Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Na kweli!

Hawa jamaa kwa nini hawamkamati toka 1990? Wanaogopa nini? Mbona 2005 wakati wa kugombea urais hawakumkamata? Mbona wanatoa maagizo ya mahakama bila ya kuyatekeleza? Wanajua sheria iko upande wake, wanatoa tu matamko ya kuyatumia kisiasa. Kwa nini hawakamati mali yake bilicanas?

Huu ni mkakati wa Rostam wa kuonyesha kuwa pamoja na yeye kuanza kurejesha hela za Kagoda, asikamatwe. Kumbe tofauti yake na Mbowe ni kuwa Rostam alighushi nyaraka na kuiba BOT, Mbowe alikopa na kuna mgogoro kuhusu kiwango cha malipo.

Hapa fisadi Rostam ujue umeshindwa; Balille anakupotosha kama alivyompotosha Lowassa ajitokeze na kujisafisha. Kampeleke tena Hull akajifunze spinning.

Siku zako zinahesabika, ni ama tutakupeleka Segerea au utatoroka kurudi nchi yako ya mapateli matapeli

Asha

iko thread ya RA kama una kitu peleka kule hapa tunamkoma nyani fisani lilikokula penseni za wazee wetu (bwana makengeza).Hull alipelekwa na makengeza lakini kwa ujanja wa balile akaona hakuna future Chadema akamuacha njia panda bwana makengeza.

kwani Tundu lisu alikuwa wapi? hamkufunga mkataba na Balile? mmseshindwa kumbana kisheria Balile mtaiweza nchi?
 
Suala la Mbowe kukopa na kuacha kulipa ni aina ya ufisadi kwani unachukua pesa za watu unafanyia biashara na badala ya kulipa unakaa kimya tu.Sasa tumwite mtu wa aina hii kwa msamiati gani?Mnataka kumpaka rangi ili awe mzuri lakini ananuka kama mafisadi wengine.
 
Suala la Mbowe kukopa na kuacha kulipa ni aina ya ufisadi kwani unachukua pesa za watu unafanyia biashara na badala ya kulipa unakaa kimya tu.Sasa tumwite mtu wa aina hii kwa msamiati gani?Mnataka kumpaka rangi ili awe mzuri lakini ananuka kama mafisadi wengine.

KAKA LA KUVUNDA HALINA UBANI HATA WAMPAKE MARASHI, BWANA MAKENGEZA KAUMIA.
 
KAKA LA KUVUNDA HALINA UBANI HATA WAMPAKE MARASHI, BWANA MAKENGEZA KAUMIA.

Akili za kimachinga. Kila wakati unashindwa vita vya kumchafua Mbowe dada chinga. Rudi kajifunze tena, na kamwambie Rostam ameshindwa! Aanze tena, na asubiri tanzania daima ya jumapili aone mambo, atajificha chooni

Asha
 
vipi kuhusu vogue yake? mbona kuna tetesi kuwa ...............!
 
[Ah. Balahau we. Hapo miguu ipo Ami!!. Kwani kuna mapesa hapo pia yanawahusu wananchi. Nayo yajadili vipi yatarejeshwa. Kama si kujenga darasa japo kiti na meza yaweza nunuwa. Upo Balahau?
 
Huu pia ni chapa ya ufisadi,katika usanii wa AINA YAKE. Tafadhalini jadilini wana-lujna wa JF.
 
Huu pia ni chapa ya ufisadi,katika usanii wa AINA YAKE. Tafadhalini jadilini wana-lujna wa JF.


Chinga,

Mmeshamaliza majadiliano na Rostam mpaka umeamua kuingia kwa gia ya jina lingine kujaribu kuchochea mjadala wa kona nyingine?

Moderators, unganisheni hii na ile nyingine ya kuhusu suala hili iliyoko kwenye siasa ili tuwakome hawa nyani vizuri mpaka giladi.

Asha
 
Chinga,

Mmeshamaliza majadiliano na Rostam mpaka umeamua kuingia kwa gia ya jina lingine kujaribu kuchochea mjadala wa kona nyingine?

Moderators, unganisheni hii na ile nyingine ya kuhusu suala hili iliyoko kwenye siasa ili tuwakome hawa nyani vizuri mpaka giladi.

Asha

hapa watakoma mwaka huu maaana watainamaaa weeeee kisha wakiinuka tayari wamelowa chapa chapa na wizi wao huko ccm. Hii ni JF na watoto hawaiwezi! teh teh teh teh !
 
Hii thread imekaa kama udaku au ilikuwa inapelekwa kwenye vibweka vya wakubwa ikakosea njia.Najua hizi jitihada za kujibu mapigo baada ya kulalamika kuwa Mbowe kamchafua rais wenu.
Lakini mnafanya hivyo kwa kujadili mkopo halali na tayari malalamiko yanashughulikiwa kisheria,hii inaashiria kwamba katika pekua pekua yenu hii ishu ndo mmeona kashfa kubwa kwa Mbowe inayostahili kuja JF.
Hii nguvu mnayotumia hapa bora muendelee kubuni stratey za kudanganya wabongo eti mnarejesha mapesa mliyoiba kisha mjipeleke mahakamani!
Mwanzoni nilipoona heading nilijua kuna ishu muhimu kumbee..aah
shiit!.
 
Suala la Mbowe kukopa na kuacha kulipa ni aina ya ufisadi kwani unachukua pesa za watu unafanyia biashara na badala ya kulipa unakaa kimya tu.Sasa tumwite mtu wa aina hii kwa msamiati gani?Mnataka kumpaka rangi ili awe mzuri lakini ananuka kama mafisadi wengine.


Kakopa pia Club kaikarabati vizuri .

Sasa kama halipi kwa nini asifikishwe mahakamani na mali yake kutaifishwa?

Au serikali ya SISIEMU iko likizo?

Sijasikia jamaa kaburuzwa mahakmani ili alipe kwa nguvu.

Nadhani ufisadi uko serikalini na si upande wa Mbowe. Serikali wanashindwa kumchukulia hatua Mbowe kwa sababu hatua hiyo itaanika aibu za Vingunge wa serikali waliokopa bila% na kuishia kuwakarabati Vimada wao.

Ila hiyo 31% ya Interest???

Sidhani kama kuna Mtanzania ataondokana na ulofa kwa kutozwa Riba kama hiyo. 5% kweli 31%?
 
HUU UFISADI WA KUIMALIZA NSSFLAZIMA UKEMEWE......!PASIPO KUJALI NANI ANAUFANYA NA KUANZA KUU-HALALISHA......!
 
Akili za kimachinga. Kila wakati unashindwa vita vya kumchafua Mbowe dada chinga. Rudi kajifunze tena, na kamwambie Rostam ameshindwa! Aanze tena, na asubiri tanzania daima ya jumapili aone mambo, atajificha chooni

Asha

Bora mimi mmachinga ninaye tembeza vyombo na nguo barabarani nakula jasho langu si la pensioners.

kwani wewe Rostam anakutisha sana? kama amemnyakua huyu mwandishi wenu (Balile) ndio mtaweza kuandika jumapili? najua TANZANIA DAIMA HALINA WANDISHI LINA ISHI KWA KUTUMIA MAKALA ZA WASOMAJI TU
. NITAJIE WANDISHI WA TANZANIA DAIMA? NI MAKALA ZA KARUGENDO, MWANAKIJIJI NA MNYIKA. HAO SI WANDISHI, KAMA GAZETI LIKO SERIOUS LINABIDI KUAJIRI WANDISHI QUALIFIED KULIKO KUTEGEMEA MAKANJANJA KAMA BALILE.

INABIDI SERA ZA MAGAZETI ZIBADILIKE KILA GAZETI LIWE NA WANDISHI SIO KUTEGEMEA MAKALA YA WASOMAJI.

NI AJABU KUBWA TUKIO LIMETOKEA LEO UNATUMABIA TUSUBIRI JUMAPILI? WHY?

NAKUULIZA BWANA MBOWE ALISHINDWA KUWA NA MKATABA WA KUMFANYA BALILE ABAKI? ALWAYS MTU AKISOMESHWA KUNAKUWA NA CLAUSE ZINAZOMBANA MFANO FANYA KAZI HAPA KWA MIAKA MITANO.
KAMA KAINGIA MKATABA HUU BOMU NA BALILE AKIPEWA NCHI ATATUPELEKA WAPI?
 
Bora mimi mmachinga ninaye tembeza vyombo na nguo barabarani nakula jasho langu si la pensioners.

kwani wewe Rostam anakutisha sana? kama amemnyakua huyu mwandishi wenu (Balile) ndio mtaweza kuandika jumapili? najua TANZANIA DAIMA HALINA WANDISHI LINA ISHI KWA KUTUMIA MAKALA ZA WASOMAJI TU
. NITAJIE WANDISHI WA TANZANIA DAIMA? NI MAKALA ZA KARUGENDO, MWANAKIJIJI NA MNYIKA. HAO SI WANDISHI, KAMA GAZETI LIKO SERIOUS LINABIDI KUAJIRI WANDISHI QUALIFIED KULIKO KUTEGEMEA MAKANJANJA KAMA BALILE.

INABIDI SERA ZA MAGAZETI ZIBADILIKE KILA GAZETI LIWE NA WANDISHI SIO KUTEGEMEA MAKALA YA WASOMAJI.

NI AJABU KUBWA TUKIO LIMETOKEA LEO UNATUMABIA TUSUBIRI JUMAPILI? WHY?

NAKUULIZA BWANA MBOWE ALISHINDWA KUWA NA MKATABA WA KUMFANYA BALILE ABAKI? ALWAYS MTU AKISOMESHWA KUNAKUWA NA CLAUSE ZINAZOMBANA MFANO FANYA KAZI HAPA KWA MIAKA MITANO.
KAMA KAINGIA MKATABA HUU BOMU NA BALILE AKIPEWA NCHI ATATUPELEKA WAPI?
KUMBE KELELE ZOTE NI KUWA WAMEKIMBIWA NA BALILE......?
POLENI SANA ASHA NA WENZAKO........!
 
Lowassa alishasema "kama tukianza kuchafuana sidhani kama kuna Mwanasiasa anayeweza kubaki".hii kauli inaonesha ni jinsi gani wanasiasa walivyo wachafu.

Haya ni wakati Mbowe kuja hapa na kujibu tuhuma hizi!

its just a matter of time, because everyone's destiny is reached ! walisema lowassa kaenda kuchunga ng'ombe sasa mbowe ataenda kulima kahawa sooN !
 
sidhani kama hii ni hoja ya kujibiwa maana hili ni suala kibiashara kati ya mbowe na nssf na kama tayari kesi iko mahakamani sijui wewe mwenye hoja hii unataka mbowe akujibu kama hakimu au jaji? naomba ulete hoja zenye kujadilika usituletee umbea wa kiswahi ktk jf na kama huna hoja ni bora ukakaa kimya kuliko kutuletea hoja zisizo na kichwa wala miguu

kama tukisema tusihoji kesi kwa sababu zipo mahakamani, NADHANI KESHO TUKIAMKA SIDHANI KAMA KUNATAKIWA KUWE NA THREAD YOYOTE (maana nyingi ni za tuhuma na kesi zipo mahakamani na watu wanaendelea kuzijadili) !!
 
Back
Top Bottom