Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Sidhani kama ukiniita mjinga na mtoto itasadia chochote kwenye argument yako... so for your record, mimi sitakuita wewe hayo majina maana una heshima zako na kwa hizo heshima nakupatia.



Mwenyewe unajua kabisa kuwa wewe na FMES mna posts kibao sana hapa JF. Inashangaza kuwa unadai kuwa kuna watu wanataka wao tu ndio waongee hapa... katika hili bado hujajibu



Kunitisha mimi sidhani kama kutasaidia chochote hapa. Naona wewe ndio hutaki mimi nishiriki hapa JF ila kila mara wadai kuwa iko biased (JF) na inazuia maoni ya watu hapa ... argument yako iko wapi?



Ukisema mimi ni Mwanakijiji then Mwanakijiji atakuwa nani? Hii ni dalili ya kuishiwa hoja Kada... tetea argument yako kama ulivyokuwa zamani, hii ni below your standard!

MWanakijiji atakuwa KOBA,MADELA,BEN na Mwafrika wa kike.
 
Ukisikia uchemfu ndio huu, yameishia wapi madawi ya wizi wa Mbowe? kufilisika hoja ndiko huku na as usual, mnakomwa nyani giledi on your faces hadi mnaanza explosions! tik tak tik tak

Hoja kaishiwa Mbowe na LILIAN MTEI ndio maana wakapelekwa mahakani. wangekuwa na hoja yasingefika mahakamani, na wanataka kutumia mgongo wa siasa kukwepa kulipa deni la walalahoi.Mtikila kaliona hilo na Mzee wetu Kyara pamoja na kuwa mchagga mwenzake kwa hili kamtosa!
 
mengi uliyosema SIKUBALIANI nayo, simtishi mtu hapa na sijawahi kumtisha mtu ! Sijamtukana mtu.... why am i on the defense ? anyway....

anyway am just eyeing another side of you, kama utakuwa hivyo sidhani kama kutakuwa na arguments zisizo na maana hapa JF ! anyway sikubaliani na mengi uliyosema, na kwa kuwa sitaki kuongelea personal ishuz hapa, lets keep the thread moving !

Sidhani kama unasubiri nikukumbushe kuniomba msamaha kwa kuniita mtoto na mjinga.... kwi kwi kwi!

Mimi naona katika hili tuungane kuitisha tume huru ya bunge ya kuchunguza pesa zote na madeni yote ya NSSF kuanzia 1990 bila kujali kama Mbowe au Nyerere wanahusika. Wewe unasemaje?
 
Chinga hawezi kazi ya JF, wanakuwa tu wanatafuta sababu za kuhamisha threads ambazo wanaanzisha wao wenyewe ili baadaye waanze vilio kuwa zinahamishwa.

Mtu anakuja na kuanza kusema kuwa Mbowe ni mkikuyu, mara Mama Mkapa hawezi kutofautishwa jinsia yake... mambo mengine hata yanatia kichefukichefu kuyaona.

This time wamechemsha maana hizi thread zote zinajadiliwa na sasa Kada ameanza kuniambia kuwa niache kuchangia. Hii thread is the best thing ever happened hapa. Hili soo la NSSF linaenda kwa Kikwete maana amemteua Mkullo kuwa waziri wa fedha huku akijua kashfa kibao zinazomkabili.

Sasa inahitajika tume ya bunge kuchunguza madeni yote ya NSSF na pesa zake zote toka 1990 hadi leo... tik tak tik tak tik tak

dada, sidhani kama kweli you want it with Kada ! Aliyesema usichangie ni nani ? Lini ? Wapi ? na hao waliochemsha acha wachemshe, but usiniweke katika kundi hilo hilo na hao unaowaconsider wamechemsha !

Hypothermia victim au ?? Kumtaja kada katika kuwasilisha hoja zako sidhani kama itakusaidia..
 
MWanakijiji atakuwa KOBA,MADELA,BEN na Mwafrika wa kike.

Naona baadaye atakuwa kana ka nsungu, nzoka nhulu, ngosha, na wengine wote wanakupa hell hapa JF.... itabidi hii speed ya kutype ya mwanakijiji ichunguzwe na wataalamu....lol
 
Sidhani kama unasubiri nikukumbushe kuniomba msamaha kwa kuniita mtoto na mjinga.... kwi kwi kwi!

Mimi naona katika hili tuungane kuitisha tume huru ya bunge ya kuchunguza pesa zote na madeni yote ya NSSF kuanzia 1990 bila kujali kama Mbowe au Nyerere wanahusika. Wewe unasemaje?

KADA just gave you a green light !NOW KEEP IT MOVING !! MOVE IT !
21_33_67---Green-Traffic-Lights_web.jpg
 
Unajua Mwanakijiji wewe umeingia Chadema ukiwa Marekani,Kaburu aliporudi alijua anakwenda UMD ya Fundikira baada ya kukutana na Fundikira marekani akiwa na Marehemu Kambona, lakini aliyoyakuta akaomba kwenda CCM ili awe mbunge wa Kigoma mjini, pale akaja jamaa anaitwa Azim Premji akampiga bao Kaburu.

baada ya kuona kaburu hana kitu Ccm ndio akaingia Chadema.

story hii nalazimika kukupa wewe uliyeingia chama kupitia internet na JF, ni sawa na wewe kutafuta mchumba kupitia internet kwani mtu humjui atakudanganya kwa kila zuri.

kifupi mke hatafutwi kwenye computer kuna taratibu zetu wazee wametuwekea.
au ulivyokuwa hujafika Marekani ukitiza picha zao unaona kila kitu kizuri kama hujafika kwao huwezi kuujua udhaifu wake.

hivyo hivyo huijui CHADEMA wala MBOWE, umeisikia ukiwa Marekani.naomba niambie mkutano wa kwanza wa Chadema ulikuwa wapi 1992? alisema nini Senior Makengeza(Mtei)?

wadhamini wa Chama wa kwanza kuna kabila lingine zaidi ya wachagga? unawajua?
Chama huingii kupitia JF lazima uone matawi yao n.k ndio maana mwalimu aliweka utaratibu wa mafunzo ya Chama kuhofia malaya wa kisiasa kama kina Mkumbo ambao kila kukicha wanahama vyama utafikiri wanabadili nguo ndogo zao.

Kuna mtu kama Es ni mtoto wa mjini na anamjua vizuri Mbowe na Bilicanas. unajua kama Mbowe ni misheni Town na alikuwa akifanya deal za cheque fake pale kwenye duka lake la fedha?

pole sana una maradhi na huko marekani utapatiwa dawa yako
.

Ukweli mtupu hapa !
 
Ukisikia uchemfu ndio huu, yameishia wapi madawi ya wizi wa Mbowe? kufilisika hoja ndiko huku na as usual, mnakomwa nyani giledi on your faces hadi mnaanza explosions! tik tak tik tak

Mwanakijiji usikasilike nakupiga NJE NA NDANI!!! yaani naijua Chadema kuliko wewe na Kitila MKUMBO (SIZITAKI MBIVU HIZI) kwani kawa mpinzani baada ya kukosa nafasi ndio CCM haifai mwanzo ilikuwa safi. wako wengi kama John Guninita nae alikosa nafasi akaja Chadema kupumzika akarudi tena zizini. sasa hivi ana nadi sera alizosema mbaya naenda chadema.
 
Hoja kaishiwa Mbowe na LILIAN MTEI ndio maana wakapelekwa mahakani. wangekuwa na hoja yasingefika mahakamani, na wanataka kutumia mgongo wa siasa kukwepa kulipa deni la walalahoi.Mtikila kaliona hilo na Mzee wetu Kyara pamoja na kuwa mchagga mwenzake kwa hili kamtosa!

halafu nashangaa mbowe kukopa alikopa na ndugu zake then kwenda kwenye press alienda na mkewe, hii sijui imekaaje !
 
dada, sidhani kama kweli you want it with Kada ! Aliyesema usichangie ni nani ? Lini ? Wapi ? na hao waliochemsha acha wachemshe, .....

Soma hapa kwenye moja ya posts zako hapa..

KadaMpinzani said:
Hapa anayeongelewa ni MBOWE na sio BLOW JOBS bana, kaeni kwenye topiki ! na sio kingine, kama mtu umeshindwa TOKA na uache CHINGA amwage facts !

.......

Nani alidetermine kuwa nimeshindwa ukaomba nitoke?
 
Mwanakijiji usikasilike nakupiga NJE NA NDANI!!! yaani naijua Chadema kuliko wewe na Kitila MKUMBO (SIZITAKI MBIVU HIZI) kwani kawa mpinzani baada ya kukosa nafasi ndio CCM haifai mwanzo ilikuwa safi. wako wengi kama John Guninita nae alikosa nafasi akaja Chadema kupumzika akarudi tena zizini. sasa hivi ana nadi sera alizosema mbaya naenda chadema.

Walidhani chinga chizi...Sasa facts zinatoka ! Pige Nje na Ndani (kama ulivyosema MKUU)!!
 
Mwanakijiji usikasilike nakupiga NJE NA NDANI!!! yaani naijua Chadema kuliko wewe na Kitila MKUMBO (SIZITAKI MBIVU HIZI) kwani kawa mpinzani baada ya kukosa nafasi ndio CCM haifai mwanzo ilikuwa safi. wako wengi kama John Guninita nae alikosa nafasi akaja Chadema kupumzika akarudi tena zizini. sasa hivi ana nadi sera alizosema mbaya naenda chadema.

Kama Mbowe ni mkikuyu na wewe ni nani vile.. ongelea mtu anayedai kupiga nje na ndani namna unavyoishiwa mapema!
 
Soma hapa kwenye moja ya posts zako hapa..



Nani alidetermine kuwa nimeshindwa ukaomba nitoke?

nilisema kwamba kama umeshindwa NDIO UTOKE, sasa je unakili kwamba umeshindwa ? if so, then i still stand by my words kwamba UTOKE na uache kuongea arguments za kutibu mada !
 
Soma hapa kwenye moja ya posts zako hapa..



Nani alidetermine kuwa nimeshindwa ukaomba nitoke?

Hiyo imekaa kuwa Mbowe anaenda na mke wake na sio wezi kama ROstam Azizi na Manji kwenye press conference!

kwa waawaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhwawa, kwa wawawawhhhhhhhhhhhhh ! hayo ndio niliyokuwa nasema, nimemquote MKUU CHINGA kuhusu MBOWE jee unapandisha bega lako ! kwawawawhhhhhhhhhhhhhhhhh na kuleta mambo yako ya rostam aziz, DO YOU THINK YOU ARE AT A BEAUTY PARGENT ?? kwahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
kwa waawaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhwawa, kwa wawawawhhhhhhhhhhhhh ! hayo ndio niliyokuwa nasema, nimemquote MKUU CHINGA kuhusu MBOWE jee unapandisha bega lako ! kwawawawhhhhhhhhhhhhhhhhh !

Nadhani unaonyesha jinsi unavyobaki kwenye mada....

kuishiwa ndiko huku! katafuteni lingine kwani hili mmechemsha big tyme!
 
kada achana nae huyu pimbi.

nimemuuliza mkutano wa kwanza wa Chadema ulifanyika wapi Dar? hajui, mimi nitamwambia nani alizungumza na MTEI hotuba yake ilisema nini haijui, alikuja na na gari gani, jukwaa lilikuwa wapi?

Mwanakijiji nataka kukuthibitishia naijua vyema Chadema kuliko wewe.muulize hayo Maswali MBOWE NAJUA WEWE na kitila hamjui chochote.

nakupa kidogo tu.Jukwaa la Chadema lilikuwa upande wa kaskazini karibu ya barabara ya mkunguni na lumumba mnazi mmoja. hili nakupa kukuonesha kuwa wewe umepanda gari usilolijua. muulize Mbowe atakwambia Chinga anasema UKWELI.

ukitaka nitakupa na hotuba yote ya mzee Mtei.mkutano ulitawaliwa na wachagga wauza mabaa wengi ulikuwa kama wa kikabila ni sawa na Kilimanjaro development Association. wewe endelea kumlinda Mbowe kwenye viti maalum wanapewa wachagga tu.
 
get it on, then ! we are watching and so is everyone else !

NOt everyone else kwa sababu Rostam Azizi analowa sasa hivi na hii issue ya uraia bubu wake... inabidi uqualify your statement kinda off... wakati nikikutoa kwenye mada tartibu na kuonyesha superiority yangu over all of watetezi wa mafisadi!
 
Back
Top Bottom