Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Sasa aende kulipa bei gani wakati NSSF hawataki kusema wanamdai bei gani? Hebu semeni jamani. Mbowe anadaiwa bei gani na NSSF? Akalipe zipi? Kwa nini NSSF haitaki kukutana kwa majadiliano wala haisemi inamdai bei gani?

Asha

Lilian Mbowe alipelekwa mahakami mwaka jana, hilo linakutosha kujua kuwa juhudi zote zilichukuliwa. alitumiwa reminders nyingi lakini aka IGNORE.
,
mlipaji hakai miaka kumi na nane bila kulipa na kuleta visingizio.

kwa miaka yote ambayo bwana mkubwa amenyuti na deni ni dhahiri amekusudia kudhulumu.
kwa lugha nyepesi jamaa si mlipaji ni FISADI KUBWA.
 
" Na asiye fisadi awe wa kwanza kurusha jiwe! "

Hii ishu ya mafisadi imekuwa "jino kwa jino" tuangalie tusije kujikuta wote tumekuwa vibogoyo! ukiangalia sana mfumo wa maisha ya wa-Bongo, kila mtu ana ka-skandali fulani ka ufisadi na unapojaribu kuingia kwenye siasa; hasa zama hizi za uhuru wa habari, uwe tayari kuwaeleza watanzania pale yatakapoanikwa hadharani.

Kakalende,

Issue hapa ni kuwa hata NSSF wenyewe hawajui Mbowe anadaiwa kiasi gani ingawa pia wamekataa kuwa hadaiwi bilioni 1.2 kama vile magazeti ya Rostam Azizi yanavyodai.

NSSF waseme Mbowe anadaiwa kiasi gani ili alipe. Hatua nyingine ni mahakama itoe uamuzi wa kesi ili ijulikane kiasi kinachodaiwa na Mbowe alipe. Haya mambo ya kubadilika badilika kama hakuna wasomi huko NSSF ni upuuzi mkubwa.

Mimi nimeita hapa Mbowe aambiwe anadaiwa kiasi gani na chombo huru kama mahakama ili alipe na kisha wote waliokopa NSSF woote watajwe na ijulikane walikopa kiasi gani na kwa riba gani.

Very simple request!
 
Lilian Mbowe alipelekwa mahakami mwaka jana, hilo linakutosha kujua kuwa juhudi zote zilichukuliwa. alitumiwa reminders nyingi lakini aka IGNORE.
,
mlipaji hakai miaka kumi na nane bila kulipa na kuleta visingizio.

kwa miaka yote ambayo bwana mkubwa amenyuti na deni ni dhahiri amekusudia kudhulumu.
kwa lugha nyepesi jamaa si mlipaji ni FISADI KUBWA.

Mahakama bado haijatoa uamuzi kwenye hii case so haya yako bado ni talking points za mwizi mkubwa ROstam Azizi (boss wako).
 
Kama ni mambo binafsi, bwana Mbowe kawabeba Chadema wote kwenda nao idara ya maelezo. kuiba kaiba na mkewe lakini anatumia RESOURCES chache za Chadema na muda wa Zitto na Wangwe kumtumikia yeye.
PUMBAFU.
 
Kama ni mambo binafsi, bwana Mbowe kawabeba Chadema wote kwenda nao idara ya maelezo. kuiba kaiba na mkewe lakini anatumia RESOURCES chache za Chadema na muda wa Zitto na Wangwe kumtumikia yeye.
PUMBAFU.

Ulitaka awachukue wezi kina Rostam Azizi wanaokulipa kila wiki for the BJ hapa?
 
Mahakama bado haijatoa uamuzi kwenye hii case so haya yako bado ni talking points za mwizi mkubwa ROstam Azizi (boss wako).

safi sana kama RA atakuwa bosi wangu kaenda shule Oxford na akabwaga Mbowe kwenye kampeni za 2005. hujui kama Mbowe alivuta kwa Rostam 2005?

Mbowe alikuwa anasema kuwa kama KIKWETE hata pata nafasi CCM basi aende Chadema atapewa nafasi ya kugombea urais, najua uko mbali kuna mambo huyajui.

unafikiri JK anaweza kuwa mgombea wa Saccoss yenu?
nakusikitia ndugu Mwanakijiji hujui siasa wala huwajui wana siasa.

Unafikiri kweli MBOWE anaweza kuwa mpinzani? unajua ile nyumba ya Club billicanas ilipatikana vipi na ilikuwa mali ya serikali? uliza huko ndio ujue kama Mbowe ni mwanasiasa mpinzania au mganga njaa?

nakusikitikia kuingia gari usilolijua wameshindwa kina Kaburu Aman wasomi itakuwa na wewe mbumbu mzungu wa reli?
 
Mkuu Chinga

Heshima mbele Mkuu. Hivi Mafisadi wamekulipa ngapi ili uwasariti watanzania na kukumbatia MAFiSADi?

Mkuu kuna kipindi ulipotea Mafisadi wakakosa mtetezi sasa naona umekodiwa sijui kutoka wapi, maana makombola unarusha kila kukicha lakini nakuhakikishia mafisadi muda si mrefu watanyosha mikono.
 
Mkuu wanaweza pia kuwa maadui zake ndani ya Chadema, ndio wanao-pump hii kitu ukweli ni kwamba haimsaidii kisiasa, benki ya NSSF tayari imeshakubalika na jamiii yetu kuwa ni ya kifisadi, no question about it na kwamba inakopesha mafisadi, tena hii hoja imejengwa na upinzani na ikakubalika na wananchi, hiyo ni political fact ya bongo Freeman, hawezi kuikwepa, sasa the political impact hapa sio legality of the ishu, au the unfairness of maadui wa Freeman kisiasa, tatizo ni the moral authority ya Freeman kusimamia ishu muhimu za taifa kama alivyokuwa kabla ya hii ishu kutokea in public, hilo halikwepeki,

ninarudia tena Freeman, alimelize hili tatizo, now anaweza kuoshwa na haraka na mambo mawili tu, either kusema wazi kuwa ninaenda kesho kulilipa, au sidaiwi ni waongo, otherwise wananchi wetu wa bongo wasioelewa vizuri kinachoendelea, na kwamba Mwalimu bado yupo, I m afraid kuwa Freeman anacheza kwenye box la maadui wake kisasa on this ishu.

It is only my opinion, halafu Mkulu Freeman, unajua wazi kuwa marehemu old man angekuwepo, angeenda kulilipa bila hata ya kukwambia, kwa sababu knowing him as I do this is the last thing angependa kusikia on mtoto wake, Please mkuu I am appealing to you personally, kwamba kama hilo deni lipo kweli, lilipe mkuu, turudi kwenye focus ya taifa. Kumbuka ishu nyingi unazorushiwa zimeshindwa ku-stick kwa sababu ya kukosa ukweli, but this one inaoneakana ina ukweli, sasa kwa wale operative wa siasa chafu sasa ni wakati wa kuingia kazini na kujaribu kuunganisha na zingine, ndio maana ni muhimu kuizima hii sasa.

Ahsante Mkuu!

Maadui anao wengi, kwanza alikuwa hawaongei na Kaburu, Zitto alisema hatagombea ubunge 2010 ila urais hilo linamnyima usingizi kwa kule HAI hawezi kuambulia kitu.

halafu ana ugomvi wa nguvu na Chacha Wangwe ana hisi kuwa Chacha Wangwe anamng'oa kwenye uenyekiti, kaisi ya yeye kufeli masomo anaona ni jambo jema ili awe uso kwa uso na Chacha Wangwe.

Mbowe alifanya kila awezalo Wangwe asiwe makamu wa Mwenyekiti haikuwezekana na Wangwe anajua kuwa Mbowe ni mbaya wake.

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11022
 
safi sana kama RA atakuwa bosi wangu kaenda shule Oxford na akabwaga Mbowe kwenye kampeni za 2005. hujui kama Mbowe alivuta kwa Rostam 2005?

Rostam alimaliza Oxford mwaka gani? na alisomea nini huko? Huna taarifa kuwa sasa hivi kila kitu kuanzia uraia wa Rostam hadi elimu yake vina utata. Info zake bungeni hazionyeshi alisoma wapi na lini?

Ulidanganywa wewe, no wonder unaongea mambo mengi usiyojua hapa

Mbowe alikuwa anasema kuwa kama KIKWETE hata pata nafasi CCM basi aende Chadema atapewa nafasi ya kugombea urais, najua uko mbali kuna mambo huyajui.

Haya aliyasema lini na wapi? unaweka sana story za kuokoteza mitaani hapa, umeshauriwa kwenda darhotwire ila naona unatia kichwa ngumu.... kwa pesa za wizi za Rostam hapa

unafikiri JK anaweza kuwa mgombea wa Saccoss yenu?
nakusikitia ndugu Mwanakijiji hujui siasa wala huwajui wana siasa.

Naona Mkjj anakupigeni mabao sana hadi kila mtu unazani ni mwanakijiji, usikimbie kivuli chako chinga unajiaibisha.

Unafikiri kweli MBOWE anaweza kuwa mpinzani? unajua ile nyumba ya Club billicanas ilipatikana vipi na ilikuwa mali ya serikali? uliza huko ndio ujue kama Mbowe ni mwanasiasa mpinzania au mganga njaa?

nakusikitikia kuingia gari usilolijua wameshindwa kina Kaburu Aman wasomi itakuwa na wewe mbumbu mzungu wa reli?

Hii ni sababu nyingine kuthibitisha kuwa unahitaji mental evaluation maana unadata kuliko hata makamba mwenyewe!
 
Mkuu Chinga

Heshima mbele Mkuu. Hivi Mafisadi wamekulipa ngapi ili uwasariti watanzania na kukumbatia MAFiSADi?

Mkuu kuna kipindi ulipotea Mafisadi wakakosa mtetezi sasa naona umekodiwa sijui kutoka wapi, maana makombola unarusha kila kukicha lakini nakuhakikishia mafisadi muda si mrefu watanyosha mikono.

Wenzake wanalipwa pesa yeye analipwa the whole new kinda of malipo na Rostam ... kwani hujui tabia za Rostam na anavyofanya kazi?
 
The Mbowe issue is a clear one .Mbowe issue ina ukweli mwingi juu ya mkopo na alikopa zamani kabla hajaingia Siasa .Mbowe issue neno fisaid si sahihi kwake maana hakuna ambalo ni jipya nahata NSSF wana back off kwa kuwa wanajua nani kakopa kweli na nani kachota .Mbowe all he need ni kumaliza mzozo kwa kulipa anachotakiwa basi lakini si akabwe kulipa mapesa zaidi ya makubaliano . Mtikila si Kichaa ial he do miss some points na hapo ndipo anapo onekeana kichaa lakini si kwa kila kitu .Uhuru wa mtu kusema lolote ni sawa na madai mazito tuwe na utamaduni wa kuyaacha yathibitishwe na vyombo kama Mahakama kwa uwazi . Swala la Mbowe si la kifisadi kama kuna mtu ana ushahidi wa kwamba alikpoa B84 na si 15m alete hapa .Ndiyo maana JF we are here .Ikithibitika basi tutamuomba Mbowe ajiondoe kwa Chama pamoja na kwamba alikopa akiwa nje .What matters ni intergrity tu na manufaa ya wengi ambayo ni Chama na si biashara binafsi ya Mbowe .Again guys wakati tunangoja habari za Mbowe ambazo ziko Mahakamani na hakuna ushahidi wa file kuchomwa moto nk , maana hiyo ni Fraud na Mbowe anaweza kupata kifungo kama ni kweli , tuendlee kuibana serikali na EPA na matukio mapya ta BOT .Do not be swayed guys CCM wako kazini .

EPA ina thread yake. ukiona haitoshi fungua ya pili, hapa tunajadili wizi wa MBOWE kwa miaka kumi na nane.

kama ni biashara binafsi kwanini kawasumbua kina Zitto na Wangwe kwenda nao Maelezo? na pesa hizo kala na jamba wazi mwenzake LILIANI EDWIN MTEI(MRS MBOWE).

kwani hujui kuwa CCM wameshinda toka 2005 na sasa wako kazini?au ulijua yuko kazini mwanakijiji na bwana Kitila?
 
Maadui anao wengi, kwanza alikuwa hawaongei na Kaburu, Zitto alisema hatagombea ubunge 2010 ila urais hilo linamnyima usingizi kwa kule HAI hawezi kuambulia kitu.

halafu ana ugomvi wa nguvu na Chacha Wangwe ana hisi kuwa Chacha Wangwe anamng'oa kwenye uenyekiti, kaisi ya yeye kufeli masomo anaona ni jambo jema ili awe uso kwa uso na Chacha Wangwe.

Mbowe alifanya kila awezalo Wangwe asiwe makamu wa Mwenyekiti haikuwezekana na Wangwe anajua kuwa Mbowe ni mbaya wake.

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11022

Naona sasa umeacha kusema kuwa Chadema ni chama cha wachaga, au siku hizi huyu chacha wangwe unayemsema hapa ni mchaga?
 
EPA ina thread yake. ukiona haitoshi fungua ya pili, hapa tunajadili wizi wa MBOWE kwa miaka kumi na nane.

kama ni biashara binafsi kwanini kawasumbua kina Zitto na Wangwe kwenda nao Maelezo? na pesa hizo kala na jamba wazi mwenzake LILIANI EDWIN MTEI(MRS MBOWE).

kwani hujui kuwa CCM wameshinda toka 2005 na sasa wako kazini?au ulijua yuko kazini mwanakijiji na bwana Kitila?

Ulitaka awachukue mabosi wako Rostam Azizi na Manji?
 
Mwafrika wa Kike(Mwanakijiji).

Mbona husemi kuwa Mbowe ni mkikuyu na mtu wa kwanza kumsupport KIBAKI?

kwangu mimi Mwanakijiji ni mtu wa kijijini hana jipya kwangu, analia njaa kila siku,by the way nimeanza kutumia google through redio yake ya uvunguni ametoa ombi kuwa ana njaa ya kufa mtu, tutumie google yake ili apate mkate wake,

Mtu huyu ananadi njaa kila siku, bwana Rostam akimtaka ni dakika moja,

Anacho kifanya Mwanakijiji ni kuMBEEP bwana Rostam ili apate chochote, hata Mtikila alimbeep Manji lakini Manji mtoto wa mjini akamrekodi muulize spika sitta.

Akitaka vita na mimi haniwezi, siwezi kushindwa na mtu ambaye hana uwezo hata wa kwenda kuhudhuria misiba Tanzania,

kila siku anasindikiza maiti za Watanzania Marekani, yeye kukwea pipa hawezi na hata insurance ya afya hana, kuna maneno ya mr. TWO anaimba kuwa kuna watu wanatesa majuu na wengine wanateseka(Mwafrika wa Kike a,k,a Mwanakijiji).

KITILA MKUMBO jina lake tu linakutosha ujuwe hamna kitu kwani anafuata MKUMBO kama jina lake linavyosema,

hakuna chama ambacho hajaingia tunajua hapo yuko safarini kama kawaida yake na kinachompa hasira ni frustration zake baada ya kumnyima Uenyekiti wa Ccm wa mkoa wa Dar-es-salaam kupitia umoja wa vijana.

watu kama hawa si makada wa siasa za upinzani ni waganga njaa tu.
 
safi sana kama RA atakuwa bosi wangu kaenda shule Oxford na akabwaga Mbowe kwenye kampeni za 2005. hujui kama Mbowe alivuta kwa Rostam 2005?

Mbowe alikuwa anasema kuwa kama KIKWETE hata pata nafasi CCM basi aende Chadema atapewa nafasi ya kugombea urais, najua uko mbali kuna mambo huyajui.

unafikiri JK anaweza kuwa mgombea wa Saccoss yenu?
nakusikitia ndugu Mwanakijiji hujui siasa wala huwajui wana siasa.

Unafikiri kweli MBOWE anaweza kuwa mpinzani? unajua ile nyumba ya Club billicanas ilipatikana vipi na ilikuwa mali ya serikali? uliza huko ndio ujue kama Mbowe ni mwanasiasa mpinzania au mganga njaa?

nakusikitikia kuingia gari usilolijua wameshindwa kina Kaburu Aman wasomi itakuwa na wewe mbumbu mzungu wa reli?

points tupu hapa !
 
Mwafrika wa Kike(Mwanakijiji).

Mbona husemi kuwa Mbowe ni mkikuyu na mtu wa kwanza kumsupport KIBAKI?

kwangu mimi Mwanakijiji ni mtu wa kijijini hana jipya kwangu, analia njaa kila siku,by the way nimeanza kutumia google through redio yake ya uvunguni ametoa ombi kuwa ana njaa ya kufa mtu, tutumie google yake ili apate mkate wake,

Mtu huyu ananadi njaa kila siku, bwana Rostam akimtaka ni dakika moja,

Anacho kifanya Mwanakijiji ni kuMBEEP bwana Rostam ili apate chochote, hata Mtikila alimbeep Manji lakini Manji mtoto wa mjini akamrekodi muulize spika sitta.

Akitaka vita na mimi haniwezi, siwezi kushindwa na mtu ambaye hana uwezo hata wa kwenda kuhudhuria misiba Tanzania,

kila siku anasindikiza maiti za Watanzania Marekani, yeye kukwea pipa hawezi na hata insurance ya afya hana, kuna maneno ya mr. TWO anaimba kuwa kuna watu wanatesa majuu na wengine wanateseka(Mwafrika wa Kike a,k,a Mwanakijiji).

KITILA MKUMBO jina lake tu linakutosha ujuwe hamna kitu kwani anafuata MKUMBO kama jina lake linavyosema,

hakuna chama ambacho hajaingia tunajua hapo yuko safarini kama kawaida yake na kinachompa hasira ni frustration zake baada ya kumnyima Uenyekiti wa Ccm wa mkoa wa Dar-es-salaam kupitia umoja wa vijana.

watu kama hawa si makada wa siasa za upinzani ni waganga njaa tu.

Hii ya Mbowe kuwa Mkikuyu naona ni sababu kubwa kabisa ya kukufanya uwe officially kichaa kama ulikuwa hujui hili! tafuta matibabu haraka sana uwezavyo maana kazi ya kutetea wizi na ufisadi wa ccm huiwezi na utapata laana toka kwa watoto wa kitanzania!
 
Mwafrika wa Kike(Mwanakijiji).

Mbona husemi kuwa Mbowe ni mkikuyu na mtu wa kwanza kumsupport KIBAKI?

kwangu mimi Mwanakijiji ni mtu wa kijijini hana jipya kwangu, analia njaa kila siku,by the way nimeanza kutumia google through redio yake ya uvunguni ametoa ombi kuwa ana njaa ya kufa mtu, tutumie google yake ili apate mkate wake,

Mtu huyu ananadi njaa kila siku, bwana Rostam akimtaka ni dakika moja,

Anacho kifanya Mwanakijiji ni kuMBEEP bwana Rostam ili apate chochote, hata Mtikila alimbeep Manji lakini Manji mtoto wa mjini akamrekodi muulize spika sitta.

Akitaka vita na mimi haniwezi, siwezi kushindwa na mtu ambaye hana uwezo hata wa kwenda kuhudhuria misiba Tanzania,

kila siku anasindikiza maiti za Watanzania Marekani, yeye kukwea pipa hawezi na hata insurance ya afya hana, kuna maneno ya mr. TWO anaimba kuwa kuna watu wanatesa majuu na wengine wanateseka(Mwafrika wa Kike a,k,a Mwanakijiji).

KITILA MKUMBO jina lake tu linakutosha ujuwe hamna kitu kwani anafuata MKUMBO kama jina lake linavyosema,

hakuna chama ambacho hajaingia tunajua hapo yuko safarini kama kawaida yake na kinachompa hasira ni frustration zake baada ya kumnyima Uenyekiti wa Ccm wa mkoa wa Dar-es-salaam kupitia umoja wa vijana.

watu kama hawa si makada wa siasa za upinzani ni waganga njaa tu.

watu wana hasira na wanazipeleka kwa RA na CCM ! watapasuka karne hii !
 
Back
Top Bottom