. Wanadhani kusukumia makosa ya mbowe kwa watu wengine ndio kumtetea kipenzi chao hawajui mwisho wake ni upi
 
..kuna wakati Mbowe alikuwa analaumiwa kwamba amehongwa na Mama Samia.

..kwa mazingira ya sasa hivi sishauri Mbowe aondoke nafasi ya Uenyekiti.

..Mbowe hata kama anahongwa hawezi kuondoka Chadema, na kutimkia Ccm.

..kuna hatari ya Ccm kupandikiza mtu wao kuwa Mwenyekiti wa Chadema, halafu muda ukifika wanamchomoa.
Lissu anaweza kuhongwa akatimkia CCM?
 
🤣🤣🤣 kwahyo ndo imetoka hyo 🤣
Chama cha demokrasia ambacho kilikuwa kinadanganya watu ndio mbadala wa CCM na ndio alternative ya democracy ya kweli. Uzuri wananchi wanatazama wanachukua hatua kimya kimya
 
Ndugu yangu, mie siasa za bongo nimeshazivulia kofia na blauzi sina hamuuuu. Wala siamini mambo yao ...hizi kelele za sisi mashabiki mara paaap kesho unaona picha ya pamoja ya mbowe, msigwa na sugu wanasmile hawana shida.

Sipo kabisa na siasa mie mtz huru
Wewe mwenyewe umeripoti kihuni pia!
 
Kwa kauli hii ina maana bado Chadema haijajiandaa kwa 'maisha' baada ya Mbowe kung'atuka.....achilia mbali hata kuandaa mrithi wake .

..vyama vya upinzani vina hali mbaya na ngumu.

..Na Ccm inataka hali hiyo iendelee milele.

..Ruzuku ya Ccm kwa mwezi mmoja ni BILLIONI 13, wakati ya Chadema haizidi milioni 30.

..Na Chadema ndiyo chama kikuu cha upinzani.
 
Umesema vyema.
Watu waache kuwa kwenye ‘denial’
Wote ni wafanyabiashara
Unaonekana ni wale mnaosubiri kuletewa mabadiliko, sijui kama umewahi kuandamana hata mara moja, au ndio huwa unawahi kuangalia maandamano kwenye Tv..

Hawa watu waliojitoa kwa kila hali kuleta mabadiliko wakakosa ushirikiano toka kwa watu wa aina yako, mnaoona simple kulaumu zaidi ya kutenda, leo mnawaona hawafai mnataka waje malaika toka mbinguni kuwaongoza kuleta mabadiliko?!
 
Imepoteza mvuto
Mikutano wanayoifanya kina Mbowe, Lissu, na Lema kule field mmeona muitikio wake kwa wananchi? au unaimba tu hapa kama katoto..

Chadema imepoteza mvuto huku bado CCM wanashangilia kumpata Msigwa?!

Mnaandika tu ilimradi mihemko yenu imehamia kumponda Mbowe, there is no logic whatsoever.
 

Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa CHADEMA akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais CHADEMA mwaka 2015.

Huu ni muendelezo wa namna Mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.

Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dkt. Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Chadema ni Mali yake ,wewe ulitaka afuate utaratibu wa wapi?
 
Nimesoma comments nyingi humu sijaona hata mmoja kati yenu aliyejiuliza kwanini Mbowe amefanya mkutano wa uchaguzi wa aina hiyo, wote mnabwabwaja tu!.

Video yenyewe iliyowekwa hapo ni kipande kifupi, kisicho na maelezo yoyote kabla nini kilisababisha Mbowe akaamua kufanya uchaguzi wa aina hiyo.

Mihemko tu imewatawala wengi wenu kuanza kumponda Mbowe, kama vile mna stress za maisha yenu mnaamua kummalizia yeye, pambaneni na hali zenu.

Mngekuwa na akili zinazofanya kazi mngejiuliza kwanini Mbowe amefanya hivi? mkipata jibu lisilowaridhisha ndio muanze kumpinga, sio mnakurupushwa na mleta mada mnajaa wazima kama samaki ķwenye nyavu!

Nyie ndio GT's!.

Hamjiulizi sasa hivi Chadema wanafanya chaguzi za kanda, huo uchaguzi wa Pangani ni wa kanda? mmewahi kusikia kanda inaitwa Pangani? je; ni wa kijiji, kata, au mtaa? muda wake ulishapita au bado? kama muda ulipita bila uchaguzi kufanyika mlitaka paachwe hivyo hivyo?

Au waendelee kuvuta muda kujiandaa kwa uchaguzi na kutumia resources za chama? au waliochagua hapo sio wenyeji wa hilo eneo? yupo aliyelalamika au nyie vilaza wa JF ndio mmeumia zaidi yao?!

Muwe mnajiuliza sababu ya jambo, sio kukurupuka tu kwa makelele ya hasira. Kuna sehemu yoyote kwenye hiyo clip Mbowe kalazimisha mgombea wasiyemtaka wapiga kura awe mshindi?! Mna kelele tu!.
 
Nimesoma comments nyingi humu sijaona hata mmoja kati yenu aliyejiuliza kwanini Mbowe amefanya mkutano wa uchaguzi wa aina hiyo, wote mnabwabwaja tu!.

Video yenyewe iliyowekwa hapo ni kipande kifupi, kisicho na maelezo yoyote kabla nini kilisababisha Mbowe akaamua kufanya uchaguzi wa aina hiyo.

Mihemko tu imewatawala wengi wenu kuanza kumponda Mbowe, kama vile mna stress za maisha yenu mnaamua kummalizia yeye, pambaneni na hali zenu.

Mngekuwa na akili zinazofanya kazi mngejiuliza kwanini Mbowe amefanya hivi, mkipata jibu lisilowaridhisha ndio muanze kumpinga, sio mnakurupushwa na mleta mada mnajaa wazima kama samaki ķwenye nyavu!

Nyie ndio GT's!.

Hamjiulizi sasa hizi Chadema wanafanya chaguzi za kanda, huo uchaguzi wa Handeni ni wa kanda? kijiji, kata, au mtaa? muda wake ulishapita au bado? kama muda ulipita bila uchaguzi kufanyika mlitaka paachwe hivyo hivyo? au waendelee kuvuta muda kujiandaa kwa uchaguzi na kutumia resources za chama?

Muwe mnajiuliza sababu ya jambo, sio kukurupuka tu kwa makelele ya hasira.
Katiba ya Chadema inasemaje kuhusu uendeshaji wa uchaguzi huru na wa haki au Mbowe kuna wakati anajigeuza tume ya uchaguzi?
 
Mikutano wanayoifanya kina Mbowe, Lissu, na Lema kule field mmeona muitikio wake kwa wananchi? au unaimba tu hapa kama katoto..

Chadema imepoteza mvuto huku bado CCM wanashangilia kumpata Msigwa?!

Mnaandika tu ilimradi mihemko yenu imehamia kumponda Mbowe, there is no logic whatsoever.

 
Katiba ya Chadema inasemaje kuhusu uendeshaji wa uchaguzi huru na wa haki au Mbowe kuna wakati anajigeuza tume ya uchaguzi?
So, umekimbilia kuanzisha uzi bila hata kujua katiba ya Chadema inasemaje?!

Umefanikiwa kuwakamata akili viazi wenzio, nao wamejiunga nyuma yako kukupongeza kwa pumba ulizowalisha hapa.

Leta video nzima ya hilo tukio tujue nini kilisababisha Mbowe akafanya hivyo, sio kuimba tu kama chiriku Mbowe anamiliki Chadema, na vilaza wenzio wanakupigia makofi!.
 
Umeweka video ya Mbowe akishuka kwa chopa ili kuwadanganya wajinga hamna watu!, kumbe unaonekana huelewi hata swali dogo nililokuuliza!.

Dogo Chadema kujaza watu kwenye mikutano yao kwangu sio story tena, hiyo ilishapitwa na wakati!, unajitahidi kutafuta kila propaganda unahangaika tu.

Mnajua kuvizia tu Mbowe "akosee" muanze kupayuka!
 
Back
Top Bottom