na ndio maana naona wamenyuti suala la BOT kuhusu mambo fulani, kumbe kimya chao kina maana, anha, sasa subiri !
Mwanakijiji halijui hili. kwa vile haijui siasa wala nchi haijui.Chadema inatumuika kama NGO nyingine kuchukua pesa ulaya kwa ajili ya maslahi binafsi.
kuna watu wamefungua NGO za kusaidia yatima, wajane au wagonjwa wa ukimwi in Theory,lakini practically hawafanyi chochote.
vilipoanza vyama vingi mzee Mtei alikuwa hana kazi analima shamba lake kule Arusha.
akaamua kuanzisha Chama ili aishi kwa ruzuku. Wachagga wengi walishtukia deal hii ya vyama vya siasa. wengi wao walikuwa na nia ya kujikombia kimaisha. Wachagga wafutao walianzisha vyama.
1-James Mbatia baada ya kufukuzwa chuo kikuu akaenda NCCR kama ajira yake huyu ni mchagga.
2-ULOTU huyu ni mchagga alianzisha chama cha NRA kama mradi wake.
3-MZEE MTEI na Mkwe wake Freeman Mbowe na mtoto wa mtei Liliani Mtei ambaye ni mke wa Mbowe walianzisha chama cha Chadema baada ya Mbowe kuwa jobless na mzee Mtei kuwa mkulima arusha.
4-Professor Shayo huyu nae mchagga alianzisha chama kama mradi wake binafsi.
5-Anna senkoro(mchagga) nae alianzisha chama kama mradi wa kumfanya aishi.
6-Mrema na Ngawaiya nao wakaingia TLP kama mradi wao wa maisha ni wachagga.
kulikuwa na Mvungi nae anatoka kilimanjaro kwenye biashara ya Vyama vya siasa kama miradi.
Mwanakijiji anajua kuwa Mbowe analamba Conservative Party YA UK?
6-