Maelezo ya mchakato wa deni hilo yanaonyesha wazi kwamba mkopo huo ulifuata taratibu zote na kuna mikataba ya namna fedha zitakavyolipwa na riba yake. Pia na riba juu ya riba iwapo malipo hayatafanyika kama makubaliano yalivyo, imetajwa. Mkataba ni kati ya Mbowe hotels na NSSF n siyo kati ya Mr. Freeman Mbowe na NSSF.
Mkopo huu si ufisadi; Mtu yeyote anayefuatilia ufisadi katika sakata la EPA atagundua hilo kwa sababu zifuatazo:
-Hiyo si mikopo maana mikopo huwa na mikataba inayoonyesha lengo la mkopo(KATIKA EPA HILO LIPO?)
-Hakuna makubaliano/mikataba ya namna ya kulipa, riba, na faini au riba juu ya riba iwapo mkopo hautalipwa katika muda uliokubaliwa(KATIKA EPA HILO LIPO?)
-Hakuna makubaliano ya lini wataanza na kumaliza kulipa.Na makubaliano hayo hufanyika kabla ya kuchukua mkopo (Ya EPA wanafanya makubaliano miaka 2 baada ya kuchukua)
_Katika mikopo kuna suala la dhamana,na hapa dhamana ni Hotel yenyewe.(KATIKA EPA HILO LIPO?)
Wanaotaka mkopo huu nao uwe wa kifisadi, kwanza wachunguze hayo ya EPA kuona kama mazingira ya kuchukua fedha hizo yanafanana na hii ya Mbowe Hotels?
Kweli mkuki kwa nguruwe...Hapa mafisadi waaina zote, awe wa CCM au Chadema hatuchagui...Wewe huo mkataba wa Mbowe umeuona? Upatikanaji wake je? Je kulikua na uhusiano wowote na Huyu mwana Mkullo ?Tusichulie hili jambo kirahisi rahisi kwa sababu zetu binafsi,kwa mtindo huu habari za EPA na Richmond leo zingekua wapi? Soma habari iliyowekwe na mwanahabari JF siku za nyuma
Mwanahabari
SECTION: ECONOMICS; No. 656
LENGTH: 400 words
HEADLINE: TANZANIA: Dubious loan for CCM
BODY:
About fifty contributors of Tanzania's National Provident Fund (NPF), a parastatal social security system, are considering whether to sue Horace Kolimba, the minister of state in the presidential office, and Mustafa Mkullo, NPF director general for mismanaging 250 million Tanzanian shillings (US$ 470,000). Plaintiffs allege the sum was released contrary to NPF regulations and paid to Kolimba, the secretary general of the government party Chama cha Mapinduzi (CCM), which was the intended beneficiary of the funds. Mkullo is alleged to have taken the decision without consulting the NPF board of directors. Sources claim that only 10 million shillings ever reached the CCM bank account.
Kolimba counterclaims that NPF released 240 million shillings ($ 450,000) to SUKITA, a trading company which is linked with CCM, in the form of a six-month loan. Until recently, SUKITA operated with special tax-exemption facilities which the CCM government granted it, but when the procedure became "uncomfortable", the company turned to NPF for a "loan" and used it to import Kenyan beer for end-of-year festivities. However, SUKITA is coming under increasing market competition and it does not appear at all certain that it will be able to repay the loan and interest due to NPF. In that case, SUKITA executive director John Kapinga is likely to find himself joining the list of suspects possibly being interrogated by a judge on their role in the affair.
I.O.N.- The fifty plaintiffs who have threatened to sue have expressed their "astonishment" that the Organization of Tanzanian Trade Unions (whose secretary general, Bruno Mpangala, is a member of the NPF board of trustees) has not seen fit to intervene in this case of misappropriation of National Provident Fund assets from members' salaries.
LOAD-DATE: January 27, 1995