Usijali Kada.... baada ya kusikia hiyo ya hapo kuwa Mbowe ni mkikuyu imenipa sababu ya kupunguza mawe maana naona kuna mtu atapasuka kwa kukosa la kusema hapa...
Mbowe ni mkikuyu? mhhh kuna mengi yanakuja hapa JF.. kama kawaida ninakamata pop corn kuendelea na movie nakushuhudia explosion za wanaccm?
Unajua Mwanakijiji wewe umeingia Chadema ukiwa Marekani,Kaburu aliporudi alijua anakwenda UMD ya Fundikira baada ya kukutana na Fundikira marekani akiwa na Marehemu Kambona, lakini aliyoyakuta akaomba kwenda CCM ili awe mbunge wa Kigoma mjini, pale akaja jamaa anaitwa Azim Premji akampiga bao Kaburu.
baada ya kuona kaburu hana kitu Ccm ndio akaingia Chadema.
story hii nalazimika kukupa wewe uliyeingia chama kupitia internet na JF, ni sawa na wewe kutafuta mchumba kupitia internet kwani mtu humjui atakudanganya kwa kila zuri.
kifupi mke hatafutwi kwenye computer kuna taratibu zetu wazee wametuwekea.
au ulivyokuwa hujafika Marekani ukitiza picha zao unaona kila kitu kizuri kama hujafika kwao huwezi kuujua udhaifu wake.
hivyo hivyo huijui CHADEMA wala MBOWE, umeisikia ukiwa Marekani.naomba niambie mkutano wa kwanza wa Chadema ulikuwa wapi 1992? alisema nini Senior Makengeza(Mtei)?
wadhamini wa Chama wa kwanza kuna kabila lingine zaidi ya wachagga? unawajua?
Chama huingii kupitia JF lazima uone matawi yao n.k ndio maana mwalimu aliweka utaratibu wa mafunzo ya Chama kuhofia malaya wa kisiasa kama kina Mkumbo ambao kila kukicha wanahama vyama utafikiri wanabadili nguo ndogo zao.
Kuna mtu kama Es ni mtoto wa mjini na anamjua vizuri Mbowe na Bilicanas. unajua kama Mbowe ni misheni Town na alikuwa akifanya deal za cheque fake pale kwenye duka lake la fedha?
pole sana una maradhi na huko marekani utapatiwa dawa yako.