Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

asha abdalla leo uko wapi ? njoo basi utujibu dada ! au ndio upo mafichoni tena ?
 
NA HILI LA SISTER WA MBOWE KUTORUDI TZ LINAHITAJI MAJIBU ZAIDI YA CHENGA.......!

Wakuu wote heshima mbele, naomba kurekebisha hili la dada wa Freeman, Selina, ambaye ni rafiki yangu sana na tunawasiliana sana all the time,

1. Si kweli kwamba anaogopa kurudi nyumbani, ameolewa na ana watoto wawili na anaishi na mumewe, na ni mwaka jana tu alikuwa nyumbani hapa bongo kwa likizo ya muda wa miezi miwili, akiwa na watoto wake, walianzia Dar, na baadaye kwenda kijijini huko Machame, baadaye kurudi Dar, kabla ya kwenda tena huko US wanakoishi yeye na mumewe, sasa hii ya kuogopa kurudi sio kweli kabisaa kwa aliyeileta hapa hii ni uongo wa mchana tena kweupeee!

2. Kwamba ati aliiiba hela BOT, no way! kwanza nyumbani kwao hakujawahi kuwa na shida ya yeye kufikia kuiba, I mean yeye ni mcha Mungu wa kweli ambaye hata hawezi kuokota hela ambayo sio yake, kwenye hili mmeeenda mbali kidogo wakuu, nime spend a lot of time nyumbani kwao Sea View no way ninasema kuwa anaweza kuiba hela ya mtu, kwa wale mlioileta hii ya kumchafua huyu dada, naomba mumuombe Mungu wenu radhi, maana sio ustaarabu kabisa, siasa ziishie kwa kaka yake ambaye najua kuwa anao ubavu wa kusimama mwenyewe, lakini msisogeze mashambulizi yenu kwa innocent people, ambao hawawezi kuja hapa kujitetea,

Kuna wanaojaribu ku-raise their families in the right way, na huyu dada ni mmoja wao, sasa what is this? Wakuu acheni hizi ni just too low.

Ahsanteni Wakuu.
 
Wakuu wote heshima mbele, naomba kurekebisha hili la dada wa Freeman, Selina, ambaye ni rafiki yangu sana na tunawasiliana sana all the time,

1. Si kweli kwamba anaogopa kurudi nyumbani, ameolewa na ana watoto wawili na anaishi na mumewe, na ni mwaka jana tu alikuwa nyumbani hapa bongo kwa likizo ya muda wa miezi miwili, akiwa na watoto wake, walianzia Dar, na baadaye kwenda kijijini huko Machame, baadaye kurudi Dar, kabla ya kwenda tena huko US wanakoishi yeye na mumewe, sasa hii ya kuogopa kurudi sio kweli kabisaa kwa aliyeileta hapa hii.

2. Kwamba ati aliiiba hela BOT, no way! kwanza nyumbani kwao hakujawahi kuwa na shida ya yeye kufikia kuiba, I mean yeye ni mcha Mungu wa kweli ambaye hata hawezi kuokota hela ambayo sio yake, kwenye hili mmeeenda mbali kidogo wakuu, I have spend a lot of time nyumbani kwao Sea View no way ninasema kuwa anaweza kuiba helka ya mtu, kwa wale mlioileta hii ya kumchafua huyu dada, naomba mumuombe Mungu wenu, maana sio ustaarabu kabisa, siasa ziishie kwa kaka yake ambaye najua kuwa anao ubavu wa kusimama mwenyewe, lakini msisogeze mashambulizi yenu kwa innocent people,

Kuna wanaojaribu ku-raise their families in the right way, na huyu dada ni mmoja wao, sasa what is this? Wakuu acheni hizi ni just too low.

Ahsanteni Wakuu.

Mkulu FMES,

kuna watu wameamua kuwa watamchafua Mbowe na wapinzani kwa gharama yoyote na haishangazi kuwa wanaleta na hili hapa au hilo la kuwa Mbowe ametembea na mke wa mkapa au mke wa Kikwete. How low can these guys go!?
 
Mtanzania,

nimekuuliza hili swali over and over again kuwa Mbowe anadaiwa kiasi gani na terms za deni lake ni zipi lakini naona umeamua kukaa kimya....

Wakati mwingine NSSF wamesema kuwa Mbowe alipewa miaka mitano ya kulipa deni lake na wakati mwingine wakafungua kesi ya kudai kuwa pesa yote waliyoamua wao NSSF ilipwe. Kama mahakama za Tanzania haziamua swala muhimu kama hili je hiyo kesi ya mafisadi inayokuja ambayo hata Kikwete mwenyewe yumo zitaamua?

Bado nataka hii thread iwe hapa juu kabisa ili ijadiliwe kwa undani na uongo na ukweli wa hili deni la Mbowe ujulikane!

Mwafrika wa Kike,

Unataka nijibu mara ngapi? Nilishasema mimi sijui Mbowe anadaiwa ngapi na wala hiyo sio msingi wa hoja yangu. Ninachojua anadaiwa kwasababu yeye mwenyewe kasema hivyo na pia NSSF wamesema wanamdai.

Binafsi sijali anadaiwa shilingi moja au bilioni moja. Hoja hapa ni kwamba kashindwa kumaliza deni kwenye mfuko wa walala hoi kwa miaka 18. Pia kama
ambavyo nimeandika mara nyingi, ile kukopa NSSF tu tayari ni issue.

Mikopo karibu yote ya NSSF au NPF inaongizana na cronysm au corruption. Ni watu wangapi maskini wanaoweza kukopa huko hata kama wana sifa zote? Ni yale yale ya wanasiasa na matajiri kuacha shule zinakufa wakati wao wanapeleka watoto wao kusoma nje ya nchi.

Mikopo TZ ni tatizo, tatizo hilo litatatuliwa tu pale ambapo wanasiasa wataacha kukimbilia kukopa kwenye mifuko ya wanyonge na badala yake kutafuta
suluhisho la kudumu juu ya tatizo hilo.

Sijali ni Mbowe au Sumaye, msimamo wangu juu ya hilo suala ni huo huo.
 
Mwafrika wa Kike,

Unataka nijibu mara ngapi? Nilishasema mimi sijui Mbowe anadaiwa ngapi na wala hiyo sio msingi wa hoja yangu. Ninachojua anadaiwa kwasababu yeye mwenyewe kasema hivyo na pia NSSF wamesema wanamdai.

Binafsi sijali anadaiwa shilingi moja au bilioni moja. Hoja hapa ni kwamba kashindwa kumaliza deni kwenye mfuko wa walala hoi kwa miaka 18. Pia kama
ambavyo nimeandika mara nyingi, ile kukopa NSSF tu tayari ni issue.

Mikopo karibu yote ya NSSF au NPF inaongizana na cronysm au corruption. Ni watu wangapi maskini wanaoweza kukopa huko hata kama wana sifa zote? Ni yale yale ya wanasiasa na matajiri kuacha shule zinakufa wakati wao wanapeleka watoto wao kusoma nje ya nchi.

Mikopo TZ ni tatizo, tatizo hilo litatatuliwa tu pale ambapo wanasiasa wataacha kukimbilia kukopa kwenye mifuko ya wanyonge na badala yake kutafuta
suluhisho la kudumu juu ya tatizo hilo.

Sijali ni Mbowe au Sumaye, msimamo wangu juu ya hilo suala ni huo huo.

Kadri ninavyojua, mashirika kama NSSF yanajiendesha kwa kutoa mikopo ili kutumia faida iliyopatikana kulipa benefits za walio tunza pesa huko.

Swala la nani anaruhusiwa kukopa NSSF na nani aruhusiwi silijui lakini ninavyojua ni kuwa linatakiwa kutoa mikopo na kuwa na miradi ili kupata pesa ya kulipa mafao kwa wawekezaji wake.

SS ya Marekani ni mkopeshaji mzuri sana kwa serikali kuu ya US. Na so far nadhani NSSF ingekuwa inafanya the same thing pia. Deni la Mbowe linabishaniwa na NSSF yenyewe ambayo imekanusha kuwa sio kweli deni la Mbowe limefilisi shirika.

Kwa vile wote hapa hatujui kuwa mbowe anadaiwa kiasi gani, na kwa vile NSSF ndio wamefungua kesi mahakamani dhidi ya Mbowe na huku Mbowe naye akifungua kesi kupinga namna walivyofanya hesabu ya riba, nadhani tuungane hapa ili kushinikiza kuwa madeni yote ya NSSF (kuanzia ya kina Mkullo, Manji, Rostam, na Kikwete pamoja na hili la Mbowe) yakachunguzwa na tume huru ya bunge ili ijulikane nani alikopa nini na kwa riba gani!

Siwezi kukataa kuamini kuwa NSSF wanapandisha deni hili kwa makusudi na wanachelewa kumaliza hii case ili waitumie kama leverage dhidi ya Mbowe kisiasa. Kama vile ninavyodai kuwa serikali ivunje mikataba mibovu ya iptl, ningedai pia kuwa Mbowe asikubali kubadilishiwa terms za mkopo wake kwa sababu zozote zile.

Kwa sasa... inasubiriwa report huru ya kuonesha terms na thamani halisi ya mkopo wa Mbowe, otherwise bado sishangai kuwa Mkullo ni waziri wa fedha pamoja na kashfa zote alizonazo....connecting the dots here!
 
na dawa ya deni siku ni kulipa, mbowe umeambiwa na nani maongezi yatalipa ??
 
siku zote nashangaa mbowe anakuwaga wapi kuja kujibu vitu vya namna hii !
 
Kadri ninavyojua, mashirika kama NSSF yanajiendesha kwa kutoa mikopo ili kutumia faida iliyopatikana kulipa benefits za walio tunza pesa huko.

Swala la nani anaruhusiwa kukopa NSSF na nani aruhusiwi silijui lakini ninavyojua ni kuwa linatakiwa kutoa mikopo na kuwa na miradi ili kupata pesa ya kulipa mafao kwa wawekezaji wake.

SS ya Marekani ni mkopeshaji mzuri sana kwa serikali kuu ya US. Na so far nadhani NSSF ingekuwa inafanya the same thing pia. Deni la Mbowe linabishaniwa na NSSF yenyewe ambayo imekanusha kuwa sio kweli deni la Mbowe limefilisi shirika.

Kwa vile wote hapa hatujui kuwa mbowe anadaiwa kiasi gani, na kwa vile NSSF ndio wamefungua kesi mahakamani dhidi ya Mbowe na huku Mbowe naye akifungua kesi kupinga namna walivyofanya hesabu ya riba, nadhani tuungane hapa ili kushinikiza kuwa madeni yote ya NSSF (kuanzia ya kina Mkullo, Manji, Rostam, na Kikwete pamoja na hili la Mbowe) yakachunguzwa na tume huru ya bunge ili ijulikane nani alikopa nini na kwa riba gani!

Siwezi kukataa kuamini kuwa NSSF wanapandisha deni hili kwa makusudi na wanachelewa kumaliza hii case ili waitumie kama leverage dhidi ya Mbowe kisiasa. Kama vile ninavyodai kuwa serikali ivunje mikataba mibovu ya iptl, ningedai pia kuwa Mbowe asikubali kubadilishiwa terms za mkopo wake kwa sababu zozote zile.

Kwa sasa... inasubiriwa report huru ya kuonesha terms na thamani halisi ya mkopo wa Mbowe, otherwise bado sishangai kuwa Mkullo ni waziri wa fedha pamoja na kashfa zote alizonazo....connecting the dots here!

Mwafrika wa Kike,

Website ya NSSF ni hii hapa chini, niambie wapi ambapo angalau wanaongelea kwamba wanakopesha?
http://www.nssf.or.tz/

Of course ukiwa na cheo au pesa za kuhonga, watakukopesha tu, hata kama ni nje ya utaratibu wao.
 
hivi KIDULA nafanya nini pale NSSF

mpaka leo sielewi


hivi kuna mtu anaweza kunisaidia kwenye hili?
 
Mwafrika wa Kike,

Website ya NSSF ni hii hapa chini, niambie wapi ambapo angalau wanaongelea kwamba wanakopesha?
http://www.nssf.or.tz/

Of course ukiwa na cheo au pesa za kuhonga, watakukopesha tu, hata kama ni nje ya utaratibu wao.

This is another reason why I called for an independent investigation ya madeni yote ya NSSF kuanzia la Mbowe hadi hili la bilioni 40 alilopewa Manji!

Kuna mengi sana yatajulikana mara tu mahakama ikiamua kutolea uamuzi deni la Mbowe na bunge likachunguza pesa za NSSF kuanzia 1990 hadi juzi Mkullo alivyoteuliwa kuwa waziri wa fedha!
 
Mwafrika wa Kike,

Website ya NSSF ni hii hapa chini, niambie wapi ambapo angalau wanaongelea kwamba wanakopesha?
http://www.nssf.or.tz/

Of course ukiwa na cheo au pesa za kuhonga, watakukopesha tu, hata kama ni nje ya utaratibu wao.

mzee kuna makosa mawili katika swali lako:

a. Kwanza wakati Mbowe anakopa shirika alilokopa halikuwa NSSF ilikuwa ni NPF ambayo ilikuwa inaongozwa na sheria nyingine tofauti. Sheria ya wakati ule iliwezesha kukopesha na ndio maana Sukita, na vyombo vingine viliweza kukopa toka huko.

b. Kwa kuangalia website huwezi kuona yote ambayo NSSF inaweza kufanya kisheria. Hivyo nipendekeze uangalie sheria iliyounda shirika hilo ya mwaka 1997 Ibara ya 62.
 
Wakuu wote heshima mbele, naomba kurekebisha hili la dada wa Freeman, Selina, ambaye ni rafiki yangu sana na tunawasiliana sana all the time,

1. Si kweli kwamba anaogopa kurudi nyumbani, ameolewa na ana watoto wawili na anaishi na mumewe, na ni mwaka jana tu alikuwa nyumbani hapa bongo kwa likizo ya muda wa miezi miwili, akiwa na watoto wake, walianzia Dar, na baadaye kwenda kijijini huko Machame, baadaye kurudi Dar, kabla ya kwenda tena huko US wanakoishi yeye na mumewe, sasa hii ya kuogopa kurudi sio kweli kabisaa kwa aliyeileta hapa hii ni uongo wa mchana tena kweupeee!

2. Kwamba ati aliiiba hela BOT, no way! kwanza nyumbani kwao hakujawahi kuwa na shida ya yeye kufikia kuiba, I mean yeye ni mcha Mungu wa kweli ambaye hata hawezi kuokota hela ambayo sio yake, kwenye hili mmeeenda mbali kidogo wakuu, I have spend a lot of time nyumbani kwao Sea View no way ninasema kuwa anaweza kuiba hela ya mtu, kwa wale mlioileta hii ya kumchafua huyu dada, naomba mumuombe Mungu wenu radhi, maana sio ustaarabu kabisa, siasa ziishie kwa kaka yake ambaye najua kuwa anao ubavu wa kusimama mwenyewe, lakini msisogeze mashambulizi yenu kwa innocent people, ambao hawawezi kuja hapa kujitetea,

Kuna wanaojaribu ku-raise their families in the right way, na huyu dada ni mmoja wao, sasa what is this? Wakuu acheni hizi ni just too low.

Ahsanteni Wakuu.
MAKUBWA HAYA ....MTU ANAEKAA KWAO SEA VIEW KIASI KWAMBA KWAO HAKUNA SHIDA YA KUIBA BOT....?
MIAKA ILE MREMA ALIPOKAMATA DOLA ZA MAMA FULANI...YULE MAMA KWAO KULIKUWA NA SHIDA KIASI CHA KUIBA...? ROSTAM AZIZ,LOWASA,MBOWE,KARAMAGI NK......!!!! AAAH Flii M bowe
kweli unatetea hoja yenye nguvu kwa utetezi dhaifu..........WANAOIBA SI KWAMBA KWAO KUNA SHIDA.....! HALAFU KUMBE UMEKUJA KUMTETEA SABABU NI RAFIKI YAKO?????
AU SABABU NI MLOKOLE????? MUANGALIE SHIGONGO NA MAGAZETI YAKE YANAYOCHOCHEA NGONO KULIKO SHETANI MWENYEWE...ETI MLOKOLE....? RUDIA TENA.....! [ ES/B]
 
Mwafrika wa Kike,

Website ya NSSF ni hii hapa chini, niambie wapi ambapo angalau wanaongelea kwamba wanakopesha?
http://www.nssf.or.tz/

Of course ukiwa na cheo au pesa za kuhonga, watakukopesha tu, hata kama ni nje ya utaratibu wao.

Mtanzania,

Hilo la kukopesha lisikupe shida hata kidogo. Si unajua NSSF wana miradi mingi ikiwamo yaujenzi wa majengo makubwa wanayouza na yale wanayokodisha kwa wahitaji? Hebu nionyeshe kwenye website yao ni wapi wamesema wana miradi hiyo...na wanaitakeleza kwa taratibu zipi...halafu hilo likusaidie kutafakari swali lako hapo juu.
 
Mahesabu,
usishangae sana ! Lakini kuhusu mbowe jamaa huu mchezo kauanza longi. hata falsafa anayotumia ni ya wizi toka kwa muasisi wa chama tawala....anyway hiyo ni topic nyingine, nitaileta wiki hii !
 
mzee kuna makosa mawili katika swali lako:

a. Kwanza wakati Mbowe anakopa shirika alilokopa halikuwa NSSF ilikuwa ni NPF ambayo ilikuwa inaongozwa na sheria nyingine tofauti. Sheria ya wakati ule iliwezesha kukopesha na ndio maana Sukita, na vyombo vingine viliweza kukopa toka huko.

b. Kwa kuangalia website huwezi kuona yote ambayo NSSF inaweza kufanya kisheria. Hivyo nipendekeze uangalie sheria iliyounda shirika hilo ya mwaka 1997 Ibara ya 62.

lakini je unakubali kwamba mbowe anadaiwa au hadaiwi ?
 
Huenda kaanza kuiba longi. Hivi hizo millioni 65 alizolipa ameiba wapi?
 
Mkuu huyu dada hajaiba hizo hela na hajawahi kuiba hela ya mtu yoyote, hao wote uliowataja ni wanasiasa, na hela zao zinaonekana wanavyozitumia, wana majumba wana magari, ambayo ni nje ya mishahara yao,

Naomba unitajie one thing, and one thing only ambacho huyu dada aliwahi kuwa nacho, au aliwahi kukifanya kinachoweza kuleta hisia mbele ya jamiii kuwa sio uwezo wake au wa mshahara au maisha yake, kama kina Rostam, Karamagi, Lowassa, na Msabaha.

Mkuu naomba unitajie one thing alichowahi kukifanya huyu dada kuthibitisha angalau alikuwa na pesa zisizokuwa za kawaida, au kuliko mshahara wake? Maana kabla hajaenda US kwa dada yake, alikuwa akiishi na baba yake Sea View, hajawahi kuishi peke yake ndio maana nikasema kuwa hata alipokuwa akiishi nimewahi kufika kabla hajaenda US, na kule alikuwa akiishi na dada yake mpaka alipoolewa na kuhamia na mumewe, my point ni kwamba ninamfahamu maneno yako sio ya kweli, mrushieni kaka yake haya maneno he is a big boy anaweza kuyajibu, lakini sio innocent people,

Ninaomba kusema kuwa hii forum iko sawa, watu kama nyinyi mnachohitaji ni majibu yaliyo ya kweli, ndio ukweli na uongo wenu utakapoonekana wazi, kama kwenye hili mkuu acha uongo, maana huu wako ni uongo wa mchana!

Muwe na aibu basi angalau kidogo, halafu tafuteni the right target kama shida yenu ni kuchafua tu wanasiasa, muwe na mifano hai inayokubalika, sio hadithi za kusadikika!
 
Mtanzania,

Hilo la kukopesha lisikupe shida hata kidogo. Si unajua NSSF wana miradi mingi ikiwamo yaujenzi wa majengo makubwa wanayouza na yale wanayokodisha kwa wahitaji? Hebu nionyeshe kwenye website yao ni wapi wamesema wana miradi hiyo...na wanaitakeleza kwa taratibu zipi...halafu hilo likusaidie kutafakari swali lako hapo juu.

Unanikumbusha Ubungo Plaza ilivyoleta sokomoko. Hivi jamaa alilipa kodi kwenye ile biashara au kawapiga mkwara?
 
Mtanzania,

Hilo la kukopesha lisikupe shida hata kidogo. Si unajua NSSF wana miradi mingi ikiwamo yaujenzi wa majengo makubwa wanayouza na yale wanayokodisha kwa wahitaji? Hebu nionyeshe kwenye website yao ni wapi wamesema wana miradi hiyo...na wanaitakeleza kwa taratibu zipi...halafu hilo likusaidie kutafakari swali lako hapo juu.

Kichwamaji,

Jibu lako hili hapa chini:

Investment of money shall be done by the Board in any viable
venture as it may consider appropriate having regard to the
economic and commercial viability.

Wanaruhusiwa kufanya investments na sio lazima watuambie wanafanya nini, ila kama unakopesha lazima kuwe na sehemu useme hivyo maana hapo una deal na external customers sasa bila kuwaambia watajuaje?

Bado niko convinced mikopo ya NSSF ina sifa kubwa mbili, corruption na cronysm. Sitegemei mwanasiasa makini akakope huko.
 
Back
Top Bottom