Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Hapa Mbowe kashaweka hadharani mambo yake na jinsi ambavyo deni lake na wadeni wake wanachokitaka kutoka kwake.

Na kwa kuwa hii kesi ipo mahakamni na tena itasikilizwa tarehe 29 April kuna hgaja ya NSSF kuja kutoa majibu ya kina kwani sisi wengine ni wanachama na tunaposikia kuwa shirika linafilisika hapaio tunapatwa na wasiwasi mklubwa sana kwani huenda kuna jambo linakuja na hapo baadae tukaambiwa kuwa shirika limefilisika na hapa wasnajaribu kutuandaa kisaikolojia tuu.

Kama Mbowe alikopa 15 milioni na ameshalipa 75 milioni maana yake ni kuwa tayari ameshalipa deni mama na kinachoendelea sasa ni kuwa NSSF wanajitengenezea aida kubwa tuu hapo ...hii kweli ni buiashara nzuri.

Hivi hizi faida kubwa kiasi hiki wanazojitengenezea NSSF je?wanachama wa mfuko huu tunanufaika vipi na hizi faida?kwani sisi ndio ambao tumeweka mitaji yetu humo jamani .

Balile alikufa na story ya Rai akidhani itaweza kumzamisha mtu na ndio maana alidiriki kubadilisha heading na kuandika ya kwake ambayo mhariri aliikataa na kuibadilisha ,na naambiwa tayari makala nyingi na ndefu zilikuwa tayari zimeandaliwa toleo lijalo kwa ajili ya kumzamisha Mbowe... kalagabaho.......

Nami nauliza hivi ..Manji Yusuph,Azizi Rostam , Super Doll et al wanadaiwa kiasi gani ama hawa wao hawawezi kupelekwa mahakamani ama hata kutajwa?++

Waiting to see jambo ambalo linapuikwa hapa na linakuja soon ,msidharau hii stori na ilikotokea ...NSSF iko hali mbaya wajameni inashindwa hata kuendeleza miradi mikubwa kama ule wa daraja la kigamboni fungueni kopi za macho na kuweza kuona kwa usahihi msipuuzie hivi vitu.
 
Mwanakijiji,

Kushindwa kulipa deni ontime sio kitu cha ajabu lakini kushindwa mpaka kupelekwa mahakamani, tena sio mara moja, hicho ni kitu cha ajabu, hasa mhusika anapokuwa mwanasiasa na mkopeshaji anapokuwa mfuko wa watu maskini ambao wanahangaika kila siku kupata haki zao.

Mtanzania, kushindwa hadi kupelekewa mahakamani siyo jambo la ajabu pia kwa sababu amepelekwa mahakamani si kwa sababu ameshindwa (maana ya kwamba hana uwezo). Hivi ndugu yangu umeuliza NSSF wamempeleka mahakamani wana dai nini? Kama mtu alikopa 15 milioni halafu karudishi pamoja na riba na vinginevyo shilingi milioni 75 hili kwangu halina msingi katika ukweli, haki, au hata wajibu. Huwezi kumdai mtu na kumfanya mtumwa wa deni hilo, anayo haki ya kukataa kulipa.

Hilo linatokea hata huku. Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu anaiambia mahakama kuwa hawezi (kwa maana hana uwezo siyo hataki) kulipa deni na anaamua kuomba kinga ya Chapt. 11 Kwa jinsi ninavyoelewa ni kuwa Mbowe hajashindwa kulipa maana si amekopa toka mabenki mengine na kiasi zaidi ya hicho na amerudisha? Kwanini hiki kilete tatizi isipokuwa anataka alipe deni la haki? Kama amelipa zile za awali 15 na ameshalipa 75 millioni kwanini hilo hatulioni kama mfano na tunazungumza kana kwamba hakulipa hata senti moja?

Nadhani tunaliangalia siyo kwa macho ya haki zaidi lakini tunaliangalia kwa maana "mbowe mwanasiasa". Katika equation yangu sijaliangalia kama mwanasiasa kwaninikifanya hivyo nitakuwa ninatumia kipimo ambacho hakipo kisheria.


Ninaamini case hii ya Mbowe ingelikuwa West, leo asingelikuwa kiongozi wa CHADEMA full stop.

Unfortunately, Magharibi wana matatizo yao wao wenyewe na ninashukuru kuwa haiko West kwa maana si vyote wafanyavyo West ni mfano wa kuigwa.


Lakini sisi Wadanganyika, tumejaa ushabiki wa kisiasa hata kwenye mambo yanayoathiri maendeleo ya nchi yetu, leo tunakuja hapa kuhalalisha ujinga huu.

Nadhani hakuna mtu anahalalisha ujinga isipokuwa mtu mjinga; nadhani tupo katika kujadiliana mambo kwa mtazamo tofauti na sidhani kama kutofautiana mtazamo wa jambo ni sawa na kuhalalisha ujinga; nadhani hoja inaweza kusimama yenyewe pasipo kuilazimisha kwa kudhania anayepingana nawe kihoja amehalalisha ujinga.
 
Kwahiyo hata ukikopa lakini ukashindwa kulipa ni sawa? Jambo likifika mahakamani, magazeti yatalinasa tu.

Mbowe alipe hilo deni na aendelee na mambo yake. Kuanza kulaumu wengine huku kushindwa kulipa ni makosa yake mwenyewe, naona ni kupoteza muda wake bure.

Kama kuna makosa kwenye deni, kweli inachukua miaka kupata suluhu?

Mtanzania mbona inakuwa kama hujui utendaji kazi wa mahakama zetu? Hili jambo lingemalizwa siku nyingi but then wangepata wapi cha kumshikilia kama kamba ya kunyongea Mbowe? Halafu sijui kama umeshazingatia kuwa deni lenyewe limeshalipwa, hadaiwi deni la msingi, limelipwa, yaani lile deni la milioni 15 alilochukua tayari amelipa; kwamba hana deni la msingi keshalilipa na kile kinachoendelea ni majadiliano kuhusu riba na adhabu na terms. Kwanini tusiache mahakama iamue badala ya kumtaka mtu alipe kitu ambacho anakipinga kwa sababu anaona hakuna haki? Yaani mtu aamue kukubali tu ili yaishe hata kama anasababu za kupinga au kuelezea. Sasa nani akimbilie mahakamani?

Nadhani wa kumlaumu siyo Mbowe ni NSSF kwa maana ni wao ndio walioenda mahakamani. Kwanini usitoe wito kwa NSSF kufuta kesi yao mahakamani, kukaa chini na Mbowe, na wachukue msimamo kama ni kusuka au kunyoa. Kwanini unafikiri ni kosa la Mbowe wakati imesemwa mara kadhaa hapa kwamba ni NSSF ndio waliofungua kesi, na ya kuwa deni la awali limeshalipwa na riba yake?
 
Hivi katika siasa kuna dogo au kubwa?Mbowe hiyo wame beep tu!Kama kumtuliza apunguze mikogo!wakiona bado anaendeleza mikogo wana mletea jingine!Siasa ndivyo zilivyo duniani kote!mifano ipo mingi wengi wetu tunayajua wala haina haja kuyalelezea!!
Hata wawepo akina mwanakijiji elfu wa kumtetea ataendelea kusakamwa!madama yupo kwenye siasa.
 
Hivi katika siasa kuna dogo au kubwa?Mbowe hiyo wame beep tu!Kama kumtuliza apunguze mikogo!wakiona bado anaendeleza mikogo wana mletea jingine!Siasa ndivyo zilivyo duniani kote!mifano ipo mingi wengi wetu tunayajua wala haina haja kuyalelezea!!
Hata wawepo akina mwanakijiji elfu wa kumtetea ataendelea kusakamwa!madama yupo kwenye siasa.


well go ahead then! kama lengo ni kumuandama mtu. Miye simo, wacha niendelee kumuuguza "bibi"
 
Hivi katika siasa kuna dogo au kubwa?Mbowe hiyo wame beep tu!Kama kumtuliza apunguze mikogo!wakiona bado anaendeleza mikogo wana mletea jingine!Siasa ndivyo zilivyo duniani kote!mifano ipo mingi wengi wetu tunayajua wala haina haja kuyalelezea!!
Hata wawepo akina mwanakijiji elfu wa kumtetea ataendelea kusakamwa!madama yupo kwenye siasa.

hakuna chochote hapa usianze vilio vyako. Mbowe anaelewa kabisa kuwa kuingia kwenye siasa lazima utakumbana na mambo kama haya (ikiwemo kupigwa mabomu na FFU kama vile Mrema na Lipumba).

Issue hapa sio kuogopa kuandamwa, issue hapa ni kuwa je wanaoleta udaku kama huu hapa wana hoja? so far jibu ni kuwa la, hawana hoja zaidi ya kujaribu kutetea ufisadi na kufilisi mali ya waTanzania kwa gharama yoyote ile.
 
Hta kama ni kubeep walipaswa kutumia right buttons na sio kama ya kwao ambayo waliibinya na kujikuta inawamaloiza wenyewe....

Balile+Balali ni kama yanafanana vile ...je?wana kitu chochote in common?
 
No wonder Watanzania tutaendelea kuwa maskini!!! sasa kuna jambo la kujadili hapa wajameni... kukopa si kitu cha kawaida? Tupunguze mambo yasiokuwa na vichwa wala miguu ili tu-concentrate kufanya kazi na kujenga nchi... Nchi yetu ni maskini sana tukiwa na resources nyingi! ikiwa pamoja na wewe na mimi ambao tunatakiwa tupungeze muda wa kuja JF. tuje tu kujadili mambo yenye mstakabali mzuri na taifa... Muda mwingine tufanye kazi!!!
 
No wonder Watanzania tutaendelea kuwa maskini!!! sasa kuna jambo la kujadili hapa wajameni... kukopa si kitu cha kawaida!!!

kwi kwi kwi kasheshe,

jiangalie na wewe utaitwa kuwa ni another nick ya Mwanakijiji. Huyo chinga na nick zake ameamua kuita kila mtu hapa kuwa ni another nick ya Mwanakijiji baada ya kujikuta ana kwa ana na gharika ya JF! sasa wamekuwa paranoid na wanaona kila mtu hapa ni Mkjj...

Walioanzisha hii story na kuifikisha kwenye magazeti ya Rostam hawakujua kuwa ilikuwa inaelekea huku ambako saasa hata uteuzi wa Mkullo umekuja kwenye spot light. Balile mwenyewe anahaha sasa hivi kuficha uso wake maana his first assignment ya kumchafua Mbowe imebackfire big time!
 
Mwanakijiji,

Double standards zako nazijua kwahiyo ni kupoteza muda kujadiliana na mtu ambaye analiangalia jambo kulingana na miwani aliyovaa, amevaa ya mbao au glass.

Kumbuka tu Sumaye alikopa NSSF na ilikuwa issue wakati yeye wala hakushindwa kulipa, sasa huyu mheshimiwa ni OK. Kwa mimi hata Mbowe asingeshindwa kulipa, kukopa NSSF tu tayari ni issue kwake na kwa hiyo management ya NSSF.

Kuna watu nawaheshimu CHADEMA na kwenye hili naona wamekaa kimya. I hope wanaelewa tunaongelea nini.

Sina cha kuongeza tena kwenye huu mjadala.
 
...


Kumbuka tu Sumaye alikopa NSSF na ilikuwa issue wakati yeye wala hakushindwa kulipa, sasa huyu mheshimiwa ni OK. Kwa mimi hata Mbowe asingeshindwa kulipa, kukopa NSSF tu tayari ni issue kwake na kwa hiyo management ya NSSF.

Kuna watu nawaheshimu CHADEMA na kwenye hili naona wamekaa kimya. I hope wanaelewa tunaongelea nini.

Sina cha kuongeza tena kwenye huu mjadala.

Mtanzania,

mimi nimetoa wito kuwa mahakama iharakishe uamuzi kwenye kesi ya Mbowe ili ijulikane anadaiwa kiasi gani na aanze kushikiwa bango alipe.

So far, alikopa milioni 15 na ameshalipa zaidi ya milioni 75 kabla ya NSSF hawajaanza kubadili terms za deni na kufungua kesi mahakamani.

Siwezi kumsemea mtu mwingine au wanachadema katika hili lakini kwa mtizamo wangu naona ni vizuri watu wote waliokopa NSSF wakawekwa hapa na ikiwezekana matumizi na mapato ya NSSF ya miaka 18 kuanzia mwaka 1990 yakachunguzwa ikiwezekana na tume huru ya bunge ili ijulikane ni nini Mbowe amefanya hapa. Hili nililisema from day one.

Kuna mengi sana ya kusemwa kwenye hii story. Sishangai kuwa NSSF wameanza kuback down baada ya kuona wito wangu na wengine bungeni ambao wamejiandaa kuweka presha ili wote waliokopa NSSF (kuanzia Manji aliyekopa mabilioni) na wengine wote ambao wamekopa interest free wakachunguzwa.

kwa nini sisiemu hawataki kufanya uchunguzi huru kwenye hili jambo?
 
TechMaro,

Unajua inaudhi sana unapoona mtu ambaye hajui kitu juu ya mikopo, interests na risks vinavyofanya kazi, anakuja na mahesabu yake uchwara.

Mkuu, mikopo haiendeshwi kwa namna hiyo. Kama hujui sema hujui, omba course ndogo ya finance na utaelewa, vinginevyo omba wana JF hapa wakusaidie.

Masuala ya mikopo yanafuata mambo mengi sana. Lililo kubwa ni risk ya mhusika. Ndio maana machinga akienda kukopa napewa interest 30 wakati shirika likienda linapewa 10%.

Ukishindwa kulipa mkopo hata mara moja, kwenye mkataba kunakuwa na clauses kibao ambazo zinatoa penalties mbalimbali.

Kuongelea mambo ya compound interest kwenye hili ni ukilaza. Hapa ongelea mtu kushindwa kutimiza masharti yaliyoko kwenye mkataba wake na hivyo kujikuta deni dogo linakuwa kubwa mno.

Tafuta hata kwenye internet, hapa kuna familia walikopa 4,000 pounds na haijapita hata miaka kumi, walijikuta wanadaiwa zaidi ya pounds laki moja, Hiyo ni UK ambayo sheria zake ziko wazi kabisa kuliko TZ. Tatizo ni hilo la kukiuka mkataba. Ikabidi watangaze kufilisika na kupoteza kila walichokuwa nacho.

Kila ukisoma case ya Mbowe inaonyesha mara nyingi tu alishindwa kulipa ontime. Kitu ambacho unatakiwa mtu kufanya ni kwamba hata ikitokea hivyo basi ni kuamkia bank na kuongea nao juu ya matatizo uliyopata, ili zile penalties zisifanye kazi. Lakini ukijikalia nyumbani, deni dogo utakuta limekuwa mabilioni.

Mtanzania,

I dont need kwenda kwenye internet wakati mikopo ya Tanzania naijua.

Nimesoma leo kwenye gazeti, interest ya mkopo wa Mbowe was 30%. But that was 1990, sio leo hii with all the credit facilities we have in the market. So it was not right kwangu kusema 30% ilikuwa juu sana kwa mikopo ya NSSF. Nakubali hapo. So tukubaliane kwamba the 30% interest rate sio kwa sababu yeye ni machinga (by the way Mbowe Hotels ina collaterals za kutosha, and they are situated in the prime areas of the city).

Unapopinga compounding, halafu ukasema mimi ndo kilaza, unakosea big time. Mimi nilikuwa nataka kutafuta thamani ya hizo pesa kwa sasa, na hata mahakama ikitaka kutafuta anachodaiwa lazima wafanye compounding, kwani kama ulikuwa hulipi installments ambazo huwa zimeambatana na interest due, then hiyo interest lazima nayo ianze kuzaa faida. Na mind you, tukitafuta thamani ya hizo pesa kwa leo, haitakuwa sahihi kutumia a flat interest rate like hiyo 30% coz market ilikuwa inabadilika hivyo interest nazo (which zinatokana na market forces) lazima zibadilike.

Kwenye mikataba ya mikopo, mtu ukishindwa kulipa, kinachofwata ni kuangalia collaterals ulizoziweka, ambazo zitatumika kulipia mkopo pamoja na malimbikizo ya riba. Kuna levels za haki kwa yule mdai kwenye mali za anayedaiwa, ambazo huwa stipulated kwenye huo mkataba na kutaja hizo mali specifically. Levels za haki zitatumika kuangalia kama utalipwa kwa priority gani in case the same collateral imewekwa kwa mdai mwingine.

Hakuna kitu chochote kwenye mkataba wa mkopo ambao unatoa penalty ya kushindwa kulipa on time zaidi ya malimbiko ya Riba. Ulizia kwenye mabenki yetu hapa Tanzania, na uachane na story za kwenye internet. Riba by the way (KILAZA NAMWELIMISHA MWENYE UPEO MKUBWA NDG MTANZANIA), ni gharama za ile pesa ya watu unayoishikilia, there is no other basis ya kutumia to establish the value zaidi ya kutumia riba. Na riba ambayo hujailipa, nayo utailipia gharama zake...ndo maana nzima ya compounding.
 
Maswala ya Grace Kiwelu yapo humu sikuyaleta mimi. kwanini iwe udaku na Chadema nzima wanajua suala hili.

hivi kuna kipengele gani kinasema kuwa JF ina heshima kubwa?

heshima hiyo inatuzuia kuwataja wizi wa mfuko wa pensioners?

dawa ya deni kulipa tu iwe sumni ni mali ya umma,iwe shilingi kumi lipeni kwanza halafu ndio mseme fulani hajalipa.

anachokifanya Mbowe ni kutaja na fulani nae mwizi sio pekee yake.
Lowassa hakumtaja mtu alikufa kivyake na MBOWE arudishe tu si mjadala.


na mbowe ndio aliyemdhalilisha dada Liliani hadi kupelekwa mahakamani kama ana muheshimu mkewe angelipa deni.

hapo umenena ! na ndio mbowe huyo huyo kila kona akikanyaga kuna gundu, mara adaiwe na kushindwa kulipa mapesa ya watanzania, mara apigane na mwenyekiti wake, huku kesi za ubakaji watoto wadogo za miaka ya 90 zikiendelea kuwa mahakamani, will mbowe be cleared today of all this ?? HELL TO THE NO ! tunaye huyu !
 
Mwanakijiji,

Double standards zako nazijua kwahiyo ni kupoteza muda kujadiliana na mtu ambaye analiangalia jambo kulingana na miwani aliyovaa, amevaa ya mbao au glass.


Kumbuka tu Sumaye alikopa NSSF na ilikuwa issue wakati yeye wala hakushindwa kulipa, sasa huyu mheshimiwa ni OK. Kwa mimi hata Mbowe asingeshindwa kulipa, kukopa NSSF tu tayari ni issue kwake na kwa hiyo management ya NSSF.

Kuna watu nawaheshimu CHADEMA na kwenye hili naona wamekaa kimya. I hope wanaelewa tunaongelea nini.

Sina cha kuongeza tena kwenye huu mjadala.

Umesema ukweli mtupu hapo mzee, binafsi nimeona wanachadema humu jf lakini katika huu mjadala wamesizi ila vifanyakazi vya mbowe ndio vinaibukaibuka hapa na pale wanapoweza kuquote sentensi mbili tatu, watu mambo ya DOUBLE STANDARDS ndio zao humu, naona wameshalewa kukaa kwenye computer na kuangalia upande mmoja (CHADEMA) hata pale wanapokosea hushindwa kugeuka na kuangalia upande mwingine. hii ni aibu kweli kweli !
 
Kwahiyo hata ukikopa lakini ukashindwa kulipa ni sawa? Jambo likifika mahakamani, magazeti yatalinasa tu.

Mbowe alipe hilo deni na aendelee na mambo yake. Kuanza kulaumu wengine huku kushindwa kulipa ni makosa yake mwenyewe, naona ni kupoteza muda wake bure.

Kama kuna makosa kwenye deni, kweli inachukua miaka kupata suluhu
?

na huyo MBOWE ANATUMIA WAFANYAKAZI WAKE JF WAJE WAMPAKE ROSTAM AZIZ, WELL, FIRST NOBODY LIKES RA, SO THEY GO AHEAD AND DO THAT. ZAIDI YA YOTE TUNATAKA KUONA MBOWE ANALIPA HILO DENI NA SIDHANI KAMA KUNA MTU ATAKAYESAHAU KWAMBA MBOWE ANADAIWA MAPESA YA WATANZANIA HADI ATAKAPOLIPA na sidhani kama watu watasahau pia kesi za mbowe za ubakaji watoto wadogo in the 90s, na kupigana na mwenyekiti wake !
 
hapo umenena ! na ndio mbowe huyo huyo kila kona akikanyaga kuna gundu, mara adaiwe na kushindwa kulipa mapesa ya watanzania, mara apigane na mwenyekiti wake, huku kesi za ubakaji watoto wadogo za miaka ya 90 zikiendelea kuwa mahakamani, will mbowe be cleared today of all this ?? HELL TO THE NO ! tunaye huyu !

sasa si useme tujue na sisi hiyo kesi na kwanini kesi "za kubaka watoto wadogo za miaka ya 90" bado ziko mahakamani. Twende jambo moja baada ya jingine.

Kesi hizo ni zipi na zilifunguliwa lini na mahakama gani? nitafurahi kuelimishwa maana na mimi nitataka kuwa wa kwanza kutaka mahakama ifuatilie na wazihitimishe kama anahitaji kutiwa pingu atiwe pingu na kusweka Lupango, kwenye ubakaji watoto sina mswalie mtume na mtu yeyote yule! So I challenge you tuambia kesi zilifunguliwa lini na mahakama gani?
 
Mtanzania,

I dont need kwenda kwenye internet wakati mikopo ya Tanzania naijua.

Nimesoma leo kwenye gazeti, interest ya mkopo wa Mbowe was 30%. But that was 1990, sio leo hii with all the credit facilities we have in the market. So it was not right kwangu kusema 30% ilikuwa juu sana kwa mikopo ya NSSF. Nakubali hapo. So tukubaliane kwamba the 30% interest rate sio kwa sababu yeye ni machinga (by the way Mbowe Hotels ina collaterals za kutosha, and they are situated in the prime areas of the city).

Unapopinga compounding, halafu ukasema mimi ndo kilaza, unakosea big time. Mimi nilikuwa nataka kutafuta thamani ya hizo pesa kwa sasa, na hata mahakama ikitaka kutafuta anachodaiwa lazima wafanye compounding, kwani kama ulikuwa hulipi installments ambazo huwa zimeambatana na interest due, then hiyo interest lazima nayo ianze kuzaa faida. Na mind you, tukitafuta thamani ya hizo pesa kwa leo, haitakuwa sahihi kutumia a flat interest rate like hiyo 30% coz market ilikuwa inabadilika hivyo interest nazo (which zinatokana na market forces) lazima zibadilike.

Kwenye mikataba ya mikopo, mtu ukishindwa kulipa, kinachofwata ni kuangalia collaterals ulizoziweka, ambazo zitatumika kulipia mkopo pamoja na malimbikizo ya riba. Kuna levels za haki kwa yule mdai kwenye mali za anayedaiwa, ambazo huwa stipulated kwenye huo mkataba na kutaja hizo mali specifically. Levels za haki zitatumika kuangalia kama utalipwa kwa priority gani in case the same collateral imewekwa kwa mdai mwingine.

Hakuna kitu chochote kwenye mkataba wa mkopo ambao unatoa penalty ya kushindwa kulipa on time zaidi ya malimbiko ya Riba. Ulizia kwenye mabenki yetu hapa Tanzania, na uachane na story za kwenye internet. Riba by the way (KILAZA NAMWELIMISHA MWENYE UPEO MKUBWA NDG MTANZANIA), ni gharama za ile pesa ya watu unayoishikilia, there is no other basis ya kutumia to establish the value zaidi ya kutumia riba. Na riba ambayo hujailipa, nayo utailipia gharama zake...ndo maana nzima ya compounding.

Mkuu,
Kwa hiyo ukishindwa kulipa na kupelekwa mahakamani na kuambiwa ulipe basi
utaishia kulipa mkopo na interest tu? Sio kweli, unalipa mkopo, interests na gharama zote ambazo bank wameingia katika kufuatilia hilo deni lako. Humo kuna pesa za watu kama akina Nkono ambao wanalipwa dola 500 kwa saa.

Ukija jumlisha ni mamilioni ya pesa na zaidi hata ya mara 20 ya pesa uliyokopa.

Kwa case ya Mbowe, kama huo mkopo ulikuwa 30% ilitakiwa atumie SWAP facility
miaka mingi iliyopita maana ni muda mrefu sasa interest ya TZ iko chini ya hiyo 30%. Angeokoa mamilioni ya pesa kwenye interest na hivyo kuepukana na bad publicy anayopata sasa.
 
Wakuu,

Hivi Mbowe si anasoma MBA Hull? Kama msomi wa MBA anaongelea huo mkopo kama anavyoongea Mbowe, basi hiyo course anayosoma haijaingia kichwani.

Karibu kila course ya MBA kuna financial strategy, na kwa mtu aliyesoma hilo somo, huwezi kusema amelipa deni mara tano ya mkopo na akaona ni sawa.

Labda kama na yeye anajua ila anaweka mambo ya siasa.


"Kwa mujibu wa maelezo yake, hadi Juni 30, mwaka jana kampuni hiyo ilikuwa imekwishalipa Sh milioni 75.5; kiasi ambacho ni mara tano ya kiwango cha mkopo."

MBOWE AMEFELI SHULE !
 
Naona kesi imeanza kubadili toka kwenye deni la NSSF baada ya moto kuwaka kwenda kwenye udaku mwingine....... Balile sidhani kama alijua hili kabla ya kuanza haya!

Kama kawaida yangu nimekamata pop corn kushuhudia explosions!
 
Mkuu,
Kwa hiyo ukishindwa kulipa na kupelekwa mahakamani na kuambiwa ulipe basi
utaishia kulipa mkopo na interest tu? Sio kweli, unalipa mkopo, interests na gharama zote ambazo bank wameingia katika kufuatilia hilo deni lako. Humo kuna pesa za watu kama akina Nkono ambao wanalipwa dola 500 kwa saa.

Ukija jumlisha ni mamilioni ya pesa na zaidi hata ya mara 20 ya pesa uliyokopa.

Kwa case ya Mbowe, kama huo mkopo ulikuwa 30% ilitakiwa atumie SWAP facility
miaka mingi iliyopita maana ni muda mrefu sasa interest ya TZ iko chini ya hiyo 30%. Angeokoa mamilioni ya pesa kwenye interest na hivyo kuepukana na bad publicy anayopata sasa.

Mtanzania,

bado nasubiria hata wewe uweke hapa maamuzi ya hii kesi ya Mbowe. Inawezekana kabisa kubishania dhana kwenye kitu ambacho hata NSSF wenyewe kwenye tamko lao wamekataa kusema Mbowe anadaiwa nini na kiasi gani?

Je wewe una data hizo hapa mkuu?! wasaidie NSSF maana wao naona wameanza kukimbia jinamizi walilolianzisha wao wenyewe.
 
Back
Top Bottom