Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,045
- 643
Nchi za wenzetu ukifilisika/filisiwa unaachia ngazi zote za kisiasa ulizonazo!
Na ukiwa milionea bila ya chanzo hasa cha huo ukwasi kujulikana huku ni kiongozi wa umma unafanyaje kwenye nchi za wenzetu...!