Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Na kwa maneno haya asikimbie mtu hapa JF ! Njoeni sasa mseme au mkanushe !

Professor Malima alikuwa na ripoti ya kuungua kwa Benki kuu, jamaa kuona hivyo wakamuua kumuua, nadhani baada ya EPA kwende kwenye benki kuu kuungua.

INAKUWAJE Mtei awe gavana bila kuwa na qualification yeyote? B.A LITERATURE na benki wapi na wapi? wachaga wa Chadema wameunguza Benki kuu yetu wana jipya lipi? mafisadi tu.
 
na ndio maana naona wamenyuti suala la BOT kuhusu mambo fulani, kumbe kimya chao kina maana, anha, sasa subiri !
 
Sakata la Mbowe na NSSF hiyo ilikuwa wana beep tu!Ni kafisadi kadogo tu!Subrini kuna mabom ya Mbowe yanakuja fom NHC na Bank Kuu!sio muda mrefu!wafuasi wake humuwatabadili majina humu ndani!
Watu wapo Marekani wanajifanya wanaijua kila kitu cha Tanzania!!Waacheni wabweke tu!

iSSUE YA BENKI KUU NIUJUA HADI KUICHOMA MOTO. watalia.Mbowe alikuwa karani benki-kuu.
 
iSSUE YA BENKI KUU NIUJUA HADI KUICHOMA MOTO. watalia.Mbowe alikuwa karani benki-kuu.

wao si wanajifanya wasafi huku wanaowachunguza wanasema ni wachafu. SASA SISI HAPA TUNAENDELEA KUMCHUNGUZA KUKU(MBOWE) HALAFU TUONE KAMA WATAMLA ! SI WALIANZA WENYEWE, SASA ASIKIMBIE MTU HAPA !
 
na ndio maana naona wamenyuti suala la BOT kuhusu mambo fulani, kumbe kimya chao kina maana, anha, sasa subiri !

Mwanakijiji halijui hili. kwa vile haijui siasa wala nchi haijui.Chadema inatumuika kama NGO nyingine kuchukua pesa ulaya kwa ajili ya maslahi binafsi.

kuna watu wamefungua NGO za kusaidia yatima, wajane au wagonjwa wa ukimwi in Theory,lakini practically hawafanyi chochote.

vilipoanza vyama vingi mzee Mtei alikuwa hana kazi analima shamba lake kule Arusha.

akaamua kuanzisha Chama ili aishi kwa ruzuku. Wachagga wengi walishtukia deal hii ya vyama vya siasa. wengi wao walikuwa na nia ya kujikombia kimaisha. Wachagga wafutao walianzisha vyama.

1-James Mbatia baada ya kufukuzwa chuo kikuu akaenda NCCR kama ajira yake huyu ni mchagga.

2-ULOTU huyu ni mchagga alianzisha chama cha NRA kama mradi wake.

3-MZEE MTEI na Mkwe wake Freeman Mbowe na mtoto wa mtei Liliani Mtei ambaye ni mke wa Mbowe walianzisha chama cha Chadema baada ya Mbowe kuwa jobless na mzee Mtei kuwa mkulima arusha.

4-Professor Shayo huyu nae mchagga alianzisha chama kama mradi wake binafsi.
5-Anna senkoro(mchagga) nae alianzisha chama kama mradi wa kumfanya aishi.

6-Mrema na Ngawaiya nao wakaingia TLP kama mradi wao wa maisha ni wachagga.

kulikuwa na Mvungi nae anatoka kilimanjaro kwenye biashara ya Vyama vya siasa kama miradi.

Mwanakijiji anajua kuwa Mbowe analamba Conservative Party YA UK?
6-
 
Mwanakijiji halijui hili. kwa vile haijui siasa wala nchi haijui.Chadema inatumuika kama NGO nyingine kuchukua pesa ulaya kwa ajili ya maslahi binafsi.

kuna watu wamefungua NGO za kusaidia yatima, wajane au wagonjwa wa ukimwi in Theory,lakini practically hawafanyi chochote.

vilipoanza vyama vingi mzee Mtei alikuwa hana kazi analima shamba lake kule Arusha.

akaamua kuanzisha Chama ili aishi kwa ruzuku. Wachagga wengi walishtukia deal hii ya vyama vya siasa. wengi wao walikuwa na nia ya kujikombia kimaisha. Wachagga wafutao walianzisha vyama.

1-James Mbatia baada ya kufukuzwa chuo kikuu akaenda NCCR kama ajira yake huyu ni mchagga.

2-ULOTU huyu ni mchagga alianzisha chama cha NRA kama mradi wake.

3-MZEE MTEI na Mkwe wake Freeman Mbowe na mtoto wa mtei Liliani Mtei ambaye ni mke wa Mbowe walianzisha chama cha Chadema baada ya Mbowe kuwa jobless na mzee Mtei kuwa mkulima arusha.

4-Professor Shayo huyu nae mchagga alianzisha chama kama mradi wake binafsi.
5-Anna senkoro(mchagga) nae alianzisha chama kama mradi wa kumfanya aishi.

6-Mrema na Ngawaiya nao wakaingia TLP kama mradi wao wa maisha ni wachagga.

kulikuwa na Mvungi nae anatoka kilimanjaro kwenye biashara ya Vyama vya siasa kama miradi.

Mwanakijiji anajua kuwa Mbowe analamba Conservative Party YA UK?
6-

hadi hapa nilipofika mkuu CHINGA, sidhani kama kuku(MBOWE) ataliwa baada ya kuchunguzwa. Maana wengi wao uzuri wa kuku(Mbowe) waliuona wakati anataga mayai, sasa kuku huyu kaanza kuhara watu wanauliza kulikoni, subiri tumchunguze, na sasa twamchunguza yakhe ili tupate jua kama kuku ataliwa !

atapona mtu kweli mwaka huu ? (MBOWE NAJUA ULIONGEA KWA HASIRA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KWAMBA HUTISHIKI BAADA YA KADAMPINZANI KUKUKAZANIA KUHUSU DENI LAKO LA MAPESA YA WATANZANIA ULIYOKATAA KULIPA,NA KWA KUWA HUKUWA NA HEKIMA YA KUTOSHA UKAAMUA KULIPAKA HILO SUALA LAKO KUWA LA KISIASA NA KUSEMA WANAOFILISI NI WANACCM UTADHANI WALIOKUWA WANAKUDAI NA WALIOLETA HAYO MADAI NI WANACCM(HEKIMA YAKO ILIKIMBILIA WAPI WAKATI UNAONGEA HAYA?), SASA MKUU CHINGA NAYE KATIA MAGUU, JE UTAKASIRIKA TENA AU UTAPIGA KICHWA UKUTA YAKHE ?)!!
 
wao si wanajifanya wasafi huku wanaowachunguza wanasema ni wachafu. SASA SISI HAPA TUNAENDELEA KUMCHUNGUZA KUKU(MBOWE) HALAFU TUONE KAMA WATAMLA ! SI WALIANZA WENYEWE, SASA ASIKIMBIE MTU HAPA !

Kada,

usianze kutangaza ushindi bubu kwa kuwa unajua kuwa ninakuwa off kila weekend kuachia vidali po uwanja wajisikie kidogo. Nitarudi jumanne (GOD'S willing) kufanya kile nifanyacho best hapa... kuwapa hell mafisadi wanaouza nchi kwa wakoloni kwa msaada wa JM Kikwete!

Karibu Dallas.... halali mtu mpaka Easter Monday!

Kuwa na Easter na Maulidi njema!

Thanks!
 
kiss his *hahaaaa*..........you can kiss it baby !

Kada,

usianze kutangaza ushindi bubu kwa kuwa unajua kuwa ninakuwa off kila weekend kuachia vidali po uwanja wajisikie kidogo. Nitarudi jumanne (GOD'S willing) kufanya kile nifanyacho best hapa... kuwapa hell mafisadi wanaouza nchi kwa wakoloni kwa msaada wa JM Kikwete!

Karibu Dallas.... halali mtu mpaka Easter Monday!

Kuwa na Easter na Maulidi njema!

Thanks!
 
Kada,

usianze kutangaza ushindi bubu kwa kuwa unajua kuwa ninakuwa off kila weekend kuachia vidali po uwanja wajisikie kidogo. Nitarudi jumanne (GOD'S willing) kufanya kile nifanyacho best hapa... kuwapa hell mafisadi wanaouza nchi kwa wakoloni kwa msaada wa JM Kikwete!

Karibu Dallas.... halali mtu mpaka Easter Monday!

Kuwa na Easter na Maulidi njema!

Thanks!

mimi nani yako mpaka nijue schedule yako ? kajikune kwingine sio kwangu ! kwanza sikujui !
 
Kada,

usianze kutangaza ushindi bubu kwa kuwa unajua kuwa ninakuwa off kila weekend kuachia vidali po uwanja wajisikie kidogo. Nitarudi jumanne (GOD'S willing) kufanya kile nifanyacho best hapa... kuwapa hell mafisadi wanaouza nchi kwa wakoloni kwa msaada wa JM Kikwete!

Karibu Dallas.... halali mtu mpaka Easter Monday!

Kuwa na Easter na Maulidi njema!

Thanks!

mimi nani yako mpaka nijue schedule yako ? hatushei kitanda kimoja, godoro, wala shuka. iweje nijue schedule yako? mimi nani yako ? sikujui, kajikune kwingine sio kwangu !
 
mimi nani yako mpaka nijue schedule yako ? hatushei kitanda kimoja, godoro, wala shuka. iweje nijue schedule yako? mimi nani yako ? sikujui, kajikune kwingine sio kwangu !

mhhh.... kulikuwa na sababu yoyote ya kunidivosi in public ..lol

watoto wetu nani atawalea sasa kama unanitosa in public hivi...lol?

kuwa na easter na maulid njema.... see u tuesday!
 
mimi nani yako mpaka nijue schedule yako ? kajikune kwingine sio kwangu ! kwanza sikujui !

mhhh.... kulikuwa na sababu yoyote ya kunidivosi in public ..lol

watoto wetu nani atawalea sasa kama unanitosa in public hivi...lol?

kuwa na easter na maulid njema.... see u tuesday!
 
mhhh.... kulikuwa na sababu yoyote ya kunidivosi in public ..lol

watoto wetu nani atawalea sasa kama unanitosa in public hivi...lol?

kuwa na easter na maulid njema.... see u tuesday!

eh, basi mi simo ! anyway happy easter na uje hapa jumanne tuonane ! Chinga nadhani atakuwa anakusubiri kwa hamu pia, msalimie Mwanakijiji, maana hata nikimsalimia atakataa salamu, mwenyewe anadai amepoteza taste ya kusoma posts zangu !

alamsiki ! na mie natoka naenda msikitini kusoma maulid kidogo halafu ntapitia kanisani kidogo kwa ajili ya shughuli ya pasaka !
 
NAAM NAJUA TUKO AWAY WENZETU WAKO HOME GROUND. ILA TUTAWAKOMA GLADI HATA KAMA MAREFARI (MODS) NI WATU WAO.

Naona wamekoma sijui Mbowe atamtimua kazi Mwanakijiji kwa kushindwa kazi JF?
 
Mwanakijiji halijui hili. kwa vile haijui siasa wala nchi haijui.Chadema inatumuika kama NGO nyingine kuchukua pesa ulaya kwa ajili ya maslahi binafsi.

kuna watu wamefungua NGO za kusaidia yatima, wajane au wagonjwa wa ukimwi in Theory,lakini practically hawafanyi chochote.

vilipoanza vyama vingi mzee Mtei alikuwa hana kazi analima shamba lake kule Arusha.

akaamua kuanzisha Chama ili aishi kwa ruzuku. Wachagga wengi walishtukia deal hii ya vyama vya siasa. wengi wao walikuwa na nia ya kujikombia kimaisha. Wachagga wafutao walianzisha vyama.

1-James Mbatia baada ya kufukuzwa chuo kikuu akaenda NCCR kama ajira yake huyu ni mchagga.

2-ULOTU huyu ni mchagga alianzisha chama cha NRA kama mradi wake.

3-MZEE MTEI na Mkwe wake Freeman Mbowe na mtoto wa mtei Liliani Mtei ambaye ni mke wa Mbowe walianzisha chama cha Chadema baada ya Mbowe kuwa jobless na mzee Mtei kuwa mkulima arusha.

4-Professor Shayo huyu nae mchagga alianzisha chama kama mradi wake binafsi.
5-Anna senkoro(mchagga) nae alianzisha chama kama mradi wa kumfanya aishi.

6-Mrema na Ngawaiya nao wakaingia TLP kama mradi wao wa maisha ni wachagga.

kulikuwa na Mvungi nae anatoka kilimanjaro kwenye biashara ya Vyama vya siasa kama miradi.

Mwanakijiji anajua kuwa Mbowe analamba Conservative Party YA UK?
6-

Duuh!!!
Hawa jamaa wako sharp sana wameona siasa ndio biashara badala ya kuwa na mabaa, Guest House na maduka ya spea za magari.

hivi ni lazima kila mchaga awe na baa? bwana Mbowe nae anayo yake.
 
Back
Top Bottom