Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Ukisoma hii habari nzima unajifunza kitu kimoja; inaelekea uwezo wa Watanzania wengi kuendesha biashara zao ni mdogo mno.

Kwa mtoto wa mjini kama Mbowe, ningetegemea asingejikuta kwenye matatizo ya kulipa mamilioni ya pesa kwenye mkopo wa milioni 15 tu.

Hii ni dalili ya kutokuwatumia wataalamu wetu ipasavyo na badala yake kutegemea ndugu au watu wasio na ujuzi wa kutosha kwenye mambo ya biashara.

Ilikuwa sahihi miaka ya 90 kukopa kwa interest kubwa lakini baadaye miaka ya 90 hiyo hiyo, interests zilianza kushuka chini, pia sources za funds zilianza kuongezeka sana.

Mbowe alichotakiwa ni kuubadili huo mkopo mara moja (SWAP facility). SWAP ni njia moja wapo inayotumika duniani kote kuweza kupunguza gharama za mkopo ambao ulichukuliwa wakati wa hali mbaya.

Binafsi nashindwa kuelewa ilikuwaje? Labda kama mheshimiwa alijua hatalipa zote lakini vinginevyo alichofanya ni poor management. Naamini kimelicost shirika lake pesa nyingi sana.

Ukiona watu kama akina Mbowe wanakuwa hivyo, vipi wale ndugu zetu wengine ambao wana mikopo midogo midogo na inawanyonya kila kitu na hawana ujanja
wa kutoka huko? Huenda TZ tunahita vitu kama NGO (kama vile citizen advice kwa hapa UK) za kuwasaidia wananchi waliokwama kwenye ubeberu wa vyombo vya mikopo na pia kwenye dhuluma zingine.

Tunalalamika juu ya mikataba mibovu, judgements mbovu nk, lakini inaelekea tumezungukwa na ubovu kutoka kila sehemu. Inabidi wote tujiangalia, je tunaiingizia serikali, kampuni zetu, au familia zetu hasara kiasi gani kutokana na poor management and bad judgements?
 
Ukisoma hii habari nzima unajifunza kitu kimoja; inaelekea uwezo wa Watanzania wengi kuendesha biashara zao ni mdogo mno.

yes sir!

Kwa mtoto wa mjini kama Mbowe, ningetegemea asingejikuta kwenye matatizo ya kulipa mamilioni ya pesa kwenye mkopo wa milioni 15 tu.

no argument there!

Hii ni dalili ya kutokuwatumia wataalamu wetu ipasavyo na badala yake kutegemea ndugu au watu wasio na ujuzi wa kutosha kwenye mambo ya biashara.

sina ubishi!


Ilikuwa sahihi miaka ya 90 kukopa kwa interest kubwa lakini baadaye miaka ya 90 hiyo hiyo, interests zilianza kushuka chini, pia sources za funds zilianza kuongezeka sana.

Mbowe alichotakiwa ni kuubadili huo mkopo mara moja (SWAP facility). SWAP ni njia moja wapo inayotumika duniani kote kuweza kupunguza gharama za mkopo ambao ulichukuliwa wakati wa hali mbaya.

well in 20/20 very good point!


Binafsi nashindwa kuelewa ilikuwaje? Labda kama mheshimiwa alijua hatalipa zote lakini vinginevyo alichofanya ni poor management. Naamini kimelicost shirika lake pesa nyingi sana.

mzee 75 milioni kwa deni la 15 milioni, yours is understatement, but very true!

Ukiona watu kama akina Mbowe wanakuwa hivyo, vipi wale ndugu zetu wengine ambao wana mikopo midogo midogo na inawanyonya kila kitu na hawana ujanja
wa kutoka huko? Huenda TZ tunahita vitu kama NGO (kama vile citizen advice kwa hapa UK) za kuwasaidia wananchi waliokwama kwenye ubeberu wa vyombo vya mikopo na pia kwenye dhuluma zingine.

ushauri mzuri kabisa as long as hizo NGO na zenyewe hazitoi mikopo!



Tunalalamika juu ya mikataba mibovu, judgements mbovu nk, lakini inaelekea tumezungukwa na ubovu kutoka kila sehemu. Inabidi wote tujiangalia, je tunaiingizia serikali, kampuni zetu, au familia zetu hasara kiasi gani kutokana na poor management and bad judgements?

for once kwenye mjadala huu tunakubaliana kwa asilimia 100. Kwa sababu aidha umevaa miwani, au umevua miwani!! either way, umeliangalia jambo hili kwa mwanga wa tofauti kabisa kuliko ule wa "alipe alipe alipe".. take 5.. no ten! (no interests)
 
Mtanzania, what else could I say, well put. Our problems are multifaceted. Kuna mahala tuliwahi kujadili kuwa matatizo yetu ni makubwa kuliko tunavyoyaona. Ni wazi pia kwamba tuna leadership crisis right from the family to the national level. Sasa swali, tutatatuaje hili tatizo, tuanzie kwenye familia hadi juu au tuanzie juu halafu huku chini mambo yatajinyoosha. Mimi nafikiri tukipatengeneza pale juu, huku chini panafuata mkondo. Tatizo letu mara zote tukipata nafasi ya kutengeneza uongozi tumeishia kuwaweka watu pasipo sehemu zao; tukaweka samaki kwenye nchi kavu, matokeo yake wanashangaa hawajui cha kufanya maana sio uwanja wao. Hebu ngoja tuendelee na misuguano hii ya mawazo,huenda mwanga ukajitokeza. Interesting debate...
 
Bakuli la Mwanakijiji liko wapi? mzee anaumbuka,masikini shangingi Lilian Mtei anatia huruma.

Mkullo vipi anatoka pesa za kujengea dangulo la Mbowe?
Mbowe kashaua sana dada zetu kwa ukimwi pale Billicanas, alipe tu kama pesa kishaingiza.

Mbowe.
Kuna dola mia mbili mchango wangu nipitishe wapi?
 
WATASEMA MTIKILA PIA KATUMWA NA CCM...............


•
Kizungumkuti kambi ya upinzani Mtikila sasa amwita Mbowe fisadi

Habari Zinazoshabihiana
• Mbowe: Makamba hawezi kuua Upinzani 04.01.2007 [Soma]
• Mzimu wa ufisadi waingia upinzani 15.03.2008 [Soma]
• Dkt. Mvungi amcharukia Mchungaji Mtikila 17.10.2005 [Soma]

*Adai Mrema angeingia Ikulu angekuwa kiroja
*Wote wamjia juu na kudai anataka malumbano


Na Gladness Mboma

MWENYEKITI wa chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amemhusisha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe, na miongoni mwa mafisadi kwa kukopa fedha za walalahoi za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Taifa (NSSF).

Mchungaji Mtikila alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) kuhusu ufisadi uliotokea Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

"Mwenyekiti wa CHADEMA amefanya kazi nzuri ya kizalendo ya kumhusisha Rais Kikwete na wizi wa zaidi ya sh. bilioni 8 za EPA zilizochotwa BoT na kampuni ya mawakili ya IMMA Advocates inayomhusu mwanawe Rais akawapa watuhumiwa uwaziri na ujaji wa Mahakama Kuu.

"Lakini CHADEMA wamefumbia macho kabisa uporaji wa zile sh. bilioni 84 za walalahoi NSSF/PSPF, ambazo ni nyingi mara kumi kuliko za EPA zinazohusu IMMA Advocates! Kumbe pesa za NSSF ambazo wenyewe wastaafu na wafanyakazi wenye nazo hawakopeshwi hata wakifiwa na wazazi wao, zinaliwa na akina Freeman Mbowe," alidai Mchungaji Mtikila.

Alidai kuwa maswali yanayojitokeza ni kwamba Bw. Mbowe alipataje mkopo huo NSSF ikiwa walalahoi wanachangia Mfuko huo lakini hawapewi hata wakifiwa na ndugu wa damu na kuhoji kama si kwa ufisadi ni nini?.

Mwenyekiti huyo alitaka kujua kama kweli Bw. Mbowe hakuwa na uwezo wa kulipa deni au ni tatizo lake tu la kimaadili na kwamba kama kweli ilitolewa amri ya kukamatwa na kuwekwa gerezani, lakini akafaulu kukwepa na jalada la Mahakama linapotezwa ili kukwamisha utekelezaji wa amri zilizomo dhidi yake na kudai kuwa huo ni ufisadi.

Alisema ufisadi una sura nyingi na zote ni hatari kwa Taifa na kwamba siasa za nguvu ya pesa na zenye misingi ya ukabila, ni ufisadi wa hatari kwa nchi.

Mchungaji Mtikila aliongeza kuwa wivu wa watu fulani kutaka wajulikane wao tu kwa kudhibiti kifisadi vyombo vya habari visiwape jukwaa wengine wanaowazidi nguvu kwa wito wao wa kweli kwa ajili ya ukombozi wa nchi ni ufisadi pia.

Alisema ufisadi ni pamoja na kulazimisha kuwazidi umaarufu mashujaa wa kisiasa kwa kuwatukana kwamba wanatumiwa ili kusudi wadharaulike, ili umma uwaandamie wao.

"Wanasiasa wa nguvu ya pesa hukubali kuhongwa mapesa hata na mabeberu wanaotafuta vibaraka katika nchi wanazotaka kuzitawala upya kiuchumi, ili wakishika madaraka wao waipore nchi yetu kwa ubia na hao wasaliti. Lakini huu ukahaba wa kisiasa na usaliti wenzetu hawaufichi, badala yake wanauonea fahari," alidai Mchungaji Mtikila.

Aliendelea kudai kuwa siasa safi ni ushindani wa ajenda na viwango vya uhanga kwa ajili ya ukombozi wa nchi na walalahoi na kwamba "hatuwezi kulaani ufisadi wa CCM wa kuwanunua wapinzani na kunyamazia CHADEMA wanapofanya vivyo hivyo, kwa sababu upendeleo ni ufisadi pia".

Alidai kuwa ikiwa chama kinapata ruzuku ya mamilioni ya fedha za umma kila mwezi, mbali na misaada ya mabeberu wanaowatumia kununua uhuru wa nchi, halafu kinashindwa kutumia kiasi kidogo cha fedha hizo kwa ajili ya kupata Tume huru ya Uchaguzi mahakamani, ikatengeneza Daftari la kweli la Kudumu la Wapiga kura ni ufisadi pia.

"Itakumbukwa daima, kuwa Bw. Mbowe pamoja na viongozi wa CUF walitumiwa kuhujumu maazimio ya Aprili 18, 2004 ya vyama vyote vya upinzani, ambayo yangekuwa yameleta ukombozi wa nchi yetu," alidai Mchungaji Mtikila.

Hata hivyo, alimpongeza Bw. Mbowe kwa ushujaa wa kupambana na 'magabachori' baada ya kichocheo kizuri cha Dkt. Wilbroad Slaa na Bw, Zitto Kabwe aliyemsakama Bw. Nazir Karamagi aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini.

Alisema lakini ni lazima warudi katika Torati kupata viongozi safi wenye sifa alizoagiza Mungu na kuwataka wasisahau kwamba kwa ajili ya nchi, ni lazima wawepo wahanga na si wanasiasa wa nguvu ya fedha na kwamba wanahitajika wanasiasa wenye wito, maono, vipawa na uponyaji wa kifikra na si helikopta.

Mchungaji Mtikila alidai kwamba tangu awamu ya tatu ya utawala, nchi inateswa na pepo chafu la ufisadi, ambalo baada ya kuinyonya damu yote sasa linataka kuitia kiberiti nchi iishie mbali na kwamba lisipowahiwa, haliwezi kutolewa kwa ufisadi.

"Hata Mwenyenzi Mungu anatwambia katika Biblia Takatifu, kuwa pepo mchafu hawezi kumtoa pepo mwingine, isipokuwa kama ufalme huo umefitinika na tiba ya ufisadi na uporaji na kunajisiwa nchi, utauawa na uzalendo wa kweli na si mkono mwingine wa ufisadi kwa mlango wa nyuma.

Kwa vile vita ya kutokomeza ufisadi kwa sehemu inachangiwa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, tukishaitokomeza CCM na kuwafilisi na kuwatupa jela mafisadi wake kama watapona kupigwa risasi hadharani katika viwanja vya Jangwani, tunawatahadharisha wananchi kuwa macho, wasidanganyike na kujikuta wamekabidhi nchi kwa mafisadi ambao ni waporaji zaidi," alisema Mchungaji Mtikila.

Alisema kutokomeza ufisadi na kuokoa nchi ni pamoja na Watanzania kuwaogopa kama moto uteketezao, wanasiasa waliojitajirisha kwa uporaji wa benki kwa usanii katika hundi, achilia mbali biashara haramu za dawa za kulevya, ndipo wakaingia katika siasa za kifisadi za nguvu za fedha.

Mchungaji Mtikila pia alimshutumu vikali Mbunge wa Igunga, Bw. Rostam Aziz na kudai kuwa alikuwa ni Mungu wa nchi ambaye alikuwa hatishwi na mtu yeyote yule.

"Rostam alikuwa ni Mungu wa nchi hii, ni nani angeweza kutia neno kwake na kumtisha kwa lolote; yeye alikuwa ndiye mwenye amri pekee ndani ya nchi hii, yote hiyo ni kutokana na kuwekana madarakani kirafiki," alisema Mchungaji Mtikila.

"Serikali inasema kiasi cha fedha kilichoibwa Benki Kuu na mafisadi ni sh. bilioni 133, hiyo si kweli fedha halisi zilizochotwa ni sh. trilioni 4.3," alidai.

Mchungaji Mtikila alimlaumu pia Mbunge mmoja akidai kuwa aliingiza mchele mbovu nchini na kuugawa kwa Watanzania bila huruma.

"Ninasema kuwa Watanzania mjiandae kufa siku si zenu kutokana na mchele mbovu mliokula na unaoendelea kuingizwa," alidai Mchungaji huyo.

Alisema kazi ya mbunge huyo ni kuwasiliana na nchi zinazohifadhi mchele mbovu kwenye makontena na kisha kusafirishwa hadi Tanzania bila kuwa na huruma.

Mchungaji Mtikila alimwandama pia Mwenyekiti wa TLP, Bw. Augustino Mrema na kudai kuwa mwaka 1995 alipokuwa akigombea urais, wafuasi wote waliokuwa wakimuunga mkono walikuwa wa kwake na si wa Mrema.

"Mwaka 1995 Bw. Mrema alikuwa awe Rais, hebu niambie kama angeshinda, huko Ikulu kungekuwa na kiroja gani, wafuasi wote walikuwa wangu, Mungu akitaka niwe Rais kwa saa na dakika naweza kuwa Rais," alijigamba Mchungaji Mtikila.

Akizungumza kwa njia ya simu akijibu tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Mtikila dhidi yake, Bw. Mbowe alionekana kushtushwa na kauli zilizotolewa.

"Sina ugomvi wowote na Mtikila na wala sipendi malumbano naye na sikumbuki kama nilishawahi kugombana na Mtikila, ninamshangaa sana kwa kauli zake," alisema Bw. Mbowe kwa mshangao.

Alisema habari aliyoitoa hivi karibuni kuhusu ufisadi ni kwa maslahi ya Watanzania na wala si yake. "Mambo yote nilieleza juzi katika vyombo vya habari ni ya kweli sikupindisha, sasa namshangaa Mtikila kutaka malumbano nami," alisema.

Akizungumzia fedha za NSSF, Bw. Mbowe alisistiza kuwa yeye ni mwanachama wa Mfuko huo kama walivyo wanachama wengine na kwamba ana haki ya kukopa na kukopeshwa kama ilivyo kwa wanachama wengine na kisha kurejesha mkopo huo.

"Nimefanya makosa kukopa NSSF jamani? Mbona kampuni nyingi zinakopa ikiwemo Serikali; mimi mwenyewe ninachangia wakiwamo wafanyakazi wangu sijachota fedha kienyeji, nimefuata taratibu zote, ninamwomba Mtikila akafanye uchunguzi juu ya mkopo huo ndipo anivamie, asijisemee tu bila uchunguzi,"alisema Bw. Mbowe.

Alisema haitakuwa busara kuendelea kulumbana na Mchungaji Mtikila kwa kuwa hana ugomvi wowote naye na kwamba alifuata taraibu zote kuchukua fedha hizo NSSF.

Kuhusu Bw. Mbowe na viongozi wa CUF kuhujumu maazimio ya Aprili 2004 ya vyama vyote vya Upinzani, alisema yeye hakumbuki kama kuna hujuma yoyote ambayo alikwishafanya ya kupingana na wapinzani wenzake.

"Chama changu kiko mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya wananchi na kukubaliana na ajenda zote zinazopitishwa na vyama vya upinzani kwa pamoja, ninashindwa kuelewa anachozungumza Mchungaji Mtikila, nilihujumu kitu gani?," alihoji Bw. Mbowe.

Naye Bw. Mrema akijibu tuhuma dhidi yake kwa njia ya simu kuhusu wafuasi wote waliokuwa wakimuunga mkono yeye wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 1995, alisema hana sababu ya kulumbana na Mchungaji Mtikila kwa kuwa tangu mwaka 1995 haelewani naye na kwamba hana sababu ya kuzua ugomvi na mtafaruku naye.

"Anaposema kuwa wafuasi wote walikuwa wake, Mungu pekee ndiye aliyekuwa na uwezo wa kunifanya mimi niwe Rais, urais sikuupata sasa kwa nini anaendeleza malumbano nami? Aendeleze malumbano na marais walioingia madarakani mimi aniache," alisema Bw. Mrema.

Alisema mambo ya uchaguzi yalikwishapita tangu mwaka 1995 kinachotakiwa sasa ni kila mtu kufuata mambo yake na wala si kuchunguzana na kumtaka achunguze mambo yaliyoko sasa ya Richmond na EPA na si ya kwake kwa sababu hayaisaidii jamii.

"Mimi namshangaa sana, anasema mimi ningeingia Ikulu ningekuwa kiroja kwa lipi, mimi nina historia safi bwana, katika kipindi nilichokaa madarakani miaka ya nyuma, niliweza kukamata ndege iliyokuwa na dhahabu na sh. milioni 175 za walalahoi na bado nitakumbukwa kwa mazuri niliyowafanyia Watanzania.

"Ninachoomba kila mtu afikirie maisha yake, Mtikila asitafute malumbano nami na wala sitaki malumbano naye na wala sina muda huo, kila mtu ajenge chama chake, huu si muda wa kutupiana madongo na kujengeana chuki," alisisitiza Bw. Mrema.
 
•
Kizungumkuti kambi ya upinzani Mtikila sasa amwita Mbowe fisadi

Habari Zinazoshabihiana
• Mbowe: Makamba hawezi kuua Upinzani 04.01.2007 [Soma]
• Mzimu wa ufisadi waingia upinzani 15.03.2008 [Soma]
• Dkt. Mvungi amcharukia Mchungaji Mtikila 17.10.2005 [Soma]

*Adai Mrema angeingia Ikulu angekuwa kiroja
*Wote wamjia juu na kudai anataka malumbano


Na Gladness Mboma

MWENYEKITI wa chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amemhusisha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe, na miongoni mwa mafisadi kwa kukopa fedha za walalahoi za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Taifa (NSSF).

Mchungaji Mtikila alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) kuhusu ufisadi uliotokea Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

"Mwenyekiti wa CHADEMA amefanya kazi nzuri ya kizalendo ya kumhusisha Rais Kikwete na wizi wa zaidi ya sh. bilioni 8 za EPA zilizochotwa BoT na kampuni ya mawakili ya IMMA Advocates inayomhusu mwanawe Rais akawapa watuhumiwa uwaziri na ujaji wa Mahakama Kuu.

"Lakini CHADEMA wamefumbia macho kabisa uporaji wa zile sh. bilioni 84 za walalahoi NSSF/PSPF, ambazo ni nyingi mara kumi kuliko za EPA zinazohusu IMMA Advocates! Kumbe pesa za NSSF ambazo wenyewe wastaafu na wafanyakazi wenye nazo hawakopeshwi hata wakifiwa na wazazi wao, zinaliwa na akina Freeman Mbowe," alidai Mchungaji Mtikila.

Alidai kuwa maswali yanayojitokeza ni kwamba Bw. Mbowe alipataje mkopo huo NSSF ikiwa walalahoi wanachangia Mfuko huo lakini hawapewi hata wakifiwa na ndugu wa damu na kuhoji kama si kwa ufisadi ni nini?.

Mwenyekiti huyo alitaka kujua kama kweli Bw. Mbowe hakuwa na uwezo wa kulipa deni au ni tatizo lake tu la kimaadili na kwamba kama kweli ilitolewa amri ya kukamatwa na kuwekwa gerezani, lakini akafaulu kukwepa na jalada la Mahakama linapotezwa ili kukwamisha utekelezaji wa amri zilizomo dhidi yake na kudai kuwa huo ni ufisadi.

Alisema ufisadi una sura nyingi na zote ni hatari kwa Taifa na kwamba siasa za nguvu ya pesa na zenye misingi ya ukabila, ni ufisadi wa hatari kwa nchi.

Mchungaji Mtikila aliongeza kuwa wivu wa watu fulani kutaka wajulikane wao tu kwa kudhibiti kifisadi vyombo vya habari visiwape jukwaa wengine wanaowazidi nguvu kwa wito wao wa kweli kwa ajili ya ukombozi wa nchi ni ufisadi pia.

Alisema ufisadi ni pamoja na kulazimisha kuwazidi umaarufu mashujaa wa kisiasa kwa kuwatukana kwamba wanatumiwa ili kusudi wadharaulike, ili umma uwaandamie wao.

"Wanasiasa wa nguvu ya pesa hukubali kuhongwa mapesa hata na mabeberu wanaotafuta vibaraka katika nchi wanazotaka kuzitawala upya kiuchumi, ili wakishika madaraka wao waipore nchi yetu kwa ubia na hao wasaliti. Lakini huu ukahaba wa kisiasa na usaliti wenzetu hawaufichi, badala yake wanauonea fahari," alidai Mchungaji Mtikila.

Aliendelea kudai kuwa siasa safi ni ushindani wa ajenda na viwango vya uhanga kwa ajili ya ukombozi wa nchi na walalahoi na kwamba "hatuwezi kulaani ufisadi wa CCM wa kuwanunua wapinzani na kunyamazia CHADEMA wanapofanya vivyo hivyo, kwa sababu upendeleo ni ufisadi pia".

Alidai kuwa ikiwa chama kinapata ruzuku ya mamilioni ya fedha za umma kila mwezi, mbali na misaada ya mabeberu wanaowatumia kununua uhuru wa nchi, halafu kinashindwa kutumia kiasi kidogo cha fedha hizo kwa ajili ya kupata Tume huru ya Uchaguzi mahakamani, ikatengeneza Daftari la kweli la Kudumu la Wapiga kura ni ufisadi pia.

"Itakumbukwa daima, kuwa Bw. Mbowe pamoja na viongozi wa CUF walitumiwa kuhujumu maazimio ya Aprili 18, 2004 ya vyama vyote vya upinzani, ambayo yangekuwa yameleta ukombozi wa nchi yetu," alidai Mchungaji Mtikila.

Hata hivyo, alimpongeza Bw. Mbowe kwa ushujaa wa kupambana na 'magabachori' baada ya kichocheo kizuri cha Dkt. Wilbroad Slaa na Bw, Zitto Kabwe aliyemsakama Bw. Nazir Karamagi aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini.

Alisema lakini ni lazima warudi katika Torati kupata viongozi safi wenye sifa alizoagiza Mungu na kuwataka wasisahau kwamba kwa ajili ya nchi, ni lazima wawepo wahanga na si wanasiasa wa nguvu ya fedha na kwamba wanahitajika wanasiasa wenye wito, maono, vipawa na uponyaji wa kifikra na si helikopta.

Mchungaji Mtikila alidai kwamba tangu awamu ya tatu ya utawala, nchi inateswa na pepo chafu la ufisadi, ambalo baada ya kuinyonya damu yote sasa linataka kuitia kiberiti nchi iishie mbali na kwamba lisipowahiwa, haliwezi kutolewa kwa ufisadi.

"Hata Mwenyenzi Mungu anatwambia katika Biblia Takatifu, kuwa pepo mchafu hawezi kumtoa pepo mwingine, isipokuwa kama ufalme huo umefitinika na tiba ya ufisadi na uporaji na kunajisiwa nchi, utauawa na uzalendo wa kweli na si mkono mwingine wa ufisadi kwa mlango wa nyuma.

Kwa vile vita ya kutokomeza ufisadi kwa sehemu inachangiwa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, tukishaitokomeza CCM na kuwafilisi na kuwatupa jela mafisadi wake kama watapona kupigwa risasi hadharani katika viwanja vya Jangwani, tunawatahadharisha wananchi kuwa macho, wasidanganyike na kujikuta wamekabidhi nchi kwa mafisadi ambao ni waporaji zaidi," alisema Mchungaji Mtikila.

Alisema kutokomeza ufisadi na kuokoa nchi ni pamoja na Watanzania kuwaogopa kama moto uteketezao, wanasiasa waliojitajirisha kwa uporaji wa benki kwa usanii katika hundi, achilia mbali biashara haramu za dawa za kulevya, ndipo wakaingia katika siasa za kifisadi za nguvu za fedha.

Mchungaji Mtikila pia alimshutumu vikali Mbunge wa Igunga, Bw. Rostam Aziz na kudai kuwa alikuwa ni Mungu wa nchi ambaye alikuwa hatishwi na mtu yeyote yule.

"Rostam alikuwa ni Mungu wa nchi hii, ni nani angeweza kutia neno kwake na kumtisha kwa lolote; yeye alikuwa ndiye mwenye amri pekee ndani ya nchi hii, yote hiyo ni kutokana na kuwekana madarakani kirafiki," alisema Mchungaji Mtikila.

"Serikali inasema kiasi cha fedha kilichoibwa Benki Kuu na mafisadi ni sh. bilioni 133, hiyo si kweli fedha halisi zilizochotwa ni sh. trilioni 4.3," alidai.

Mchungaji Mtikila alimlaumu pia Mbunge mmoja akidai kuwa aliingiza mchele mbovu nchini na kuugawa kwa Watanzania bila huruma.

"Ninasema kuwa Watanzania mjiandae kufa siku si zenu kutokana na mchele mbovu mliokula na unaoendelea kuingizwa," alidai Mchungaji huyo.

Alisema kazi ya mbunge huyo ni kuwasiliana na nchi zinazohifadhi mchele mbovu kwenye makontena na kisha kusafirishwa hadi Tanzania bila kuwa na huruma.

Mchungaji Mtikila alimwandama pia Mwenyekiti wa TLP, Bw. Augustino Mrema na kudai kuwa mwaka 1995 alipokuwa akigombea urais, wafuasi wote waliokuwa wakimuunga mkono walikuwa wa kwake na si wa Mrema.

"Mwaka 1995 Bw. Mrema alikuwa awe Rais, hebu niambie kama angeshinda, huko Ikulu kungekuwa na kiroja gani, wafuasi wote walikuwa wangu, Mungu akitaka niwe Rais kwa saa na dakika naweza kuwa Rais," alijigamba Mchungaji Mtikila.

Akizungumza kwa njia ya simu akijibu tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Mtikila dhidi yake, Bw. Mbowe alionekana kushtushwa na kauli zilizotolewa.

"Sina ugomvi wowote na Mtikila na wala sipendi malumbano naye na sikumbuki kama nilishawahi kugombana na Mtikila, ninamshangaa sana kwa kauli zake," alisema Bw. Mbowe kwa mshangao.

Alisema habari aliyoitoa hivi karibuni kuhusu ufisadi ni kwa maslahi ya Watanzania na wala si yake. "Mambo yote nilieleza juzi katika vyombo vya habari ni ya kweli sikupindisha, sasa namshangaa Mtikila kutaka malumbano nami," alisema.

Akizungumzia fedha za NSSF, Bw. Mbowe alisistiza kuwa yeye ni mwanachama wa Mfuko huo kama walivyo wanachama wengine na kwamba ana haki ya kukopa na kukopeshwa kama ilivyo kwa wanachama wengine na kisha kurejesha mkopo huo.

"Nimefanya makosa kukopa NSSF jamani? Mbona kampuni nyingi zinakopa ikiwemo Serikali; mimi mwenyewe ninachangia wakiwamo wafanyakazi wangu sijachota fedha kienyeji, nimefuata taratibu zote, ninamwomba Mtikila akafanye uchunguzi juu ya mkopo huo ndipo anivamie, asijisemee tu bila uchunguzi,"alisema Bw. Mbowe.

Alisema haitakuwa busara kuendelea kulumbana na Mchungaji Mtikila kwa kuwa hana ugomvi wowote naye na kwamba alifuata taraibu zote kuchukua fedha hizo NSSF.

Kuhusu Bw. Mbowe na viongozi wa CUF kuhujumu maazimio ya Aprili 2004 ya vyama vyote vya Upinzani, alisema yeye hakumbuki kama kuna hujuma yoyote ambayo alikwishafanya ya kupingana na wapinzani wenzake.

"Chama changu kiko mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya wananchi na kukubaliana na ajenda zote zinazopitishwa na vyama vya upinzani kwa pamoja, ninashindwa kuelewa anachozungumza Mchungaji Mtikila, nilihujumu kitu gani?," alihoji Bw. Mbowe.

Naye Bw. Mrema akijibu tuhuma dhidi yake kwa njia ya simu kuhusu wafuasi wote waliokuwa wakimuunga mkono yeye wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 1995, alisema hana sababu ya kulumbana na Mchungaji Mtikila kwa kuwa tangu mwaka 1995 haelewani naye na kwamba hana sababu ya kuzua ugomvi na mtafaruku naye.

"Anaposema kuwa wafuasi wote walikuwa wake, Mungu pekee ndiye aliyekuwa na uwezo wa kunifanya mimi niwe Rais, urais sikuupata sasa kwa nini anaendeleza malumbano nami? Aendeleze malumbano na marais walioingia madarakani mimi aniache," alisema Bw. Mrema.

Alisema mambo ya uchaguzi yalikwishapita tangu mwaka 1995 kinachotakiwa sasa ni kila mtu kufuata mambo yake na wala si kuchunguzana na kumtaka achunguze mambo yaliyoko sasa ya Richmond na EPA na si ya kwake kwa sababu hayaisaidii jamii.

"Mimi namshangaa sana, anasema mimi ningeingia Ikulu ningekuwa kiroja kwa lipi, mimi nina historia safi bwana, katika kipindi nilichokaa madarakani miaka ya nyuma, niliweza kukamata ndege iliyokuwa na dhahabu na sh. milioni 175 za walalahoi na bado nitakumbukwa kwa mazuri niliyowafanyia Watanzania.

"Ninachoomba kila mtu afikirie maisha yake, Mtikila asitafute malumbano nami na wala sitaki malumbano naye na wala sina muda huo, kila mtu ajenge chama chake, huu si muda wa kutupiana madongo na kujengeana chuki," alisisitiza Bw. Mrema.
 
•
Kizungumkuti kambi ya upinzani Mtikila sasa amwita Mbowe fisadi

Habari Zinazoshabihiana
• Mbowe: Makamba hawezi kuua Upinzani 04.01.2007 [Soma]
• Mzimu wa ufisadi waingia upinzani 15.03.2008 [Soma]
• Dkt. Mvungi amcharukia Mchungaji Mtikila 17.10.2005 [Soma]

*Adai Mrema angeingia Ikulu angekuwa kiroja
*Wote wamjia juu na kudai anataka malumbano


Na Gladness Mboma

MWENYEKITI wa chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amemhusisha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe, na miongoni mwa mafisadi kwa kukopa fedha za walalahoi za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Taifa (NSSF).

Mchungaji Mtikila alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) kuhusu ufisadi uliotokea Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

"Mwenyekiti wa CHADEMA amefanya kazi nzuri ya kizalendo ya kumhusisha Rais Kikwete na wizi wa zaidi ya sh. bilioni 8 za EPA zilizochotwa BoT na kampuni ya mawakili ya IMMA Advocates inayomhusu mwanawe Rais akawapa watuhumiwa uwaziri na ujaji wa Mahakama Kuu.

"Lakini CHADEMA wamefumbia macho kabisa uporaji wa zile sh. bilioni 84 za walalahoi NSSF/PSPF, ambazo ni nyingi mara kumi kuliko za EPA zinazohusu IMMA Advocates! Kumbe pesa za NSSF ambazo wenyewe wastaafu na wafanyakazi wenye nazo hawakopeshwi hata wakifiwa na wazazi wao, zinaliwa na akina Freeman Mbowe," alidai Mchungaji Mtikila.

Alidai kuwa maswali yanayojitokeza ni kwamba Bw. Mbowe alipataje mkopo huo NSSF ikiwa walalahoi wanachangia Mfuko huo lakini hawapewi hata wakifiwa na ndugu wa damu na kuhoji kama si kwa ufisadi ni nini?.

Mwenyekiti huyo alitaka kujua kama kweli Bw. Mbowe hakuwa na uwezo wa kulipa deni au ni tatizo lake tu la kimaadili na kwamba kama kweli ilitolewa amri ya kukamatwa na kuwekwa gerezani, lakini akafaulu kukwepa na jalada la Mahakama linapotezwa ili kukwamisha utekelezaji wa amri zilizomo dhidi yake na kudai kuwa huo ni ufisadi.

Alisema ufisadi una sura nyingi na zote ni hatari kwa Taifa na kwamba siasa za nguvu ya pesa na zenye misingi ya ukabila, ni ufisadi wa hatari kwa nchi.

Mchungaji Mtikila aliongeza kuwa wivu wa watu fulani kutaka wajulikane wao tu kwa kudhibiti kifisadi vyombo vya habari visiwape jukwaa wengine wanaowazidi nguvu kwa wito wao wa kweli kwa ajili ya ukombozi wa nchi ni ufisadi pia.

Alisema ufisadi ni pamoja na kulazimisha kuwazidi umaarufu mashujaa wa kisiasa kwa kuwatukana kwamba wanatumiwa ili kusudi wadharaulike, ili umma uwaandamie wao.

"Wanasiasa wa nguvu ya pesa hukubali kuhongwa mapesa hata na mabeberu wanaotafuta vibaraka katika nchi wanazotaka kuzitawala upya kiuchumi, ili wakishika madaraka wao waipore nchi yetu kwa ubia na hao wasaliti. Lakini huu ukahaba wa kisiasa na usaliti wenzetu hawaufichi, badala yake wanauonea fahari," alidai Mchungaji Mtikila.

Aliendelea kudai kuwa siasa safi ni ushindani wa ajenda na viwango vya uhanga kwa ajili ya ukombozi wa nchi na walalahoi na kwamba "hatuwezi kulaani ufisadi wa CCM wa kuwanunua wapinzani na kunyamazia CHADEMA wanapofanya vivyo hivyo, kwa sababu upendeleo ni ufisadi pia".

Alidai kuwa ikiwa chama kinapata ruzuku ya mamilioni ya fedha za umma kila mwezi, mbali na misaada ya mabeberu wanaowatumia kununua uhuru wa nchi, halafu kinashindwa kutumia kiasi kidogo cha fedha hizo kwa ajili ya kupata Tume huru ya Uchaguzi mahakamani, ikatengeneza Daftari la kweli la Kudumu la Wapiga kura ni ufisadi pia.

"Itakumbukwa daima, kuwa Bw. Mbowe pamoja na viongozi wa CUF walitumiwa kuhujumu maazimio ya Aprili 18, 2004 ya vyama vyote vya upinzani, ambayo yangekuwa yameleta ukombozi wa nchi yetu," alidai Mchungaji Mtikila.

Hata hivyo, alimpongeza Bw. Mbowe kwa ushujaa wa kupambana na 'magabachori' baada ya kichocheo kizuri cha Dkt. Wilbroad Slaa na Bw, Zitto Kabwe aliyemsakama Bw. Nazir Karamagi aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini.

Alisema lakini ni lazima warudi katika Torati kupata viongozi safi wenye sifa alizoagiza Mungu na kuwataka wasisahau kwamba kwa ajili ya nchi, ni lazima wawepo wahanga na si wanasiasa wa nguvu ya fedha na kwamba wanahitajika wanasiasa wenye wito, maono, vipawa na uponyaji wa kifikra na si helikopta.

Mchungaji Mtikila alidai kwamba tangu awamu ya tatu ya utawala, nchi inateswa na pepo chafu la ufisadi, ambalo baada ya kuinyonya damu yote sasa linataka kuitia kiberiti nchi iishie mbali na kwamba lisipowahiwa, haliwezi kutolewa kwa ufisadi.

"Hata Mwenyenzi Mungu anatwambia katika Biblia Takatifu, kuwa pepo mchafu hawezi kumtoa pepo mwingine, isipokuwa kama ufalme huo umefitinika na tiba ya ufisadi na uporaji na kunajisiwa nchi, utauawa na uzalendo wa kweli na si mkono mwingine wa ufisadi kwa mlango wa nyuma.

Kwa vile vita ya kutokomeza ufisadi kwa sehemu inachangiwa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, tukishaitokomeza CCM na kuwafilisi na kuwatupa jela mafisadi wake kama watapona kupigwa risasi hadharani katika viwanja vya Jangwani, tunawatahadharisha wananchi kuwa macho, wasidanganyike na kujikuta wamekabidhi nchi kwa mafisadi ambao ni waporaji zaidi," alisema Mchungaji Mtikila.

Alisema kutokomeza ufisadi na kuokoa nchi ni pamoja na Watanzania kuwaogopa kama moto uteketezao, wanasiasa waliojitajirisha kwa uporaji wa benki kwa usanii katika hundi, achilia mbali biashara haramu za dawa za kulevya, ndipo wakaingia katika siasa za kifisadi za nguvu za fedha.

Mchungaji Mtikila pia alimshutumu vikali Mbunge wa Igunga, Bw. Rostam Aziz na kudai kuwa alikuwa ni Mungu wa nchi ambaye alikuwa hatishwi na mtu yeyote yule.

"Rostam alikuwa ni Mungu wa nchi hii, ni nani angeweza kutia neno kwake na kumtisha kwa lolote; yeye alikuwa ndiye mwenye amri pekee ndani ya nchi hii, yote hiyo ni kutokana na kuwekana madarakani kirafiki," alisema Mchungaji Mtikila.

"Serikali inasema kiasi cha fedha kilichoibwa Benki Kuu na mafisadi ni sh. bilioni 133, hiyo si kweli fedha halisi zilizochotwa ni sh. trilioni 4.3," alidai.

Mchungaji Mtikila alimlaumu pia Mbunge mmoja akidai kuwa aliingiza mchele mbovu nchini na kuugawa kwa Watanzania bila huruma.

"Ninasema kuwa Watanzania mjiandae kufa siku si zenu kutokana na mchele mbovu mliokula na unaoendelea kuingizwa," alidai Mchungaji huyo.

Alisema kazi ya mbunge huyo ni kuwasiliana na nchi zinazohifadhi mchele mbovu kwenye makontena na kisha kusafirishwa hadi Tanzania bila kuwa na huruma.

Mchungaji Mtikila alimwandama pia Mwenyekiti wa TLP, Bw. Augustino Mrema na kudai kuwa mwaka 1995 alipokuwa akigombea urais, wafuasi wote waliokuwa wakimuunga mkono walikuwa wa kwake na si wa Mrema.

"Mwaka 1995 Bw. Mrema alikuwa awe Rais, hebu niambie kama angeshinda, huko Ikulu kungekuwa na kiroja gani, wafuasi wote walikuwa wangu, Mungu akitaka niwe Rais kwa saa na dakika naweza kuwa Rais," alijigamba Mchungaji Mtikila.

Akizungumza kwa njia ya simu akijibu tuhuma zilizotolewa na Mchungaji Mtikila dhidi yake, Bw. Mbowe alionekana kushtushwa na kauli zilizotolewa.

"Sina ugomvi wowote na Mtikila na wala sipendi malumbano naye na sikumbuki kama nilishawahi kugombana na Mtikila, ninamshangaa sana kwa kauli zake," alisema Bw. Mbowe kwa mshangao.

Alisema habari aliyoitoa hivi karibuni kuhusu ufisadi ni kwa maslahi ya Watanzania na wala si yake. "Mambo yote nilieleza juzi katika vyombo vya habari ni ya kweli sikupindisha, sasa namshangaa Mtikila kutaka malumbano nami," alisema.

Akizungumzia fedha za NSSF, Bw. Mbowe alisistiza kuwa yeye ni mwanachama wa Mfuko huo kama walivyo wanachama wengine na kwamba ana haki ya kukopa na kukopeshwa kama ilivyo kwa wanachama wengine na kisha kurejesha mkopo huo.

"Nimefanya makosa kukopa NSSF jamani? Mbona kampuni nyingi zinakopa ikiwemo Serikali; mimi mwenyewe ninachangia wakiwamo wafanyakazi wangu sijachota fedha kienyeji, nimefuata taratibu zote, ninamwomba Mtikila akafanye uchunguzi juu ya mkopo huo ndipo anivamie, asijisemee tu bila uchunguzi,"alisema Bw. Mbowe.

Alisema haitakuwa busara kuendelea kulumbana na Mchungaji Mtikila kwa kuwa hana ugomvi wowote naye na kwamba alifuata taraibu zote kuchukua fedha hizo NSSF.

Kuhusu Bw. Mbowe na viongozi wa CUF kuhujumu maazimio ya Aprili 2004 ya vyama vyote vya Upinzani, alisema yeye hakumbuki kama kuna hujuma yoyote ambayo alikwishafanya ya kupingana na wapinzani wenzake.

"Chama changu kiko mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya wananchi na kukubaliana na ajenda zote zinazopitishwa na vyama vya upinzani kwa pamoja, ninashindwa kuelewa anachozungumza Mchungaji Mtikila, nilihujumu kitu gani?," alihoji Bw. Mbowe.

Naye Bw. Mrema akijibu tuhuma dhidi yake kwa njia ya simu kuhusu wafuasi wote waliokuwa wakimuunga mkono yeye wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 1995, alisema hana sababu ya kulumbana na Mchungaji Mtikila kwa kuwa tangu mwaka 1995 haelewani naye na kwamba hana sababu ya kuzua ugomvi na mtafaruku naye.

"Anaposema kuwa wafuasi wote walikuwa wake, Mungu pekee ndiye aliyekuwa na uwezo wa kunifanya mimi niwe Rais, urais sikuupata sasa kwa nini anaendeleza malumbano nami? Aendeleze malumbano na marais walioingia madarakani mimi aniache," alisema Bw. Mrema.

Alisema mambo ya uchaguzi yalikwishapita tangu mwaka 1995 kinachotakiwa sasa ni kila mtu kufuata mambo yake na wala si kuchunguzana na kumtaka achunguze mambo yaliyoko sasa ya Richmond na EPA na si ya kwake kwa sababu hayaisaidii jamii.

"Mimi namshangaa sana, anasema mimi ningeingia Ikulu ningekuwa kiroja kwa lipi, mimi nina historia safi bwana, katika kipindi nilichokaa madarakani miaka ya nyuma, niliweza kukamata ndege iliyokuwa na dhahabu na sh. milioni 175 za walalahoi na bado nitakumbukwa kwa mazuri niliyowafanyia Watanzania.

"Ninachoomba kila mtu afikirie maisha yake, Mtikila asitafute malumbano nami na wala sitaki malumbano naye na wala sina muda huo, kila mtu ajenge chama chake, huu si muda wa kutupiana madongo na kujengeana chuki," alisisitiza Bw. Mrema.

Inaelekea wanamugwaya Mtikila nini?? Ama inakua je?
 
Vipi kasiliba sana nni, kwahiyo mmeshindwa kusafisha mabosi wenu akina EL??
Ushindi Lazima hata kwa dawa, najua vijibaraka mko wengi hapa

Talking about vijibaraka, nafikiri inapaswa kuwa ishus pana sana, maana sijui how do you draw the line? Halafu kinachokufanya wewe usiwe kijibaraka wa unaowatetea exactly ni nini?

1. Wakuu acheni hizi za below the belt, maana zina-work both ways, jadili hoja kama zipo ni pamoja kuweka heshima yetu mbele, sikubaliani na mengi anayoyasema Mtikila, kwa sababu ningependa kujua the motive yake kwenye hii kwa sababu last time alipokuwa na ishu najua alikuwa amepewa hela na nani kuivalia njuga, kwa hiyo I wonder this time nani amemlipa.

2. Kwako mkuu Freeman, please kama inawezekana lilipe hilo deni, I understand all the legality and politics behind this ishu, lakini it is not good, kwa sababu this is a distraction kwa the agenda, hawa watu hawataacha na hizi, juzi nilikuwa ninaongea na mkulu mmoja, akaniambia kuwa sasa siasa imekuwa vikundi kila kona kutafutana, kila mmoja anamtafuta mchawi wake, wananchi wetu hawajui kitu kuhusu elimu ya siasa, I am afraid this is not good kwako,

Achana hizi filimbi hapa JF, wewe ni mwenyekiti wa chama kinachokubalika na taifa, na wananchi wengi ambao tunataka mabadiliko kwa taifa, hizi habari zinaenda mpaka nje ya nchi, you do not want that, hawa wanaokushambulia wana everything to gain on this kuliko wanachokosa, na they are not going to stop, the minute unakaa chini kujibu haya, ndio exactly wanachotaka kukupoteza lengo, kwa nini usilipe tukarudi kwenye focus ya taifa?

I mean sijui the inside kwenye hii, lakini one thing I know ni inakupunguzia moral authority na the deal hapa ni kukushusha to their level, yaani ya mafisadi, I am a CCM damu lakini I do not like it, kwa sababu unapojibu tu kuwa kweli ulichukua hela huko, basi the rest ni mazungumzo baada ya habari, mkuu wasiokutakia mema watakuwa wanakuambia suilipe nenda uwajibu kina Mtikila, lakini tunaoheshimu mchango wako kwa taifa, tunasema walipe mkuu, ikiwezekana tutakuchangia lakini please get rid of this thing bro!
 
Talking about vijibaraka, nafikiri inapaswa kuwa ishus pana sana, maana sijui how do you draw the line? Halafu kinachokufanya wewe usiwe kijibaraka wa unaowatetea exactly ni nini?

1. Wakuu acheni hizi za below the belt, maana zina-work both ways, jadili hoja kama zipo ni pamoja kuweka heshima yetu mbele, sikubaliani na mengi anayoyasema Mtikila, kwa sababu ningependa kujua the motive yake kwenye hii kwa sababu last time alipokuwa na ishu najua alikuwa amepewa hela na nani kuivalia njuga, kwa hiyo I wonder this time nani amemlipa.

2. Kwako mkuu Freeman, please kama inawezekana lilipe hilo deni, I understand all the legality and politics behind this ishu, lakini it is not good, kwa sababu this is a distraction kwa the agenda, hawa watu hawataacha na hizi, juzi nilikuwa ninaongea na mkulu mmoja, akaniambia kuwa sasa siasa imekuwa vikundi kila kona kutafutana, kila mmoja anamtafuta mchawi wake, wananchi wetu hawajui kitu kuhusu elimu ya siasa, I am afraid this is not good kwako,

Achana hizi filimbi hapa JF, wewe ni mwenyekiti wa chama kinachokubalika na taifa, na wananchi wengi ambao tunataka mabadiliko kwa taifa, hizi habari zinaenda mpaka nje ya nchi, you do not want that, hawa wanaokushambulia wana everything to gain on this kuliko wanachokosa, na they are not going to stop, the minute unakaa chini kujibu haya, ndio exactly wanachotaka kukupoteza lengo, kwa nini usilipe tukarudi kwenye focus ya taifa?

I mean sijui the inside kwenye hii, lakini one thing I know ni inakupunguzia moral authority na the deal hapa ni kukushusha to their level, yaani ya mafisadi, I am a CCM damu lakini I do not like it, kwa sababu unapojibu tu kuwa kweli ulichukua hela huko, basi the rest ni mazungumzo baada ya habari, mkuu wasiokutakia mema watakuwa wanakuambia suilipe nenda uwajibu kina Mtikila, lakini tunaoheshimu mchango wako kwa taifa, tunasema walipe mkuu, ikiwezekana tutakuchangia lakini please get rid of this thing bro!

Certainly a brilliant advice to Mbowe. I hope he will heed it; otherwise, we will keep wondering: If he cannot manage his own personal 'small matters', how can he manage affairs of the state as a leader?
 
Im anti-Mbowe but Mtikila himself has never been serious (may be I should say I have never taken him seriously!) Can you imagine a country,any country, with Mtikila as its president? Eee bwana utuepushie kikombe hiki!
 
ha ha ha Mtikila msema ovyo!! kufurahisha genge...katika kumi chukua moja
 
ha ha ha Mtikila msema ovyo!! kufurahisha genge...katika kumi chukua moja
ooooosh....! WE NEED PEOPLE LIKE MTIKILA WHO CAN DARE TO TALK OPENLY....!
BUT I SAY....WHEN MTIKILA TALKS.....KTK KUMI.......ACHA MOJA.......!
WHY DO I SAY THIS...! WHEN THE GUY TALKS,AT THE BEGINNING UTAMUONA KTK WRONG DIRECTION.....WHEN TIME GOES ON.....MORE TRUTH IS REVEALED!!!!!!!
ANGALIA HATA MAJIBU YA MBOWE NA MREMA....WOTE WANAONEKANA KUMGWAYA.....!
MTIKILA ALWAYS STANDS IN A DIRECT PATH.....WEWE UKIPINDA NDO UTAKUJA NA MAJIBU YA.....SINA UGOMVI NAYE......NAMSHANGAA....NK.
ANGALIA MTIKILA ALIVYO.....KWENYE KUPONGEZA AMEPONGEZA,KWENYE KUSIFIA AMESIFIA,KWENYE KUKOSOA AMEKEKOSOA.......!
GO ON MTIKILA.....GO ON MTIKILA.......!(though I differ with you on Tangayika)......!
 
Milioni 15 ni fedha za umma na ni nyingi sana huhitaji kusoma Mzumbe University kulijua hilo.

Je milioni 75 alizokwisha lipa ukilinganisha na milioni 15 alizokopa zipi ni nyingi zaidi?

Huo mradi naona ni mzuri kwa nssf maana ni wazi wanapata super profit.

Sasa tumefumbuka macho na ni wakati muafaka nssf watupe hesabu ya pesa tunazochangia wanachama pamoja na riba wanazokusanya kwenye mikopo halali kama huu wa Mbowe hotels.

Watuwekee pia na mabilioni waliyogawa mafichoni bila kuweka riba yoyote.

Itabidi wayawekee riba hayo mabilioni ili watupe hesabu iliyoenda shule.

Hii issue haiwezi kupita hivi hivi mpaka kieleweke.
 
Nikiangalia mada nzima naona kama Mtikila kuna mahala amesimamia. Mtikila siyo mtu wa solution anataka kuua soo fulani.

Kama Mchungaji yeye ni swafi haswa kwa nini chama chake kisisimame na watanzania tukakifuata?

kama mambo yenyewe ndo haya, Kuna hatari Tanzania isiendelee milele.
 
Je milioni 75 alizokwisha lipa ukilinganisha na milioni 15 alizokopa zipi ni nyingi zaidi?

Huo mradi naona ni mzuri kwa nssf maana ni wazi wanapata super profit.

Sasa tumefumbuka macho na ni wakati muafaka nssf watupe hesabu ya pesa tunazochangia wanachama pamoja na riba wanazokusanya kwenye mikopo halali kama huu wa Mbowe hotels.

Watuwekee pia na mabilioni waliyogawa mafichoni bila kuweka riba yoyote.

Itabidi wayawekee riba hayo mabilioni ili watupe hesabu iliyoenda shule.

Hii issue haiwezi kupita hivi hivi mpaka kieleweke.

Mfwatiliaji,

Ni kweli hata mimi naona kulipa milioni 75 kwa deni la milioni 15 ni pesa nyingi sana. Lakini hiyo haina maana NSSF wanapata faida kubwa au Mbowe kamaliza deni lake.

Bila kujua sababu zilizomfanya Mbowe alipe pesa zote hizo sisi hapa hatuwezi kujua. Just imagine, NSSF wametumia milioni 100 mahakamani na sehemu zingine wakifuatilia hilo deni lao, je bado utasema milioni 75 alizolipa Mbowe ni nyingi?

Watanzania inabidi tuwe wajanja kidogo hapa na kujaribu kuelewa jinsi mikataba inavyofanya kazi. Tunavyoenda kukopa, tusome mikataba mizima hata zile wanaita small prints. Kulalamika wakati tayari tumeingia kwenye mikataba, haiwezi kutusaidia kabisa.

Case ikianza kwenda mahakamani na ukashindwa, jua tayari umeingia kwenye matatizo makubwa maana gharama za ma lawyers, wanazipandisha mara 100. Mtu anatumia dola 50 kwa siku lakini kwenye madai anaandika dola 500.

Angalieni madhara tunayopata kule IPTL japo kuna ufisadi lakini pia huenda hata ujinga pia upo.

Kuna ndugu yangu mmoja mwalimu, kalalamika kweli, hizo kampuni za kukopesha wanamkata pesa nyingi kuliko walizokubaliana. Ukimwuliza alisoma makubaliano yao? Anasema hapana, sasa kama mwalimu anashindwa kusoma makubaliano, je hao ndugu zetu wengine itakuwaje? Kuna watu wakifika bank, wanachotaka ni kupata pesa, akipewa, anakimbia haraka ili bank wasije wakasema tumekosea rudisha pesa zetu. Hizo pesa ni zako, bank hawatoi free lunch, lazima kuhakikisha kila kitu kipo sawa, kama kuna utata, achana nao, katafute mkopo kwingineko.

Sina maana Mbowe ilikuwa hivyo ila nikiangalia baadhi ya wachangiaji hapa ni kama hatuheshimu kabisa mikataba na huenda hata hatuisomi. Matokeo yake inatulima huko mbele.
 
Mfwatiliaji,

Ni kweli hata mimi naona kulipa milioni 75 kwa deni la milioni 15 ni pesa nyingi sana. Lakini hiyo haina maana NSSF wanapata faida kubwa au Mbowe kamaliza deni lake.

Bila kujua sababu zilizomfanya Mbowe alipe pesa zote hizo sisi hapa hatuwezi kujua. Just imagine, NSSF wametumia milioni 100 mahakamani na sehemu zingine wakifuatilia hilo deni lao, je bado utasema milioni 75 alizolipa Mbowe ni nyingi?

Watanzania inabidi tuwe wajanja kidogo hapa na kujaribu kuelewa jinsi mikataba inavyofanya kazi. Tunavyoenda kukopa, tusome mikataba mizima hata zile wanaita small prints. Kulalamika wakati tayari tumeingia kwenye mikataba, haiwezi kutusaidia kabisa.

Case ikianza kwenda mahakamani na ukashindwa, jua tayari umeingia kwenye matatizo makubwa maana gharama za ma lawyers, wanazipandisha mara 100. Mtu anatumia dola 50 kwa siku lakini kwenye madai anaandika dola 500.

Angalieni madhara tunayopata kule IPTL japo kuna ufisadi lakini pia huenda hata ujinga pia upo.

Kuna ndugu yangu mmoja mwalimu, kalalamika kweli, hizo kampuni za kukopesha wanamkata pesa nyingi kuliko walizokubaliana. Ukimwuliza alisoma makubaliano yao? Anasema hapana, sasa kama mwalimu anashindwa kusoma makubaliano, je hao ndugu zetu wengine itakuwaje? Kuna watu wakifika bank, wanachotaka ni kupata pesa, akipewa, anakimbia haraka ili bank wasije wakasema tumekosea rudisha pesa zetu. Hizo pesa ni zako, bank hawatoi free lunch, lazima kuhakikisha kila kitu kipo sawa, kama kuna utata, achana nao, katafute mkopo kwingineko.

Sina maana Mbowe ilikuwa hivyo ila nikiangalia baadhi ya wachangiaji hapa ni kama hatuheshimu kabisa mikataba na huenda hata hatuisomi. Matokeo yake inatulima huko mbele.

Mtanzania

hivi umewahi kuchukua mkopo wowote hapo nymbani iwe ni bank au fund.

Kwa uzoefu niliopata baada ya kukopa hela za (agricultural inputs support fund)zilizokuwa zinatolewa kupitia exim bank (interest, 12%), usumbufu na gharama nilizoingia niligundua ilikuwa bora zaidi kuchukua mkopo wa riba inayoonekana kubwa (21%) tuliokubaliana awali na crdb.

Kama siyo mvumilivu unaishia kupata ugonjwa wa presha.

Naelewa kwa nini Mbowe hotels wanazungushana na nssf.Kuna sehemu Mbowe amesema anachotafuta ni haki yake na anawasisi na utaalamu wa nssf katika masuala ya handling ya loans.

Sasa nssf kusema hata wao hawajui wanamdai kiasi gani mdeni wao hiyo ina maana gani!!??

Tunahitaji mageuzi makubwa sana kwenye vyombo vya fedha.

Otherwise ni uonevu kwenda mbele.
 
Pamoja na kuunga mkono kwa asilimia 80% kwamba yanayosemwa ni kweli, lakini nachelea kusema siasa za Kitanzania hasa za Upinzani zimeanza kuingia shubiri.

Sasa kama Tegemeo letu CHADEMA linatikishwa kiasi hiki sasa tutategemea nini tena?
 
Back
Top Bottom