Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mwanakijiji,

Double standards zako nazijua kwahiyo ni kupoteza muda kujadiliana na mtu ambaye analiangalia jambo kulingana na miwani aliyovaa, amevaa ya mbao au glass.

hahahahh, sasa mtu akishindwa hoja analeta vioja; Mtu aliyevaa miwani na asiye vaa miwani wakiangalia kitu kile kile ukweli kuwa ni wao perception yao inaweza kuwa tofauti lakini kile wanachokiangalia kitabakia kuwa kilivyo independent na miwani yao au uwezo wao wa kuona.


Kumbuka tu Sumaye alikopa NSSF na ilikuwa issue wakati yeye wala hakushindwa kulipa, sasa huyu mheshimiwa ni OK. Kwa mimi hata Mbowe asingeshindwa kulipa, kukopa NSSF tu tayari ni issue kwake na kwa hiyo management ya NSSF.

Ah hilo la Sumaye sikulitolea maoni either way kwa sababu sikumbuki kujadiliwa humu na details zake sizikumbuki.

Kuna watu nawaheshimu CHADEMA na kwenye hili naona wamekaa kimya. I hope wanaelewa tunaongelea nini.

Nakuelewa; lakini kwa upande wangu maoni yangu hayategemei watu wengine wanasema nini au hawasemi nini, maoni yangu ni ya kwangu independent na uongozi wa chadema, nssf, jf au mtu mwingine yoyote.


Sina cha kuongeza tena kwenye huu mjadala.

well hata mimi, tukubaliane kutokubaliana tu.
 

ha ha ha haha!

mlianza na kufeli mtihani mkachemsha, mkaja na deni la NSSF mkafeli, sasa umeanza ya ubakaji watoto, ama kweli sisiemu imeishiwa watendaji.....

Mmeiba pesa za wananchi na kuuza nchi kwa wageni na sasa mmefikia this low! ..... bring it on, kama kawaida ya JF utasubiriwa na kujibiwa accordingly!
 

mnhh somebody is calling names!

moto umekuwakia nini? hii ni JF mkuu unaweza kwenda darhotwire kuchukua breki kidogo.... calling names haitafanya hoja yako iwe kweli!
 

Wewe chinga kama uliishia kusoma NABOCE tu kwa nini kujifanya unajua sana theory za Cost Accounting katika level ya CPA?

Loan hazilipwi kwa approach hiyo kwa sababu kila mtu anakopa kama individual.

KAma hujui ni vema unyamazehakuna atakaye kuona mjinga.
 
Zito na Team yote ya Chademn waliambatana na Mbowe akiwa mkewe alipokuwa akijetea!lakini akina Mwankijiji na wenzie wa JF hatukuwaona au walikuwa nyuma ya camera!

Unasema kana kwamba Jina alokupa mzazi wako na picha yako halisi iko hapo kwenye Atayar yako.

Kweli Tumbili wote wa kwetu mikumi hawaoni mikundu yao ila ya wenzao.
 
Unasema kana kwamba Jina alokupa mzazi wako na picha yako halisi iko hapo kwenye Atayar yako.

Kweli Tumbili wote wa kwetu mikumi hawaoni mikundu yao ila ya wenzao.

watu wengine bwana siLeem unaweza kuwa na mazuri zaidi ya haya ya kujidhalilisha .Jamani CCM inawaua watu wengine wanakuwa wazee ghafla , njaa , maradhi nk bado kuna mtu mwenye akili timamu anaacha kuongelea hoja anatukana watu ?Ukimtukana mwana Kijiji itakusaidia nini hapa JF watu wanakuheshimu kwa hoja si matusi .
 


Chinga ni bingwa wa kupachika hoja mahali zisipo stahili ili tu uonekane mchambuzi.

Mfano wa Waziriwa Uk na huu wa mbowe ni kama Maji na Mafuta.
Ili mafuta na maji yachanganiyikane inahitaji Chemistry ya ziada.

Kesi ya waziri wa UK inafanana na Mambo ya Lowassa hapa kwa Mbowe ni wazembe wa Uchambuzi kamwewe ndiyo wanaweza ona connection.

Bado nakupa ushauri, ni vema ukae kimya kuliko kijisaula kisomi kwa kiwango hiki.
 

Ni vema sasa umeanza kujitoa kwenye Gamba lako na kuonyesha tabia yako kamili ya matusi na Ubabe.

Muda wa kuanza meza sentensi ulizo tapika hapa JF unakuita.
 

huuuuuuuu huuuuuuuuuuuu .... no you didnt!

kumbe chinga amesoma NABOCE na anajaribu kubisha kama CPA. Naona kina Nchimbi na Mkullo ni wengi sana huko sisiemu!
 
Unasema kana kwamba Jina alokupa mzazi wako na picha yako halisi iko hapo kwenye Atayar yako.

Kweli Tumbili wote wa kwetu mikumi hawaoni mikundu yao ila ya wenzao.


Oh snap! hii will go down as the classical example of kumkomaling nyani giledi mchana kweupe!!
 
DUUH!!!
Wameshika kwenye kengele bwana MBOWE, hivi karibuni mkuu wa kanisa la Anglikana alisema kuwa "certain islamic laws must be accomodated akakazia kwa kusema sheria ya benki inayohusu riba ya kiislam inafaa kwa jamii yetu, ndoa na Divorce kwa kuwa hakuna mbadala katika sheria zingine.

Freeman Mbowe ni muhanga wa kauli ya archbishop Dr.Roman.
ilitakiwa kwa umoja wetu tutumie kesi ya Mbowe kuona athari za riba kubwa kwa wateja pale wanapokopa na si kumtetea "bwana mkubwa" kuwa hakuchukua nyingi.

JF kama tungekuwa makini hapa ilikuwa mwanzo wa kuwakomboa wanyonge wengine kama mimi, mwanakijiji,chinga n.k ambao tunapata riba kubwa kwenye mikopo. somo hili Professor Lipumba amekuwa akilitaja mara kwa mara.

lakini tumekalia kutetea mtu mmoja badala ya jamii nzima kama Mbowe anashindwa kulipa deni, inafika mahala mke wake anapelekwa mahakani na baba yake (Mzee Mtei) ni mtu mwenye heshima kwenye jamii, inakuwaje anapopatikana Kingwendu na mkopo wa benki?

hivi hamjawahi kuona nyumba zinapigwa mnada na inaandikwa kuwa kwa niaba ya mahakama nyumba kadhaa zitapigwa mnada siku ya jumapili na kampuni ya Majembe Auction Mart?

hatujiulizi inakuwaje hawa wanyonge waliokopa milioni moja au mbili inapelekea nyumba nzima kuchukuliwa? leo tunamtetea tu bwana Mbowe bila kutizama jambo hili kwa mapana na marefu.

well Mbowe atakingiwa kifua na pressure itatiwa kuwa sababu za kisiasa na asamehewe.

swali kila anayedaiwa atumie kinga ya siasa? deni hili kalikopa kabla Chadema haijazaliwa wala vyama vingi.

Tukubali kuwa ni siasa zinatumika kumvuruga lakini alikopa kabla ya kuwa mwanasiasa na kama ni siasa deni hili lingetajwa 2005 wakati anagombea urais lakini hatukuona na huu si wakati wa kampeni za urais? au kuna kampeni za uchaguzi hivi sasa? kwa mujibu wa tume ya uchaguzi mimi sijasikia.

Chadema kama chama cha demokrasia kinaweza kumsimamisha Mwanakijiji au Chinga kwenye nafasi ya urais, lakini kujaribu kuibinafsisha nafasi ya urais kwa Mbowe tu ni kuiminya demokrasia kwa wengine.

Jamani badilikeni tukitumia ujinga huu (uzezeta) itafika mahala hata jambazi ataingia upinzani na kuvamia mabenki akikamatwa tunasema siasa imetumika kumuharibu, Mahalu nae ni Chadema?

Hivi watu hawawezi kusema kuwa chepeo ni chepeo na si jembe?

Mbowe ni binadamu ana mapungufu yake vipi leo mnataka kumfanya malaika? na kibaya zaidi maisha yake hakujiandaa kama atakuja kuwa Mwanasiasa hivyo ana uchafu mwingi.

Naomba wataalam wa masuala ya benki waje hapa.kuna watu wengi hawatumii Credit Cards kwa kuogopa riba(Interest).

Milioni 15 ni fedha za umma na ni nyingi sana huhitaji kusoma Mzumbe University kulijua hilo.
 

 
Nungwi kuna mtu kasema Mbowe asirudishe fedha?

Kesi hii iko Mahakamani kwa nini hatusubiri uamuzi wa Mahakama kama sheria itutakavyo?

Wezi wetu wa EPA wana lindwa na Serikali ya SISIEMU kibaya zaidi serikali inasemekana imewaruhusu na kuwapa baraka za kuvunja sheria ya makosa ya jinai. Majina yao pia hayasemwi.

Wezi wa EPA wanalindwa kwa gharama za fedha zetu, waliiba hawakukopa. Sihivyo tu wizi wao ulihusisha kampuni ambazo zilijisajiri kitapeli.

MH Nungwi ni nani utamshuparia;

Moja,Mtu ambaye kakopa kalipa sehemu ya deni na sasa anaburutwa kwenye vyombo vya sheria ili haki itendeke

Mbili,Mtu ambaye kaiba benki kwa kugushi kampuni ambaye pia analindwa na serikali kwa nguvu zote na kuruhusiwa kuvunja sheria za nchi za makosa ya jinai wazi wazi na ambaye benki haina mpango wa kumkokota mahakamani
 

Mapambano yawe ya kiFikra kuliko kuwa ya mateke ngumi na vikumbo.
 

Hizo sheria zako zipeleke huko huko kwani Tanzania haina dini ila ina waumini wa dini.


Ungekuwa unaweka hizo quotes hapa ingekuwa vyema zaidi ya kutoa generalization ambazo hazithibitishwi hapa. Story hapa ni NSSF wakikana habari za magazeti ya rostam Azizi kuwa Mbowe kafilisi NSSF!

lakini tumekalia kutetea mtu mmoja badala ya jamii nzima kama Mbowe anashindwa kulipa deni, inafika mahala mke wake anapelekwa mahakani na baba yake (Mzee Mtei) ni mtu mwenye heshima kwenye jamii, inakuwaje anapopatikana Kingwendu na mkopo wa benki?

Haya ya Mtei sijui yanakuja vipi hapa ila inaonekana una mengi so bring it on ili yajadiliwe


Waambie NSSF wafute kesi mahakamani na waanze kuuza nyumba na biashara za mbowe, mbona unaelekeza barking zako to a wrong tree


Haya ni maneno yako mwenyewe na hayajasemwa hapa JF


Ukianza kuona wenzako mazezeta, ndiyo unazidi kujidhihirisha who you real are



Nadhani unaweza kutumia elimu yako ya mzumbe kujua kuwa hizo millioni kumi na tano Mbowe ameshalipa na kinachogombewa ni terms za mkopo ambao NSSF wameamua kubadilisha baada ya kujikuta wanatoa mikopo nafuu kwa wenzao (manji) kufuja pesa (Mkullo) na wakakosa mtu wa kumsukumia makosa (a cow to blame).

Mahakama imalize kesi na Mbowe ajulishwe ni kiasi gani anadaiwa kihalali ili alipe. Meanwhile, wote waliokopa au kujipatia pesa hapo NSSF wawekwe hadharani (akiwemo Mkullo na JK aliyemteua kuwa waziri wa fedha).

This is just the begining
 


Nungwi tujadili sasa unajua ile Richmondli na EPA tunadai kiasi gani? Usitumie bunduki katika kuua Inzi.
 
usimpeleke huko kwanza aje ajibu swali kama Mbowe amelipa shilingi milioni 15 alizokopa NSSF au la?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…